Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete achochea mjadala Escrow

Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuhusu utekelezaji wa maazimio ya Bunge kuhusu kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow imepokewa kwa hisia tofauti na wasomi, wanasiasa na wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mjadala wa Escrow uko palepale

>Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azzan Zungu amesema kuwa ripoti ya uchunguzi wa sakata la Tegeta Escrow itawasilishwa bungeni kama ilivyopangwa na kwamba hakuna zuio lolote la mahakama linalotaka suala hilo lisijadiliwe bungeni.

 

10 years ago

Habarileo

Mjadala wa Escrow wawa moto bungeni

Naibu Spika wa Bunge, Job NdugaiRIPOTI ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu kuchotwa kunakodaiwa isivyo halali kwa fedha katika Akaunti ya Escrow, sasa haitajadiliwa bungeni.

 

10 years ago

Mwananchi

Utulivu utawale mjadala wa Akaunti ya Escrow

Baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), kuwasilisha bungeni ripoti kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow juzi, tunapenda kulipongeza Bunge kwa kuipa kamati hiyo ya PAC, chini ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe jukumu hilo.

 

10 years ago

Habarileo

Ataka siku zaidi mjadala wa Escrow

Livingstone LusindeMBUNGE wa Mtera, Livingston Lusinde (CCM), ametaka kutengwa siku zaidi ya moja za kujadili ripoti ya sakata la akaunti ya Tegeta Escrow bungeni.

 

10 years ago

Habarileo

Mama Maria: Mjadala wa Escrow uwe wazi

Mama Maria Nyerere MJANE wa Rais wa Awamu ya Kwanza, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere ameshauri mijadala inayogusa jamii, ikiwamo ile ya akaunti ya Tegeta Escrow ijadiliwe kwa kina ili kupatiwa ufumbuzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Makundi ya urais yatawala mjadala wa Escrow bungeni

Makundi ya urais ndani ya CCM ni miongoni mwa mambo ambayo yameuteka mjadala wa Akaunti ya Escrow katika Bunge.

 

10 years ago

GPL

MJADALA WA SAKATA AKAUNTI YA ESCROW BUNGENI LEO

Nchambi: Anailaumu serikali kwa kuchelewesha kuleta jambo husika bungeni, watanzania wana hamu ya kujua fedha ni nani? Wakili wa TANESCO (Mkono) alishauri kufunguliwa akaunti (ananukuu maandiko ya biblia kuhusu kuheshimu mamlaka), anasema kila mtu atawajibika kwa namna yake. Mbunge wa Kishapu (CCM), Suleiman Masoud Nchambi. Hasara nyingine tuliyoipta ni gharama za mawakili(bilioni 62) ambayo watuwengi hawaigusii, kesi imeenda...

 

10 years ago

Michuzi

news alert: SPIKA ASITISHA BUNGE HADI WATAPOJADILIANA TENA BAADA YA SINTOFAHAMU WAKATI WA MJADALA MKALI WA SAKATA LA ESCROW


Sintofahamu iliyotokea kwenye kikao cha Bunge mjini Dodoma Ijumaa Novemba 28, 2014 imepelekea Spika Anne Makinda (pichani) kulazimika kusitisha shughuli za Bunge mpaka hapo watapojadiliana tena. 
Hii ni baada ya majadiliano makali kuhusu kuwajibishwa ama la kwa viongozi wanaohusika na sakata la akaunti ya Escrow. Hali hii iliibuka baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA na kambi ya upinzani Bungeni Mhe Freeman Mbowe kuinuka na kusema kuwa Bunge kufikisha saa tano kasoro ni historia, na kwamba kuna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani