Utulivu utawale mjadala wa Akaunti ya Escrow
Baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), kuwasilisha bungeni ripoti kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow juzi, tunapenda kulipongeza Bunge kwa kuipa kamati hiyo ya PAC, chini ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe jukumu hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LG4v1FKIM7m5iM9CW5UmoWZhPdUQHzjMJK44piQPTHbsn3TVX7-ejwfgTaT-ZJ8k-QfbFxlMFMS3voyJgi9TY8S3EN3phk9X/escrow.jpg)
MJADALA WA SAKATA AKAUNTI YA ESCROW BUNGENI LEO
9 years ago
Habarileo03 Nov
Vijana CUF wahimiza utulivu utawale Zanzibar
CHAMA cha Wananchi (CUF) kupitia Umoja wao wa Vijana (JUVICUF), kimewataka vijana wawe watulivu, wasikilize viongozi wao na juhudi wanazofanya kupatia ufumbuzi tatizo la kisiasa Zanzibar.
10 years ago
Habarileo14 Dec
Usahihi wa fedha akaunti ya Escrow
WAKATI kukiwa na taarifa zinazochapishwa na vyombo vya habari kuwa akaunti ya Escrow iliyofunguliwa Benki Kuu (BoT), kwa mujibu wa makubaliano yaliyofanyika Julai 5, 2006, zilikuwa Sh bilioni 306.6, kabla ya kutolewa kwa fedha hizo mwaka 2013, taarifa ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), imethibitisha sio kweli.
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/ZITTOKABWEf.jpg?width=600)
UKAGUZI MAALUMU AKAUNTI YA TEGETA ESCROW
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Kafulila alivyoibua ufisadi akaunti ya escrow
10 years ago
Habarileo25 Sep
Ukweli wazidi kubainika akaunti ya Escrow
TAARIFA zaidi zimezidi kupatikana kuhusu sakata la Escrow, linalohusisha makubaliano baina ya serikali, Kampuni ya kufua umeme ya Independet Power Tanzania Limited (IPTL) na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kama wakala wa Escrow kuwa yalikuwa ni makubaliano ya kisheria.
11 years ago
Mwananchi09 May
Kafulila awalipua mawaziri akaunti ya Escrow
10 years ago
Habarileo05 Nov
Akaunti ya Escrow bado kitendawili bungeni
JARIBIO la wabunge la kuishinikiza Serikali kuwasilisha bungeni ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu madai ya kuchotwa kwa zaidi ya Sh bilioni 200 kutoka katika akaunti ya Escrow, limekwama.
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Uongo kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow uachwe