Vijana CUF wahimiza utulivu utawale Zanzibar
CHAMA cha Wananchi (CUF) kupitia Umoja wao wa Vijana (JUVICUF), kimewataka vijana wawe watulivu, wasikilize viongozi wao na juhudi wanazofanya kupatia ufumbuzi tatizo la kisiasa Zanzibar.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Utulivu utawale mjadala wa Akaunti ya Escrow
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
Polisi Singida wahimiza utulivu katika mikutano ya kisiasa
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Singida, ACP Thobias Sedoyeka.
Na Nathaniel Limu, Singida
JESHI la polisi mkoani Singida,limewataka wananchi waohudhuria mikutano ya kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa inayoendelea, kuhakikisha hawajihusishi kabisa na vitendo vya uvunjivu wa amani na utulivu.
Aidha,jeshi hilo limewataka wananchi wawe watulivu na wazingatie sheria hata kama wakubaliani na sera zinazoelezwa kwenye mkutano husika.Hiyo itakuwa ni njia mojawapo ya kujiepusha na usumbufu...
10 years ago
Habarileo03 Jan
Kova apongeza vijana wake kwa kuwezesha utulivu
KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova amepongeza hali ya utulivu iliyojitokeza wakati wa Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, huku akiwasifu askari wake kwa kazi waliyoifanya katika kipindi hicho.
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Utulivu watawala uchaguzi Zanzibar
NORA DAMIAN NA SARAH MOSSI, ZANZIBAR
UPIGAJI kura za uchaguzi mkuu jana umefanyika kwa amani Visiwani Zanzibar, licha ya kuwapo kwa kasoro ndogondogo.
Vituo vingi vya kupigia kura vilianza shughuli zake saa moja asubuhi na wananchi walijitokeza kwa wingi kwa ajili ya kuwachagua viongozi wanaowapenda.
Jana MTANZANIA ilitembelea vituo vya Shule ya Msingi Bungi, Jimbo la Tunguu, Mkoa wa Mjini Magharibi, Shule ya Maandalizi ya Msingi Kiembesamaki, Mtoni Kidatu na Malindi na kushuhudia wananchi...
10 years ago
Mwananchi14 Dec
SUK isibezwe, imeleta utulivu na amani Zanzibar
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ksmOm5Zogvo/VkCGzFLkIII/AAAAAAAIE_Q/p-lV-eQ7aTY/s72-c/IMG_3540.jpg)
WAJUMBE WA BARAZA LA WAKILISHI WA CUF ZANZIBAR WAMEPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA ZANZIBAR KUFUTWA
Wajumbe 27 wa baraza hilo wamewasili jijini Dar es Salaam kuzungumza na waandishi wa habari juu ya kizungumkuti cha matokeo ya uchaguzi kufutwa huku wakiwa wenyewe hatambui hatua hiyo.
Akizungumza mmoja wa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi,...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Sep
Dua ya kuiombea Zanzibar amani na utulivu katika kipindi cha uchaguzi
Na: Hassan Hamad, OMKR Waislamu mbali mbali wakiongozwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, leo wamekusanyika katika viwanja vya Maisara mjini Zanzibar kwa ajili ya kuomba dua ya kuiombea […]
The post Dua ya kuiombea Zanzibar amani na utulivu katika kipindi cha uchaguzi appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HesX566GIhg/ViyGUTp_c-I/AAAAAAAICqs/wWFD0tlZnes/s72-c/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
ZOEZI LA UPIGAJI KURA LAENDELEA KWA UTULIVU NA AMANI VISIWANI ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-HesX566GIhg/ViyGUTp_c-I/AAAAAAAICqs/wWFD0tlZnes/s640/unnamed%2B%252881%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lG1aR1G0H7I/ViyGUbay0CI/AAAAAAAICqo/WD_mLGd61w4/s640/unnamed%2B%252882%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LhVDVzuLxO0/ViyGUsTXCLI/AAAAAAAICqw/26puexUap9E/s640/unnamed%2B%252883%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-HJtYdng5u7Y/Vem3S2a0nCI/AAAAAAAH2ZM/WaAVhuIsrz4/s72-c/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
DUA YA KUIOMBEA NCHI AMANI NA UTULIVU KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO YAFANYIKA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-HJtYdng5u7Y/Vem3S2a0nCI/AAAAAAAH2ZM/WaAVhuIsrz4/s640/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d1yq_w78Gww/Vem3SvLmVUI/AAAAAAAH2ZQ/T9mAWtwmVaI/s640/unnamed%2B%252886%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ssA57bshTrE/Vem3Svfk4AI/AAAAAAAH2ZI/VqACyhEsMoQ/s640/unnamed%2B%252885%2529.jpg)