Kova apongeza vijana wake kwa kuwezesha utulivu
KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova amepongeza hali ya utulivu iliyojitokeza wakati wa Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, huku akiwasifu askari wake kwa kazi waliyoifanya katika kipindi hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PuaM388LPz8/Xs4eAiUdf_I/AAAAAAAEHVQ/sgKzNHGLPMAj0ZD0n1oPZoezMLMh0A56gCK4BGAsYHg/s72-c/Arusha%2BTusua%2Bmapene2.jpg)
Vodacom yaendelea kuwezesha wateja wake kwa Kutusua Mapene
Ili kushiriki kwenye promosheni hii, mteja anatakiwa kutuma neno “CHECK” au “VODA” kwenda namba 15544, kwa gharama ya shilingi 300 tu.
Unaponunua tiketi, moja kwa moja unaingia...
9 years ago
StarTV02 Sep
Mgombea Mary Chatanda kuwezesha vijana, wanawake
Mgombea ubunge wa CCM jimbo la Korogwe mjini Mary Chatanda amesema katika kipindi chote cha miaka mitano vijana na wanawake atahakikisha wanawezeshwa kupitia vikundi vyao na hivyo kujikwamua kiuchumi.
Chatanda ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na mamia ya wakazi wa jimbo la Korogwe vijijinimkoani Tanga waliokuwa katika uzinduzi wa kampeni za ubunge wa jimbo hilo.
Amesema endapo wananchi watampa ridhaa ya kuongoza jimbo hilo atahakikisha kila kijana wa kike anapewa kipaumbele ikiwemo...
10 years ago
GPLWAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Membe atoa rai kwa viongozi wa dini zote pamoja serikali kuhimiza vijana waipende dini ili kudumisha amani, utulivu na uadilifu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s72-c/11.jpg)
WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE NA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI KUDUMISHA AMANI,UTULIVU NA UADILIFU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s1600/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZqvScX6t4i4/VSJLh_gkyuI/AAAAAAAC27I/QXXUNvOPhYE/s1600/6.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Breaking News! Askofu Gwajima ‘aidindia’ jeshi la Polisi waliomfuata kumchukua nyumbani kwake SalaSala, ajisalimisha na Wakili wake muda huu kwa Kamanda Kova
Baadhi ya Maaskofu wa Kanisa la Gwajima na maaskofu rafiki wa makanisa ya Pentekoste wakiongea na Gwajima (Hayupo pichani) ambaye alikuwa akiwapa maelekezo kabla ya kuondoka kwenda kuhojiwa jeshi la Polisi mchana wa leo.
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima mapema leo ameibua hofu kubwa kwa majirani na waumini wake waliokuwa wametanda nje ya nyumba yake baada ya Jeshi la Polisi kuvamia kwake kwa lengo la kumchukua kwenda Polisi Centro...
10 years ago
GPLKOVA APIGA MARUFUKU MAANDAMANO YA VIJANA WA CUF
10 years ago
VijimamboWAZIRI MHE. BERNARD MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE PAMOJA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU
Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama akiwapungia watu waliohudhuria katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...
9 years ago
Habarileo03 Nov
Vijana CUF wahimiza utulivu utawale Zanzibar
CHAMA cha Wananchi (CUF) kupitia Umoja wao wa Vijana (JUVICUF), kimewataka vijana wawe watulivu, wasikilize viongozi wao na juhudi wanazofanya kupatia ufumbuzi tatizo la kisiasa Zanzibar.