Mama Maria: Mjadala wa Escrow uwe wazi
MJANE wa Rais wa Awamu ya Kwanza, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere ameshauri mijadala inayogusa jamii, ikiwamo ile ya akaunti ya Tegeta Escrow ijadiliwe kwa kina ili kupatiwa ufumbuzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen26 Nov
Mama Maria Nyerere’s take on escrow scandal
>Mwalimu Nyerere’s widow, Mama Maria Nyerere, yesterday urged Parliament to exhaustively debate the Tegeta escrow account scandal.
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Mama Maria Nyerere ataka wabunge waijadili escrow
Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere amesema wabunge wanatakiwa kuijadili kwa kina ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu Akaunti ya escrow kwa kuwa kuficha mambo kutaendelea kuzidisha matatizo nchini.
10 years ago
Vijimambo13 Dec
Watuhumiwa Escrow wajiengue: Maria Nyerere
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/maria-dec13-2014(1).jpg)
Mama Maria Nyerere, (pichani) amesema waliotuhumiwa kula fedha za akaunti ya Escrow walipaswa kujiengua katika nafasi zao badala ya kumsubiri Rais atoe maamuzi.
“Hivi karibuni tumeshuhudia mambo yaliyotokea bungeni, wananchi wameona, nilitegemea waliotajwa wangejiondoa wenyewe katika nafasi zao badala ya kusubiria Rais,” alisema.
Mama Maria alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam, mara baada ya kukabidhiwa tunzo ya amani iliyotolewa na Kamati ya...
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Kauli ya Bi Maria Nyerere kuhusu Escrow
Mjane wa hayati Julius Nyerere, Maria Nyerere Tanzania amezungumzia sakata ya ufisadi ya Escrow. Je kauli yake ilikuwa nini?
10 years ago
Mwananchi22 Nov
Mjadala wa Escrow uko palepale
>Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azzan Zungu amesema kuwa ripoti ya uchunguzi wa sakata la Tegeta Escrow itawasilishwa bungeni kama ilivyopangwa na kwamba hakuna zuio lolote la mahakama linalotaka suala hilo lisijadiliwe bungeni.
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Kikwete achochea mjadala Escrow
Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuhusu utekelezaji wa maazimio ya Bunge kuhusu kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow imepokewa kwa hisia tofauti na wasomi, wanasiasa na wananchi.
10 years ago
VijimamboHUDUMA YA GOOD NEWS FOR ALL MINISTRY YAOMBA KUWEPO MJADALA WA WAZI KUJADILI TATIZO LA ULEVI NCHINI
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Utulivu utawale mjadala wa Akaunti ya Escrow
Baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), kuwasilisha bungeni ripoti kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow juzi, tunapenda kulipongeza Bunge kwa kuipa kamati hiyo ya PAC, chini ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe jukumu hilo.
10 years ago
Habarileo12 Nov
Mjadala wa Escrow wawa moto bungeni
RIPOTI ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu kuchotwa kunakodaiwa isivyo halali kwa fedha katika Akaunti ya Escrow, sasa haitajadiliwa bungeni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania