Kauli ya Bi Maria Nyerere kuhusu Escrow
Mjane wa hayati Julius Nyerere, Maria Nyerere Tanzania amezungumzia sakata ya ufisadi ya Escrow. Je kauli yake ilikuwa nini?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen26 Nov
Mama Maria Nyerere’s take on escrow scandal
10 years ago
Vijimambo13 Dec
Watuhumiwa Escrow wajiengue: Maria Nyerere
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/maria-dec13-2014(1).jpg)
Mama Maria Nyerere, (pichani) amesema waliotuhumiwa kula fedha za akaunti ya Escrow walipaswa kujiengua katika nafasi zao badala ya kumsubiri Rais atoe maamuzi.
“Hivi karibuni tumeshuhudia mambo yaliyotokea bungeni, wananchi wameona, nilitegemea waliotajwa wangejiondoa wenyewe katika nafasi zao badala ya kusubiria Rais,” alisema.
Mama Maria alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam, mara baada ya kukabidhiwa tunzo ya amani iliyotolewa na Kamati ya...
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Mama Maria Nyerere ataka wabunge waijadili escrow
10 years ago
Habarileo26 Nov
Mama Maria: Mjadala wa Escrow uwe wazi
MJANE wa Rais wa Awamu ya Kwanza, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere ameshauri mijadala inayogusa jamii, ikiwamo ile ya akaunti ya Tegeta Escrow ijadiliwe kwa kina ili kupatiwa ufumbuzi.
11 years ago
BBCSwahili09 Dec
Mama Maria Nyerere amsimulia Mandela
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Mama Maria Nyerere kuandika kitabu
11 years ago
Daily News17 May
Repentant MP seeks Mama Maria Nyerere's mercy
Daily News
Daily News
MWALIMU Julius Nyerere's widow, Mama Maria Nyerere, has confirmed to have received an apology from a legislator who uttered scornful remarks about Mwalimu in the Constituent Assembly shortly before it was adjourned last month. Speaking to members ...
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mama Maria Nyerere asema yuko hai
10 years ago
Mtanzania11 Mar
Maria Nyerere: Taifa liko njia panda
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
MJANE wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere amesema malumbano yaliyoibuka kuhusiana na mchakato wa Katiba Mpya linalifanya taifa kuwa njia panda.
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Msasani Dar es Salaam jana, Mama Maria alisema suala hilo ni zito kwa sababu iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mpya chini ya Mwenyekiti wake, Jaji Joseph Warioba ilikuwa na mikakati mizuri lakini baadaye Bunge Maalumu la Katiba likaja na yake.
Alisema yote hayo...