Maria Nyerere: Taifa liko njia panda
Na Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
MJANE wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere amesema malumbano yaliyoibuka kuhusiana na mchakato wa Katiba Mpya linalifanya taifa kuwa njia panda.
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Msasani Dar es Salaam jana, Mama Maria alisema suala hilo ni zito kwa sababu iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Mpya chini ya Mwenyekiti wake, Jaji Joseph Warioba ilikuwa na mikakati mizuri lakini baadaye Bunge Maalumu la Katiba likaja na yake.
Alisema yote hayo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZlQQsKP1iv0/XtIvcFaemnI/AAAAAAALsEM/Mz_KiY2_UGMwuj6FuRjTrh9fWmYL0nk8QCLcBGAsYHQ/s72-c/1-33-768x649.jpg)
RAIS MAGUFULI AWAKABIDHI MARAIS WASTAAFU TAUSI 25 KILA MMOJA NA MAMA MARIA NYERERE KWA KUTAMBUA MCHANGO WAO KATIKA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZlQQsKP1iv0/XtIvcFaemnI/AAAAAAALsEM/Mz_KiY2_UGMwuj6FuRjTrh9fWmYL0nk8QCLcBGAsYHQ/s640/1-33-768x649.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1.-4-962x1024.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Hati ya Makabidhiano ya zawadi ya Ndege aina ya Tausi 25 kwa Mama Maria Nyerere mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere kwa ajili ya kuwafuga katika Makazi yake, hafla hiyo fupi ilifanyika katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2-24-1024x858.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD-*PCcgjQM4o7ngeSsxEYX9u4QDIAEiqaCFarBdfZ7EDBjOPafYShaAZZu-3YsGTTX9m9l57D*20jSt6ZPacAeXm/1528535_698759480156926_571395509_n.jpg?width=650)
ZITTO NJIA PANDA
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
CCM njia panda
IKIWA imesalia wiki moja kabla ya watangaza nia wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukamilisha mchakato
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mtanzania14 Apr
Nchi njia panda
Fredy Azzah na Elias Msuya
NCHI inapita katika kipindi kigumu kwa sasa kulingana na matukio mbalimbali yanayotokea wakati tukielekea katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Kulingana na hali hiyo, lugha yenyepesi inayoweza kutumika katika kufafanua ni kusema kwamba, nchi ipo njia panda.
Baadhi ya mambo hayo ni yale yaliyotokea na kuigusa nchi kama taifa, huku mengine yakigusa maisha ya wananchi moja kwa moja.
Katiba mpya
Moja ya mambo yanayoumiza vichwa vya Watanzania ni kuhusu...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
TANESCO njia panda
WAKATI Watanzania wakiendelea kutaabika kwa bei mpya za umeme, hali ya kiutendaji ya Shirika la Ugavi wa Umeme (TANESCO) iko njia panda kutokana na msuguano uliopo kati ya Wizara ya...
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Lipumba njia panda CUF
10 years ago
Habarileo27 Jun
Serikali ya umoja Z’bar njia panda
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amesema kitendo cha wajumbe wa CUF kususa shughuli za Baraza la Wawakilishi, kimeiweka njia panda hatma ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa, kwa kuwa ni kinyume na makubaliano ya muundo huo.
11 years ago
BBCSwahili07 Feb
Marekani na EU njia panda kuhusu Ukraine
10 years ago
BBCSwahili06 Nov
Kombe la Dunia 2022 njia panda