Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kombe la Dunia 2022 njia panda

Rais wa Uefa, Michel Platini amesema fainali za kombe la dunia 2022 nchini Qatar lazima zichezwe kipindi cha majira ya baridi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la dunia 2022 Decemba au Novemba

Fainali za kombe la dunia kwa mwaka 2022 nchini Qatar huenda sasa zitafanyika mwezi Novemba au Decemba.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatima ya Qatar na kombe la dunia 2022

Ripoti iliyokua ikichunguza vitendo vya rushwa huenda ikasabisha washukiwa kushtakiwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Kombe la dunia ni Novemba na December 2022

Michuano ya Kombe la dunia inatarajiwa kuchezwa mwaka 2022 huko Qatar limepangwa kutimua vumbi November na December.

 

11 years ago

Dewji Blog

Blatter: Ni “kosa” Qatar kuandaa Kombe la Dunia 2022

Rais wa Shirikisho la Soka Ulimwenguni – FIFA Sepp Blatter amesema ilikuwa kosa kuichagua Qatar kuandaa dimba la Kombe la Dunia mwaka wa 2022 kwa sababu ya hali ya joto kali nchini humo

Blatter amekiambia kituo kimoja cha televisheni nchini Uswisi kuwa, na namnukuu “unajua, kila mmoja hufanya makosa maishani”.

Kiwango cha wastani cha joto ni nyuzijoto 40 katika miezi ya Juni na Julai, kipindi ambacho tamasha la kombe la dunia hupangwa kufanyika.

Blatter amesema kuna uwezekano mkubwa kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kazimoto anavyoikubali Qatar kuandaa Kombe la Dunia 2022

Doha, Qatar. Ukipita katika mitaa mbalimbali kwenye mji wa Doha, Qatar utaona wameanza kulinadi Kombe la Dunia 2022.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Je, kalenda ya Kombe la Dunia 2022 Qatar kuathrika?

Uefa ina matumaini ya kumaliza ligi ya Mabingwa na Europa mwezi Agosti.

 

10 years ago

Raia Mwema

CCM njia panda

IKIWA imesalia wiki moja kabla ya watangaza nia wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukamilisha mchakato

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Mtanzania

Nchi njia panda

saada mkuyaFredy Azzah na Elias Msuya
NCHI inapita katika kipindi kigumu kwa sasa kulingana na matukio mbalimbali yanayotokea wakati tukielekea katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Kulingana na hali hiyo, lugha yenyepesi inayoweza kutumika katika kufafanua ni kusema kwamba, nchi ipo njia panda.
Baadhi ya mambo hayo ni yale yaliyotokea na kuigusa nchi kama taifa, huku mengine yakigusa maisha ya wananchi moja kwa moja.
Katiba mpya
Moja ya mambo yanayoumiza vichwa vya Watanzania ni kuhusu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani