Kombe la Dunia 2022 njia panda
Rais wa Uefa, Michel Platini amesema fainali za kombe la dunia 2022 nchini Qatar lazima zichezwe kipindi cha majira ya baridi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
Kombe la dunia 2022 Decemba au Novemba
10 years ago
BBCSwahili23 Sep
Hatima ya Qatar na kombe la dunia 2022
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
Kombe la dunia ni Novemba na December 2022
11 years ago
Dewji Blog21 May
Blatter: Ni “kosa” Qatar kuandaa Kombe la Dunia 2022
Rais wa Shirikisho la Soka Ulimwenguni – FIFA Sepp Blatter amesema ilikuwa kosa kuichagua Qatar kuandaa dimba la Kombe la Dunia mwaka wa 2022 kwa sababu ya hali ya joto kali nchini humo
Blatter amekiambia kituo kimoja cha televisheni nchini Uswisi kuwa, na namnukuu “unajua, kila mmoja hufanya makosa maishani”.
Kiwango cha wastani cha joto ni nyuzijoto 40 katika miezi ya Juni na Julai, kipindi ambacho tamasha la kombe la dunia hupangwa kufanyika.
Blatter amesema kuna uwezekano mkubwa kuwa...
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Kazimoto anavyoikubali Qatar kuandaa Kombe la Dunia 2022
5 years ago
BBCSwahili30 Apr
Virusi vya Corona: Je, kalenda ya Kombe la Dunia 2022 Qatar kuathrika?
10 years ago
Raia Mwema25 Jun
CCM njia panda
IKIWA imesalia wiki moja kabla ya watangaza nia wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kukamilisha mchakato
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mtanzania14 Apr
Nchi njia panda
Fredy Azzah na Elias Msuya
NCHI inapita katika kipindi kigumu kwa sasa kulingana na matukio mbalimbali yanayotokea wakati tukielekea katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Kulingana na hali hiyo, lugha yenyepesi inayoweza kutumika katika kufafanua ni kusema kwamba, nchi ipo njia panda.
Baadhi ya mambo hayo ni yale yaliyotokea na kuigusa nchi kama taifa, huku mengine yakigusa maisha ya wananchi moja kwa moja.
Katiba mpya
Moja ya mambo yanayoumiza vichwa vya Watanzania ni kuhusu...