Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama Maria Nyerere asema yuko hai

''Niko salama na buheri wa afya''Hayo ni maneno ya Mama Maria Nyerere ,mjane wa rais wa kwanza wa taifa la Tanzania Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Sala, maombi kudumisha amani asema Mama Maria Nyerere

Mama Maria NyerereMJANE wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere, amepokea nishani ya kudumisha na kuhamasisha amani nchini, huku akimtaka kila mwananchi kwa nafasi yake kuombea taifa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mama Maria Nyerere amsimulia Mandela

Uhusiano kati ya familia ya Mwalimu Nyerere na ile ya Mzee Nelson Mandela umekuwa ni wa karibu kiasi kwamba familia yake inajiandaa kwenda kuhudhuria mazishi ya Mandela

 

11 years ago

Mwananchi

Mama Maria Nyerere kuandika kitabu

Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere amesema ataandika kitabu kuelezea hatua mbalimbali ambazo nchi imepitia tangu wakati wa ukoloni hadi sasa.

 

10 years ago

TheCitizen

Mama Maria Nyerere’s take on escrow scandal

>Mwalimu Nyerere’s widow, Mama Maria Nyerere, yesterday urged Parliament to exhaustively debate the Tegeta escrow account  scandal.

 

11 years ago

Daily News

Repentant MP seeks Mama Maria Nyerere's mercy


Daily News
Repentant MP seeks Mama Maria Nyerere's mercy
Daily News
MWALIMU Julius Nyerere's widow, Mama Maria Nyerere, has confirmed to have received an apology from a legislator who uttered scornful remarks about Mwalimu in the Constituent Assembly shortly before it was adjourned last month. Speaking to members ...

 

10 years ago

Mwananchi

Mama Maria Nyerere ataka wabunge waijadili escrow

Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere amesema wabunge wanatakiwa kuijadili kwa kina ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu Akaunti ya escrow kwa kuwa kuficha mambo kutaendelea kuzidisha matatizo nchini.

 

11 years ago

Michuzi

Mama Maria Nyerere awaasa Wanawake Wajasiliamali kujiamini

 Mama Maria Nyerere akitoa nasaa wakati wa Ufunguzi wa Semina kwa Wanawake Wajasiliamali kutoka Mikoa yote ya Tanzania, akiwa ni Mwanamke Mjasiliamali pia, amewahakikishia wanawake mafanikio iwapo watajiamini na kumsirikisha Mungu katika kazi zao.   Mwenyekiti wa EOTF Mama Anna Mkapa, akitoa utangulizi wa Mafunzo na ntambulisho wa Waalikwa, wakati wa ufunguzi wa Mafunzo ya siku tatu kwa Wanawake Wajasiliamali, kuanzia Juni 23-25/2014, kuanzia saa2  asubuhi  katika ukumbi wa Bwalo la...

 

10 years ago

Michuzi

PINDA AMTEMBELEA MAMA MARIA NYERERE KIJIJINI BUTIAMA


 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mjane wa Baba wa Taifa Mama Maria Nyerere  wakati alipokwenda kijijini  Butiama mkoani Mara kumsalimia akiwa njiani kuelekea Mwanza  akitoka Musoma Ijumaa.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na mtoto wa Baba wa Taifa Madaraka Nyerere wakati alipokwenda kijijini  Butiama mkoani Mara kumsalimia akiwa njiani kuelekea Mwanza  akitoka Musoma
Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda akiwasha mshumaa kwenye kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere  wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani