Mjadala wa Escrow uko palepale
>Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Azzan Zungu amesema kuwa ripoti ya uchunguzi wa sakata la Tegeta Escrow itawasilishwa bungeni kama ilivyopangwa na kwamba hakuna zuio lolote la mahakama linalotaka suala hilo lisijadiliwe bungeni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 May
Mgomo wa Tazara uko palepale
WAFANYAKAZI wa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), wamesisitiza msimamo wao wa kuendelea kugoma kutoa huduma, hadi hapo watakapohakikishiwa kwamba malimbikizo ya mishahara yao yatalipwa na malipo ya miezi ijayo, yatafanyika.
10 years ago
Mtanzania18 May
Dk Hosea: Uchunguzi Escrow palepale
Na Debora Sanja, Dodoma
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesema uchunguzi dhidi ya vigogo wa kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow unaendelea.
Kauli hiyo ilitolewa Dodoma jana na Mkurugenzi wa Takukuru, Dk . Edward Hosea alipokuwa akijibu maswali ya wabunge waliohudhuria semina ya Chama Cha Wabunge Wanaopambana na Rushwa (APNAC).
Kauli ya Dk. Hosea ilitokana na swali la Mbunge wa Simanjiro, Christopher ole Sendeka (CCM), aliyetaka...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Kikwete achochea mjadala Escrow
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Utulivu utawale mjadala wa Akaunti ya Escrow
10 years ago
Habarileo19 Nov
Ataka siku zaidi mjadala wa Escrow
MBUNGE wa Mtera, Livingston Lusinde (CCM), ametaka kutengwa siku zaidi ya moja za kujadili ripoti ya sakata la akaunti ya Tegeta Escrow bungeni.
10 years ago
Habarileo12 Nov
Mjadala wa Escrow wawa moto bungeni
RIPOTI ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu kuchotwa kunakodaiwa isivyo halali kwa fedha katika Akaunti ya Escrow, sasa haitajadiliwa bungeni.
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Makundi ya urais yatawala mjadala wa Escrow bungeni
10 years ago
GPLMJADALA WA SAKATA AKAUNTI YA ESCROW BUNGENI LEO
10 years ago
Habarileo26 Nov
Mama Maria: Mjadala wa Escrow uwe wazi
MJANE wa Rais wa Awamu ya Kwanza, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere ameshauri mijadala inayogusa jamii, ikiwamo ile ya akaunti ya Tegeta Escrow ijadiliwe kwa kina ili kupatiwa ufumbuzi.