Rais Kikwete kuzungumzia sakata la Escrow
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kulihutubia taifa leo wakati atakapozungumza na wazee wa mkoa wa Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog30 Nov
Hatima ya vigogo sakata la Escrow mikononi mwa Kikwete
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
BUNGE limeazimia kuwajibishwa kwa mawaziri Profesa Sospeter Muhongo, Profesa Anna Tibaijuka, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick Werema, kutokana na sakata la uchotaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu (BoT) kwa kutaka mamlaka ya uteuzi kutengua uteuzi wao.
Mbali na hao, yumo Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi na Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania...
10 years ago
Dewji Blog09 Dec
Rais Kikwete kutoa maamuzi ya Escrow katika wiki moja
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
-Apokea Ripoti, nyaraka na maazimio ya Bunge
-Aagiza Ripoti ya CAG iwekwe wazi hadharani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea Ripoti, nyaraka na ushauri wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu Akaunti ya Tegeta Escrow na atavifanyia maamuzi katika wiki moja ijayo.
Rais Kikwete ambaye alianza kazi rasmi jana, Jumatatu, Desemba 8, 2014 baada ya mapumziko ya...
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
10 years ago
Habarileo24 Nov
Pinda afunguka sakata la Escrow
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema taarifa nyingi za mjadala wa akaunti ya Escrow iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme kati ya kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) ambao unaendelea bungeni, umeongezwa chumvi na wakati ukifika Watanzania watatolewa taarifa kamili.
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Sakata la Escrow baadhi mahakamani
10 years ago
Habarileo29 Nov
Wabunge waungana sakata la Escrow
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana lilikuwa moja dhidi ya utoaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), huku baadhi ya mawaziri wakitofautiana na taarifa ya Serikali ya utetezi wa suala hilo.
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Lissu amtaja JK sakata la escrow
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Sakata ya Escrow leo jioni
10 years ago
GPLWANANCHI WAZUNGUMZIA SAKATA LA ESCROW