Sakata la Escrow
Kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow bado inafukuta nchini Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo29 Nov
Wabunge waungana sakata la Escrow
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana lilikuwa moja dhidi ya utoaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), huku baadhi ya mawaziri wakitofautiana na taarifa ya Serikali ya utetezi wa suala hilo.
10 years ago
GPLWANANCHI WAZUNGUMZIA SAKATA LA ESCROW
10 years ago
Habarileo24 Nov
Pinda afunguka sakata la Escrow
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema taarifa nyingi za mjadala wa akaunti ya Escrow iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme kati ya kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) ambao unaendelea bungeni, umeongezwa chumvi na wakati ukifika Watanzania watatolewa taarifa kamili.
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Sakata la Escrow baadhi mahakamani
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Sakata ya Escrow leo jioni
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Lissu amtaja JK sakata la escrow
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eHhH0wF8G5C9kkJ-A0SxnFe2uFQpjewE8hjWzHaR37qKTF5LN3B6P6d7rGuTyXvSjLORc9P2KUP8GsfwSbeCsgRY3r*3An*U/breakingnews.gif)
WATUHUMIWA WATATU WA SAKATA LA ESCROW KIZIMBANI
10 years ago
StarTV17 Jan
Sakata la ESCROW, watatu wafikishwa mahakamani.
Na Josephine Mwaiswaga
Dar Es Salaam
Lile Sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow limezidi kuwaburuza wengine zaidi Mahakamani ambapo sasa Tume ya kudhibiti na kupambana na Rushwa TAKUKURU imewapandisha Kizimbani Watu Watatu Wakikabiliwa na makosa ya sita ya kupokea rushwa kutoka kwa Mkurugenzi wa zamani wa kampuni ya Independent Power Tanzania Ltd IPTL James Rugemalira.
Washtakiwa waliopandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ni pamoja na Julius Angello Mkurugenzi wa Fedha...
10 years ago
Dewji Blog25 Jan
Sakata la ESCROW Muhongo akubali yaishe!
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akizungumza na waandishi wa katika mkutano uliofanyika mchana huu kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi za Wizara hiyo, zilizopo kwenye Mtaa wa Samora, Jijini Dar es salaam.
Waziri Muhongo ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo, kufuatia shinikizo la muda mrefu la kumtaka afanye hivyo au awajibishwe, kufuatia mapendekezo ya Bunge lililopita, lililoagiza serikali kuchukua hatua dhidi yake na wengine kadhaa kufuatia kashfa ya akaunti ya Tegeta...