Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sakata la Escrow baadhi mahakamani

Chama tawala nchini Tanzania CCM, kimetoa kauli ya kuwachukulia hatua, makada wake wanaohusishwa na kashfa ya Escrow.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HAYA NDIO BAADHI YA MAAZIMIO YALIYOSABABISHA BUNGE KUAHIRISHWA KWA KUPINGA BAADHI YA MAADHIMIO YA KUWALINDA WATUHUMIWA WA SAKATA LA ESCROW



MAAZIMIO
Pendekezo la kwanza la kumkamata na kumfilisi bwana Seth lina marekebisho ya serikali, naibu waziri wa Sheria anasema haiwezekani

Pendekezo la pili kuhusu Rugemalira, serikali imeweka marekebisho kuhusu uhalali wa pesa za Rugemalira alizogawa

Azimio la TATU limerekebishwa kuwa waliopokea pesa wachunguzwe na kuchukuliwa hatua mahususi kwa mujibu wa sheria

Pendekezo la NNE. Kamati inazitaka mamlaka kuzitangaza benki za Mkombozi na Stanbic kama asasi za utakatishaji fedha
Azimio la 4...

 

10 years ago

StarTV

Sakata la ESCROW, watatu wafikishwa mahakamani.

Na Josephine Mwaiswaga

Dar Es Salaam

 

Lile Sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow limezidi kuwaburuza wengine zaidi Mahakamani ambapo sasa Tume ya kudhibiti na kupambana na Rushwa TAKUKURU imewapandisha Kizimbani Watu Watatu Wakikabiliwa na makosa ya sita ya kupokea rushwa kutoka kwa Mkurugenzi wa zamani wa kampuni ya Independent Power Tanzania Ltd IPTL James Rugemalira.

 

Washtakiwa waliopandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ni pamoja na Julius Angello Mkurugenzi wa Fedha...

 

10 years ago

GPL

BUNGE LAAHIRISHWA BAADA YA WABUNGE KUPINGA BAADHI YA MAAZIMIO YA KUWALINDA WATUHUMIWA WA SAKATA LA ESCROW

MAAZIMIO
Pendekezo la kwanza la kumkamata na kumfilisi bwana Seth lina marekebisho ya serikali, naibu waziri wa Sheria anasema haiwezekani Pendekezo la pili kuhusu Rugemalira, serikali imeweka marekebisho kuhusu uhalali wa pesa za Rugemalira alizogawa Azimio la TATU limerekebishwa kuwa waliopokea pesa wachunguzwe na kuchukuliwa hatua mahususi kwa mujibu wa sheria Pendekezo la NNE. Kamati inazitaka mamlaka...

 

9 years ago

Mwananchi

Sakata la makontena lahamia mahakamani

Sakata la utoaji makontena bila kulipia tozo ya bandari, limechukua sura mpya baada ya Chama cha Mawakala wa Forodha (Taffa) kufungua kesi Mahakama Kuu, kupinga kitendo cha Mamlaka ya Bandari (TPA) kuwadai fedha za tozo hiyo ambazo wamesema wameshalipia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sakata la Escrow

Kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow bado inafukuta nchini Tanzania.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge waungana sakata la Escrow

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Mchemba akichangia mjadala wa Escrow uliowasilishwa bungeni na Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) mjini Dodoma jana. (Na Mpigapicha Wetu).BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana lilikuwa moja dhidi ya utoaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), huku baadhi ya mawaziri wakitofautiana na taarifa ya Serikali ya utetezi wa suala hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Lissu amtaja JK sakata la escrow

Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu amemtaja Rais Jakaya Kikwete kuwa sehemu ya mgogoro mzima wa Kampuni ya kufua umeme ya IPTL tangu ilipoingia nchini mwaka 1994.

 

10 years ago

GPL

WANANCHI WAZUNGUMZIA SAKATA LA ESCROW

Wananchi wakiwa wamejazana katika maeneo tofauti ya kuuzia magazeti ili kujua kilichotokea na kitakachotokea kuhusiana na wizi wa shilingi bilioni 306 za Escrow kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT). BAADA ya ripoti ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) kusomwa jana Bungeni, mtandao huu wa Global leo umezunguka sehemu mbalimbali jijini Dar es Salaam, kuona… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Sakata ya Escrow leo jioni

Ripoti iliyokuwa ikisubiriwa na wananchi kuhusu ukweli wa uchotaji wa mamilioni ya fedha kutoka akaunti ya ESCROW kutolewa leo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani