Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sakata la ESCROW, watatu wafikishwa mahakamani.

Na Josephine Mwaiswaga

Dar Es Salaam

 

Lile Sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow limezidi kuwaburuza wengine zaidi Mahakamani ambapo sasa Tume ya kudhibiti na kupambana na Rushwa TAKUKURU imewapandisha Kizimbani Watu Watatu Wakikabiliwa na makosa ya sita ya kupokea rushwa kutoka kwa Mkurugenzi wa zamani wa kampuni ya Independent Power Tanzania Ltd IPTL James Rugemalira.

 

Washtakiwa waliopandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ni pamoja na Julius Angello Mkurugenzi wa Fedha...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sakata la Escrow vigogo watatu wafikishwa Kisutu

Sakata la Escrow lawapandisha kizimbani vigogo watatu kutoka Tanesco, TRA na BOT

 

10 years ago

BBCSwahili

Sakata la Escrow baadhi mahakamani

Chama tawala nchini Tanzania CCM, kimetoa kauli ya kuwachukulia hatua, makada wake wanaohusishwa na kashfa ya Escrow.

 

10 years ago

GPL

WATUHUMIWA WATATU WA SAKATA LA ESCROW KIZIMBANI

WATUHUMIWA watatu wa sakata la akaunti ya Tegeta Escrow wasomewa mashitaka leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam. Watuhumiwa hao ni pamoja na Mkurugenzi wa Fedha wa benki ya Mkombozi, Julius Ruta, Ofisa Mwandamizi wa Tanesco, Steve Urasa na Leonard Lutabingwa wa TRA anayeshitakiwa kwa makosa manne.

 

9 years ago

StarTV

Watu 10 wafikishwa mahakamani Morogoro

Jeshi la Polisi limewafikishwa mahakamani watu 10 wanaotuhumiwa kuvamia kituo cha Polisi Mbingu wilayani Kilombero mkoani Morogoro na kukichoma moto hali iliyosababisha uharibifu wa mali na nyaraka mbalimbali za jeshi hilo. Washtakiwa hao wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro na kusomewa mashtaka yao na Wakili wa Serikali Sunday Hyere mbele ya hakimu mkazi Agripina Kimaze. Wakiwa Mahakamani watuhumiwa hawa wanasomewa Mashtaka yao na wakili wa Serikali Sunday Hyera, na...

 

9 years ago

Mtanzania

Polisi sita watuhumiwa mauaji wafikishwa mahakamani

kovaNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam

ASKARI sita waliokuwa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kuhusishwa na mauaji ya wafanyabiashara, jana wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya kukusudia.

Washtakiwa hao walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Thomas Simba.

Mbele ya Hakimu Simba, Wakili wa Serikali Mkuu, Mutalemwa Kisheni, aliwataja washtakiwa kuwa ni Inspekta Bon Mbange mkazi wa Magomeni, F 919 Sajenti Filbert Nemes na Askari wa Kikosi cha Kuzuia...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Panya Road’ 119 waachiwa kwa kukosekana ushahidi 959 wafikishwa mahakamani

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu  Dar es Salaam limewaachia huru vijana 119 wanaodaiwa  kujihusisha na vitendo vya kihalifu  maarufu kama ‘panya road’  baada ya kukosekana kwa ushahidi wa kutosha.

 

5 years ago

Michuzi

Maafisa watendaji 7 wafikishwa mahakamani kwa tuhuma ya wizi wa kutumia mashine za POS

Na Amiri kilagalila,Njombe.
Takukuru mkoa wa Njombe imewafikisha mahakamani wilaya ya Makete maafisa 7 watendaji  wa vijiji kwa tuhuma ya wizi wa fedha Tshs.99,321,466/- za halmashauri ya wilaya ya Makete,ambazo zilikuwa ni makusanyo ya mapato ya halmashauri kwa kutumia mashine za POS (Point of Sale electronic Machine)
Mkuu wa Takukuru mkoa wa Njombe Bi.Domina Mukama, amesema kesi zilizofunguliwa mahakamani za maafisa watendaji hao wa vijiji ni.
1.CC.12/2020 Jamhuri dhidi ya Chrispin...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani