Watu 10 wafikishwa mahakamani Morogoro
Jeshi la Polisi limewafikishwa mahakamani watu 10 wanaotuhumiwa kuvamia kituo cha Polisi Mbingu wilayani Kilombero mkoani Morogoro na kukichoma moto hali iliyosababisha uharibifu wa mali na nyaraka mbalimbali za jeshi hilo. Washtakiwa hao wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro na kusomewa mashtaka yao na Wakili wa Serikali Sunday Hyere mbele ya hakimu mkazi Agripina Kimaze. Wakiwa Mahakamani watuhumiwa hawa wanasomewa Mashtaka yao na wakili wa Serikali Sunday Hyera, na...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV17 Jan
Sakata la ESCROW, watatu wafikishwa mahakamani.
Na Josephine Mwaiswaga
Dar Es Salaam
Lile Sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow limezidi kuwaburuza wengine zaidi Mahakamani ambapo sasa Tume ya kudhibiti na kupambana na Rushwa TAKUKURU imewapandisha Kizimbani Watu Watatu Wakikabiliwa na makosa ya sita ya kupokea rushwa kutoka kwa Mkurugenzi wa zamani wa kampuni ya Independent Power Tanzania Ltd IPTL James Rugemalira.
Washtakiwa waliopandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ni pamoja na Julius Angello Mkurugenzi wa Fedha...
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Polisi sita watuhumiwa mauaji wafikishwa mahakamani
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
ASKARI sita waliokuwa wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kuhusishwa na mauaji ya wafanyabiashara, jana wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya kukusudia.
Washtakiwa hao walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Thomas Simba.
Mbele ya Hakimu Simba, Wakili wa Serikali Mkuu, Mutalemwa Kisheni, aliwataja washtakiwa kuwa ni Inspekta Bon Mbange mkazi wa Magomeni, F 919 Sajenti Filbert Nemes na Askari wa Kikosi cha Kuzuia...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/e_XL4gbiblg/default.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U1qibVnzsLw/Xpp-X3QzURI/AAAAAAALnS0/Db0ppJ7w4MQaznyK6rnKZBgJ_dsOviCywCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%252821%2529.jpg)
Maafisa watendaji 7 wafikishwa mahakamani kwa tuhuma ya wizi wa kutumia mashine za POS
Takukuru mkoa wa Njombe imewafikisha mahakamani wilaya ya Makete maafisa 7 watendaji wa vijiji kwa tuhuma ya wizi wa fedha Tshs.99,321,466/- za halmashauri ya wilaya ya Makete,ambazo zilikuwa ni makusanyo ya mapato ya halmashauri kwa kutumia mashine za POS (Point of Sale electronic Machine)
Mkuu wa Takukuru mkoa wa Njombe Bi.Domina Mukama, amesema kesi zilizofunguliwa mahakamani za maafisa watendaji hao wa vijiji ni.
1.CC.12/2020 Jamhuri dhidi ya Chrispin...
10 years ago
Mwananchi15 Jan
‘Panya Road’ 119 waachiwa kwa kukosekana ushahidi 959 wafikishwa mahakamani
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uP4wXJYslh0/Xto-EQ7AerI/AAAAAAALssw/zcI7hN2RqvUoj2aUAmeUVkJ7V2ee9gemwCLcBGAsYHQ/s72-c/3506c9e9-be14-46d5-91b1-e2cc16b8f4d7%2B%25281%2529.jpg)
MKURUGNZI MKUU MSD,MKUU WW LOJISTIKI WAFIKISHWA MAHAKAMANI WAKIKABILIWA NA KESI YA TUHUMA YA UHUJUMU UCHUMI
MKURUGENZI Mkuu wa Bohari kuu ya Dawa (MSD) nchini, Laurean Bwanakunu na Mkuu wa Lojistiki wa bohari hiyo Byekwaso Tabura wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka matano likiwemo la kuisababishia hasara ya zaidi ya Sh.Bilioni bilioni 3.8
Mashtaka mengine ni kuongoza genge la uhalifu, utakatishaji na matumizi mabaya ya madaraka. Katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakamani hapo leo Juni 5, 2020, na...
11 years ago
Michuzi17 Jul
watu 16 wafikishwa mahakama ya kisutu kwa tuhuma za ugaidi leo