Rais Kikwete kutoa maamuzi ya Escrow katika wiki moja
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
-Apokea Ripoti, nyaraka na maazimio ya Bunge
-Aagiza Ripoti ya CAG iwekwe wazi hadharani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea Ripoti, nyaraka na ushauri wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu Akaunti ya Tegeta Escrow na atavifanyia maamuzi katika wiki moja ijayo.
Rais Kikwete ambaye alianza kazi rasmi jana, Jumatatu, Desemba 8, 2014 baada ya mapumziko ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo10 Dec
JK kutoa maamuzi Escrow wiki ijayo
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/jk.jpg)
Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, ilieleza kuwa Rais Kikwete atafanya maamuzi hayo baada ya kupokea ripoti, nyaraka na ushauri wa Bunge kuhusu akaunti hiyo.
Taarifa hiyo ilieleza kuwa Rais Kikwete alipokea Ripoti ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zwIU6rRd6q4/U8e45_6V1HI/AAAAAAAF3BM/ZI5LxYNohb0/s72-c/unnamed+(20).jpg)
RAIS KIKWETE AELEKEA RUVUMA KWA ZIARA YA KIKAZI YA WIKI MOJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-zwIU6rRd6q4/U8e45_6V1HI/AAAAAAAF3BM/ZI5LxYNohb0/s1600/unnamed+(20).jpg)
10 years ago
Habarileo10 Dec
JK: Uamuzi Escrow ndani ya wiki moja
BAADA ya kupokea ripoti, nyaraka na ushauri wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, Rais Jakaya Kikwete ameahidi kufanyia kazi na kutoa uamuzi katika wiki moja ijayo.
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Harusi na matanga katika wiki moja
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vl_EVEcGFPE/XnC3p9ZRvEI/AAAAAAALkEo/pUhpX0U9eXUNR9k4rEfI7xeMYd4vkKXmQCLcBGAsYHQ/s72-c/63c3b17a-c5d5-4b0d-83e7-97cfe5bb5ce1.jpg)
FORUMCC KUWAKUTANISHA WADAU WA MAZINGIRA ZAIDI YA 200 KATIKA MKUTANO MKUU WA SITA, RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE KUTOA HOTUBA
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii
RAIS Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne Jakaya Kikwete anatarajiwa kutoa hotuba katika Mkutano Mkuu wa Sita wa Mabadiliko ya Tabianchi unaotarajiwa kufanyika Machi 25 hadi 26 mwaka huu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam ambapo wadau zaidi ya 200 wanatarajiwa kuhudhuriwa mkutano huo.
Mkutano huo umeandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la FORUMCC linalojihusisha na kuleta ushawishi wa kuchukua hatua...
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AFUNGUA MAADHIMISHO YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI YALIYOFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA TANGAMANO MJINI TANGA LEO
11 years ago
Michuzi12 Jun
Zaidi ya Taasisi 30 za Serikali kushiriki katika maonesho ya wiki moja ya utumishi wa Umma
![](https://3.bp.blogspot.com/-38p8CGmQ05U/U5h8LFEw_dI/AAAAAAACz4Y/h65ve9m7L2E/s1600/N.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-YugxqwLOOtw/U5h8NHPXI_I/AAAAAAACz4g/OgmErnkwWlI/s1600/Pix-02.jpg)
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS AONGOZA MAELFU KATIKA MAZISHI YA WATU SITA WA FAMILIA MOJA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MOTO
Baba wa watoto wawili waliokufa katika ajali ya moto, Emmanuel Mpila akiweka shada la maua katika kaburi la mmoja wa watoto wake, Pauline.
10 years ago
Habarileo19 Dec
Rais Kikwete kuzungumzia sakata la Escrow
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kulihutubia taifa leo wakati atakapozungumza na wazee wa mkoa wa Dar es Salaam.