Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Uamuzi Escrow ndani ya wiki moja

BAADA ya kupokea ripoti, nyaraka na ushauri wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, Rais Jakaya Kikwete ameahidi kufanyia kazi na kutoa uamuzi katika wiki moja ijayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete kutoa maamuzi ya Escrow katika wiki moja

Jakaya Kikwete, president of Tanzania, answers questions at a press conference at the United Nations (UN) building in Addis Ababa, Ethiopia, during the 12th African Union (AU) Summit.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

-Apokea Ripoti, nyaraka na maazimio ya Bunge

-Aagiza Ripoti ya CAG iwekwe wazi hadharani

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea Ripoti, nyaraka na ushauri wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu Akaunti ya Tegeta Escrow na atavifanyia maamuzi katika wiki moja ijayo.

Rais Kikwete ambaye alianza kazi rasmi jana, Jumatatu, Desemba 8, 2014 baada ya mapumziko ya...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI LUKUVI AAGIZA HATI ZA ARDHI KUTOLEWA NDANI YA WIKI MOJA

Waziri wa Ardhi Nyunba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akiangalia bango linaloonesha uzinduzi wa Ofisi ya Ardhi mkoa wakati wa hafla fupi ya kuzindua ofisi hiyo mkoa wa Tanga jana, Kulia kwa Waziri wa Ardhi ni Katibu Mkuu Mary Makondo na wa tatu kulia ni Mkuu wa mkoa wa Tanga martine Shigela.
Muonekano wa Ofisi mpya ya Ardhi mkoa wa Tanga ambayo imezinduliwa rasmi jana na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi.
Baadhi ya Wananchi...

 

9 years ago

Michuzi

KADCO YAOKOA ZAIDI YA BILIONI 2 UWANJA WA NDEGE WA KIA NDANI YA WIKI MOJA.

Kaimu Mkurugenzi wa KADCO ,Bakari Murusuri |(Katikati) kushoto kwake ni mkurugenzi wa shughuli mama za kiwanja na huduma KADCO,Christopher Mukoma na kulia kwake ni Meneja usalama wa Kiwanja, Justine Kisusi walipokutana na wanahabari . Kaimu mkurug4e3nzi wa KADCO ,Bakari Murusuri akizung4umza na wanahabari (hawako pichani ) kuhusu matukio mbalimbali yaliyojitokeza katika uwanja huo. Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) Eneo la ndani la uwanja wa ndege wa...

 

10 years ago

Habarileo

Bakwata yahimiza kuheshimiwa uamuzi wa JK kuhusu Escrow

Alhadi Mussa SalumBARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Watanzania kuheshimu uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete na mamlaka zinazohusika kuhusu suala la akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Vijimambo

JK kutoa maamuzi Escrow wiki ijayo

  Aagiza ripoti ya CAG iwekwe kwenye magazeti, mitandao ya kijamiiRais Jakaya Kikwete, anatarajia kutoa maamuzi kuhusiana na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) wiki ijayo.

Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, ilieleza kuwa Rais Kikwete atafanya maamuzi hayo baada ya kupokea ripoti, nyaraka na ushauri wa Bunge kuhusu akaunti hiyo.

Taarifa hiyo ilieleza kuwa Rais Kikwete alipokea Ripoti ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Harusi na matanga katika wiki moja

Vigelegele kwa harusi Kenya huku mkasa ukizonga Uganda. Ni baadhi ya picha tulizokukusanyia

 

10 years ago

Habarileo

Yanga waenda likizo wiki moja

UONGOZI wa timu ya soka ya Yanga umetoa mapumziko ya wiki moja kwa wachezaji wake hadi Novemba 12, mwaka huu baada ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara kuwa imesimama kwa muda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Benki za Ugiriki kufungwa kwa wiki moja

Serikali ya Ugiriki imethibitisha kuwa benki zake zitafungwa kwa kipindi cha juma moja kufuatia uamuzi wa benki kuu barani Ulaya kutoendelea kutoa fedha za kukabiliana na dharura.

 

10 years ago

Mwananchi

Kama mnalitafuta joka basi huyu escrow ni yai tena moja tu!

Hatupaswi kufurahia kushughulika na matokeo bali uhodari wetu wa kuzuia mabalaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani