Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga waenda likizo wiki moja

UONGOZI wa timu ya soka ya Yanga umetoa mapumziko ya wiki moja kwa wachezaji wake hadi Novemba 12, mwaka huu baada ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara kuwa imesimama kwa muda.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Waenda Zanzibar kuadhimisha wiki ya anga

MWENYEKITI wa Kamati ya Maandalizi siku ya Usafiri wa Anga, Mtesigwa Maugo amesema wamewawezesha wanafunzi 20 kutoka shule tofauti za msingi jijini hapa kwenda Zanzibar kutembea wakati wa maadhimisho ya...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga wadamka kuchagua Rais, waenda Shinyanga

WACHEZAJI wa Yanga jana walilazimika kuamka mapema zaidi kujipanga katika vituo vya kupigia kura ili wakamilishe haki yao ya kikatiba na kisha waanze safari ya mkoani Shinyanga kuifuata Stand United ya huko.

 

10 years ago

Habarileo

JK: Uamuzi Escrow ndani ya wiki moja

BAADA ya kupokea ripoti, nyaraka na ushauri wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, Rais Jakaya Kikwete ameahidi kufanyia kazi na kutoa uamuzi katika wiki moja ijayo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Harusi na matanga katika wiki moja

Vigelegele kwa harusi Kenya huku mkasa ukizonga Uganda. Ni baadhi ya picha tulizokukusanyia

 

10 years ago

BBCSwahili

Benki za Ugiriki kufungwa kwa wiki moja

Serikali ya Ugiriki imethibitisha kuwa benki zake zitafungwa kwa kipindi cha juma moja kufuatia uamuzi wa benki kuu barani Ulaya kutoendelea kutoa fedha za kukabiliana na dharura.

 

11 years ago

Habarileo

Uda wapewa wiki moja kupaka magari rangi

MAMLAKA ya Usafiri wa Nchikavu na Majini (Sumatra), imetoa wiki moja kwa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), kupaka rangi katika mabasi yao, zinazoonesha njia ambako yanatoa huduma.

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete kutoa maamuzi ya Escrow katika wiki moja

Jakaya Kikwete, president of Tanzania, answers questions at a press conference at the United Nations (UN) building in Addis Ababa, Ethiopia, during the 12th African Union (AU) Summit.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

-Apokea Ripoti, nyaraka na maazimio ya Bunge

-Aagiza Ripoti ya CAG iwekwe wazi hadharani

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea Ripoti, nyaraka na ushauri wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu Akaunti ya Tegeta Escrow na atavifanyia maamuzi katika wiki moja ijayo.

Rais Kikwete ambaye alianza kazi rasmi jana, Jumatatu, Desemba 8, 2014 baada ya mapumziko ya...

 

11 years ago

Michuzi

JK AELEKEA MKOANI RUVUMA KWA ZIARA YA KIKAZI YA WIKI MOJA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana  na Kamishna wa Polisi Msaidizi Mwandamizi (SACP) Mary Nzuki, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Ilala, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Julai 17, 2014  wakati akipanda ndege kuelekea mkoani  Ruvuma kuanza ziara ya Kikazi ya wiki moja ambapo atakagua na kuzindua miradi ya maendeleo na kuongea na wananchi. Kati kati ni Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP)  Hamisi Selemani, Kamanda wa Polisi katika Uwanja huo...

 

10 years ago

Michuzi

mafunzo ya wiki moja ya matumizi ya teknolojia ya mawasiliano na mitandao ya kijamii

Mjumbe wa Bodi ya Utendaji wa Kituo cha Ushirikiano wa kilimo na Maendeleo Vijijini cha nchi za Umoja wa Ulaya, Afrika, Karebiani na Pasifiki (CTA), ProfesaFaustin Kamuzora akisisitiza jambo wakati wa ufunguzi rasmi wa mafunzo ya wiki moja ya matumizi ya teknolojia ya mawasiliano na mitandao ya kijamii kwa wadau toka taasisi mbalimbali nchini jana jijini Dar es Salaam.  Mafunzo hayo yanaendeshwa na CTA na Taasisi ya Nafaka ya Afrika ya Mashariki (EAGI).  

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani