Yanga waenda likizo wiki moja
UONGOZI wa timu ya soka ya Yanga umetoa mapumziko ya wiki moja kwa wachezaji wake hadi Novemba 12, mwaka huu baada ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara kuwa imesimama kwa muda.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Waenda Zanzibar kuadhimisha wiki ya anga
MWENYEKITI wa Kamati ya Maandalizi siku ya Usafiri wa Anga, Mtesigwa Maugo amesema wamewawezesha wanafunzi 20 kutoka shule tofauti za msingi jijini hapa kwenda Zanzibar kutembea wakati wa maadhimisho ya...
9 years ago
Habarileo26 Oct
Yanga wadamka kuchagua Rais, waenda Shinyanga
WACHEZAJI wa Yanga jana walilazimika kuamka mapema zaidi kujipanga katika vituo vya kupigia kura ili wakamilishe haki yao ya kikatiba na kisha waanze safari ya mkoani Shinyanga kuifuata Stand United ya huko.
10 years ago
Habarileo10 Dec
JK: Uamuzi Escrow ndani ya wiki moja
BAADA ya kupokea ripoti, nyaraka na ushauri wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, Rais Jakaya Kikwete ameahidi kufanyia kazi na kutoa uamuzi katika wiki moja ijayo.
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Harusi na matanga katika wiki moja
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Benki za Ugiriki kufungwa kwa wiki moja
11 years ago
Habarileo06 Jun
Uda wapewa wiki moja kupaka magari rangi
MAMLAKA ya Usafiri wa Nchikavu na Majini (Sumatra), imetoa wiki moja kwa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), kupaka rangi katika mabasi yao, zinazoonesha njia ambako yanatoa huduma.
10 years ago
Dewji Blog09 Dec
Rais Kikwete kutoa maamuzi ya Escrow katika wiki moja
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
-Apokea Ripoti, nyaraka na maazimio ya Bunge
-Aagiza Ripoti ya CAG iwekwe wazi hadharani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea Ripoti, nyaraka na ushauri wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu Akaunti ya Tegeta Escrow na atavifanyia maamuzi katika wiki moja ijayo.
Rais Kikwete ambaye alianza kazi rasmi jana, Jumatatu, Desemba 8, 2014 baada ya mapumziko ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2DMelIus3Y8/U8emwfkAx8I/AAAAAAAF3AY/1LMmStp0pQU/s72-c/a1.jpg)
JK AELEKEA MKOANI RUVUMA KWA ZIARA YA KIKAZI YA WIKI MOJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2DMelIus3Y8/U8emwfkAx8I/AAAAAAAF3AY/1LMmStp0pQU/s1600/a1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sfrFsn4OGrI/Va1pAOb7YfI/AAAAAAAHqs0/EQyD8xuNxew/s72-c/unnamed.jpg)
mafunzo ya wiki moja ya matumizi ya teknolojia ya mawasiliano na mitandao ya kijamii
![](http://2.bp.blogspot.com/-sfrFsn4OGrI/Va1pAOb7YfI/AAAAAAAHqs0/EQyD8xuNxew/s640/unnamed.jpg)