Uda wapewa wiki moja kupaka magari rangi
MAMLAKA ya Usafiri wa Nchikavu na Majini (Sumatra), imetoa wiki moja kwa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), kupaka rangi katika mabasi yao, zinazoonesha njia ambako yanatoa huduma.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Diwani aahidi kupaka rangi mabati ya shule
DIWANI wa Kata ya Levelos, Ephata Nanyaro, (CHADEMA), amesema kuwa atapaka rangi kwenye mabati ya shule ya Msingi Levelos ili kuwawezesha wanafunzi kupata maji safi yanayovunwa nyakati za mvua. Aidha,...
10 years ago
VijimamboTBA wapewa wiki mbili kukarabati majengo mawili
10 years ago
MichuziTBA wapewa wiki mbili kukarabati majengo mawili
Dkt. Magufuli pia ameagiza aliyekuwa meneja wa TBA Mkoa wa Kilimanjaro, Paul Ndossa kusimamishwa kazi mahali alipo ili arejee kujibu tuhuma na kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria.
Waziri huyo alitoa agizo hilo wakati akikagua jengo la mkuu wa Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro...
10 years ago
MichuziTrilioni Moja kutumika kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam.
SERIKALI imedhamiria kupunguza msongamano wa magari ndani ya jiji la Dar es Salaam kwakujenga barabara sita zitakazo ambazo ujenzi wake utasimamiwa na TANROADS. Ujenzi huo unatarajiwa kugharimu sh. trilioni moja ambapo lengo barabara hizo ni kupunguza adha ya msongamano wa magari katika maeneo mbalimbali ya jijini Dar es saalam.
Waziri wa Ujenzi Dkt.John Magufuli alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akiweka jiwe la msingi kuashiria uzinduzi rasmi wa ujenzi wa...
10 years ago
VijimamboWANAHABARI WAPEWA SEMINA KUHUSU WIKI YA USALAMA BARABARANI YA UMOJA WA MATAIFA DAR ES SALAAM LEO
Ofisa Mradi wa Usalama Barabarani wa Shirika...
10 years ago
GPLWANAHABARI WAPEWA SEMINA KUHUSU WIKI YA USALAMA BARABARANI YA UMOJA WA MATAIFA JIJINI DAR LEO
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Harusi na matanga katika wiki moja
9 years ago
Habarileo05 Nov
Yanga waenda likizo wiki moja
UONGOZI wa timu ya soka ya Yanga umetoa mapumziko ya wiki moja kwa wachezaji wake hadi Novemba 12, mwaka huu baada ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara kuwa imesimama kwa muda.
10 years ago
Habarileo10 Dec
JK: Uamuzi Escrow ndani ya wiki moja
BAADA ya kupokea ripoti, nyaraka na ushauri wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, Rais Jakaya Kikwete ameahidi kufanyia kazi na kutoa uamuzi katika wiki moja ijayo.