Yanga wadamka kuchagua Rais, waenda Shinyanga
WACHEZAJI wa Yanga jana walilazimika kuamka mapema zaidi kujipanga katika vituo vya kupigia kura ili wakamilishe haki yao ya kikatiba na kisha waanze safari ya mkoani Shinyanga kuifuata Stand United ya huko.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo05 Nov
Yanga waenda likizo wiki moja
UONGOZI wa timu ya soka ya Yanga umetoa mapumziko ya wiki moja kwa wachezaji wake hadi Novemba 12, mwaka huu baada ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara kuwa imesimama kwa muda.
9 years ago
Mwananchi19 Oct
Saa 144 za uamuzi wa kuchagua rais
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Raia wa Nigeria kuchagua rais mpya
11 years ago
Habarileo20 May
Malawi kuchagua Rais, wabunge leo
WANANCHI wa Malawi, leo wanapiga kura kuchagua rais atakayeiongoza nchi hiyo kwa kipindi kingine cha miaka mitano. Kadhalika, watachagua wabunge na madiwani. Hii ni mara ya kwanza kwa wananchi wa Malawi kupiga kura tatu.
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Wapiga kura milioni 13 kuchagua rais Sudan
9 years ago
StarTV12 Oct
Pinda awataka watanzania kuchagua Rais mwajibikaji
Mjumbe wa kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi taifa Mizengo Pinda amewataka watanzania kutofanya makosa kuwachagua wagombea wasiokuwa na uwezo wakuongoza na kuleta maendeleo ya kweli akidai kuwa Mgombea wa Chama cha Mapinduzi Dokta John Magufuli ndiye kiongozi mwenye uwezo wa kufanya mabadiliko ya kweli kwa awamu ya tano.
Pinda amezungumza hayo katika vijiji vya Mwamapuli na Usevya kwenye mikutano ya hadhara ya kumnadi mgombea urais wa CCM pamoja na mbunge ...
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Rais wa Myanmar aonya dhidi ya kuchagua upinzani
10 years ago
BBCSwahili20 Jul
FIFA kuchagua rais mpya Februari 2016
11 years ago
BBCSwahili13 Apr
Raia wa Guinea Bissau kuchagua rais mpya