Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FIFA kuchagua rais mpya Februari 2016

Shirikisho la soka duniani Fifa litaandaa kongamano la dharura kuchagua rais mpya tarehe 26 mwezi februari mwakani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Nigeria kuchagua rais mpya

Mamilioni ya wapiga kura hii leo wanapiga kura nchini Nigeria kwenye uchaguzi wa urais wa kinyang'anyiro kikali

 

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa Guinea Bissau kuchagua rais mpya

Uchaguzi wa urais na maeneo bunge unafanyika katika taifa dogo la afrika magharibi Guinea Bissau.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA yamuunga rais mpya wa soka Nigeria

Rais wa FIFA Sepp Blatter amemuunga mkono Amaju Pinnick kama rais mpya wa shirikisho la soka nchini Nigeria NFF.

 

9 years ago

Michuzi

Dar Live na Shangwe za Kuukaribisha Mwaka Mpya 2016, Christian Bella Aweka Rekodi Mpya!

bella (69)Bella akicheza na mashabiki wakebella (71)bella (73)Shoo ikinogabella (74)Bella na mashabiki jukwaanibella (75)Mashabiki wakizidi kupagwa.PICHA NA MUSA MATEJA/GPLKwa picha zaidiBOFA HAPA pia BOFYA HAPA

 

11 years ago

Habarileo

Bunge la Katiba mpya Februari 18

KIKAO cha kwanza cha Bunge la Katiba, kitaanza rasmi Februari 18 mwaka huu kwa kuchagua viongozi wa Bunge hilo, kuapishana na baadaye kuzinduliwa rasmi. Muda wa Bunge hilo unatarajiwa kuwa siku 70 lakini kama maafikiano yatakuwa hayajafikiwa, kitaongezwa siku 20 kujadili rasimu hiyo ya pili ya Katiba na kupata Katiba itakayopigiwa kura na Watanzania.

 

11 years ago

Habarileo

Malawi kuchagua Rais, wabunge leo

WANANCHI wa Malawi, leo wanapiga kura kuchagua rais atakayeiongoza nchi hiyo kwa kipindi kingine cha miaka mitano. Kadhalika, watachagua wabunge na madiwani. Hii ni mara ya kwanza kwa wananchi wa Malawi kupiga kura tatu.

 

9 years ago

Mwananchi

Saa 144 za uamuzi wa kuchagua rais

Zimesalia saa 144 za kampeni ambazo wagombea wa vyama vyote vya siasa watazitumia kutupa karata zao za mwisho wakilenga kupata ushawishi wa mwishomwisho na hatimaye kunyakua ushindi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Myanmar aonya dhidi ya kuchagua upinzani

Rais wa Myanmar Thein Sein amewaonya raia wa nchi hiyo dhidi ya kupigia kura chama cha upinzani cha Aung San Suu-Kyi.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga wadamka kuchagua Rais, waenda Shinyanga

WACHEZAJI wa Yanga jana walilazimika kuamka mapema zaidi kujipanga katika vituo vya kupigia kura ili wakamilishe haki yao ya kikatiba na kisha waanze safari ya mkoani Shinyanga kuifuata Stand United ya huko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani