Raia wa Nigeria kuchagua rais mpya
Mamilioni ya wapiga kura hii leo wanapiga kura nchini Nigeria kwenye uchaguzi wa urais wa kinyang'anyiro kikali
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 Apr
Raia wa Guinea Bissau kuchagua rais mpya
10 years ago
BBCSwahili20 Jul
FIFA kuchagua rais mpya Februari 2016
11 years ago
BBCSwahili05 Oct
Raia wa Brazil kumchagua rais mpya
11 years ago
BBCSwahili10 Aug
Raia wa Uturuki kumchagua rais mpya
10 years ago
BBCSwahili23 Nov
Raia wa Tunisia kumchagua rais mpya
5 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI ATOA MAAGIZO STENDI MPYA YA MABASI DODOMA,AKATAZA WAPIGA DEBE,SUMA JKT KUPIGISHA RAIA VICHURA
RAIS Dk.John Magufuli ametoa maelekezo kadhaa kwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kuhusu Stendi Kuu ya mabasi ya jijini humo yakiwemo ya kuhakikisha wajasiriamali wadogo,Mama Lishe, waendesha bodaboda na daladala kufika kituoni hapo bila kusumbuliwa.
Pia ametoa maelekezo ya askari wa Suma JKT wenye tabia ya kupigisha watu vichura kuacha mara moja, kwani hayuko tayari kuona Watanzania waliohuru kwenye nchi wakirushwa vichura na ametumia nafasi hiyo kumwambia Mkurugenzi...
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Mastaa Nigeria wampongeza rais mpya
BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
NYOTA mbalimbali wa filamu na muziki nchini Nigeria, wamempongeza Rais mteule wa Nigeria, Jenerali Muhammad Buhari.
Licha ya kupongeza huko, mastaa hao kwa nyakati tofauti waliandika katika kurasa za mitandao yao wakimpongeza Rais aliyemaliza muda wake, Good luck Jonathan kwa kukubali kuachia nafasi hiyo kwa amani.
Wasanii waliopongeza hilo kupitia mitandanoni ni pamoja na Peter na Paul ndugu wanaounda kundi la P Square, Davido pamoja na wasanii wengine wengi wa filamu.
10 years ago
BBCSwahili29 May
Historia fupi ya rais mpya wa Nigeria
11 years ago
BBCSwahili02 Oct
FIFA yamuunga rais mpya wa soka Nigeria