Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raia wa Nigeria kuchagua rais mpya

Mamilioni ya wapiga kura hii leo wanapiga kura nchini Nigeria kwenye uchaguzi wa urais wa kinyang'anyiro kikali

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa Guinea Bissau kuchagua rais mpya

Uchaguzi wa urais na maeneo bunge unafanyika katika taifa dogo la afrika magharibi Guinea Bissau.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA kuchagua rais mpya Februari 2016

Shirikisho la soka duniani Fifa litaandaa kongamano la dharura kuchagua rais mpya tarehe 26 mwezi februari mwakani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa Brazil kumchagua rais mpya

Raia wa Brazil wanapiga kura kumchagua rais na viongozi muhimu wa majimbo ya taifa hilo kubwa lililopo Marekani kusini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa Uturuki kumchagua rais mpya

Raia wa Uturuki wanapiga kura hii leo kumchagua rais wao moja kwa moja kwa mara ya kwanza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Tunisia kumchagua rais mpya

Wapiga kura nchini Tunisia wanaelekea katika vituo vya kupigia kura hii leo kumchagua rais mpya.

 

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI ATOA MAAGIZO STENDI MPYA YA MABASI DODOMA,AKATAZA WAPIGA DEBE,SUMA JKT KUPIGISHA RAIA VICHURA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV

RAIS Dk.John Magufuli ametoa maelekezo kadhaa kwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kuhusu Stendi Kuu ya mabasi ya jijini humo yakiwemo ya kuhakikisha wajasiriamali wadogo,Mama Lishe, waendesha bodaboda na daladala kufika kituoni hapo bila kusumbuliwa.

Pia ametoa maelekezo ya askari wa Suma JKT wenye tabia ya kupigisha watu vichura kuacha mara moja, kwani hayuko tayari kuona Watanzania waliohuru kwenye nchi wakirushwa vichura na ametumia nafasi hiyo kumwambia Mkurugenzi...

 

10 years ago

Mtanzania

Mastaa Nigeria wampongeza rais mpya

RaisBADI MCHOMOLO NA MTANDAO
NYOTA mbalimbali wa filamu na muziki nchini Nigeria, wamempongeza Rais mteule wa Nigeria, Jenerali Muhammad Buhari.
Licha ya kupongeza huko, mastaa hao kwa nyakati tofauti waliandika katika kurasa za mitandao yao wakimpongeza Rais aliyemaliza muda wake, Good luck Jonathan kwa kukubali kuachia nafasi hiyo kwa amani.
Wasanii waliopongeza hilo kupitia mitandanoni ni pamoja na Peter na Paul ndugu wanaounda kundi la P Square, Davido pamoja na wasanii wengine wengi wa filamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Historia fupi ya rais mpya wa Nigeria

Je unamjua kiongozi mpya wa Nigeria jenerali Muhammadu Buhari wa chama cha upinzani cha APC aliyemshinda Goodluck Jonathan katika uchaguzi uliopita ?

 

11 years ago

BBCSwahili

FIFA yamuunga rais mpya wa soka Nigeria

Rais wa FIFA Sepp Blatter amemuunga mkono Amaju Pinnick kama rais mpya wa shirikisho la soka nchini Nigeria NFF.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani