Raia wa Tunisia kumchagua rais mpya
Wapiga kura nchini Tunisia wanaelekea katika vituo vya kupigia kura hii leo kumchagua rais mpya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Oct
Raia wa Brazil kumchagua rais mpya
Raia wa Brazil wanapiga kura kumchagua rais na viongozi muhimu wa majimbo ya taifa hilo kubwa lililopo Marekani kusini.
11 years ago
BBCSwahili10 Aug
Raia wa Uturuki kumchagua rais mpya
Raia wa Uturuki wanapiga kura hii leo kumchagua rais wao moja kwa moja kwa mara ya kwanza.
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Tunisia kumchagua mrithi wa Ben Ali.
Tunisia inapiga kura hii leo katika raundi ya pili na ya mwisho ya kile kinachoonekana kama uchaguzi wa rais wa kihistoria.
10 years ago
Vijimambo21 Dec
Tunisia kumchagua mrithi wa Ben Ali.-BBC
Raia wa tunisia wapiga kura ya kumchagua rais mpya wa taifa hilo tangu kuondolewa kwa Abedinne Ben Ali
Raia wa Tunisia wanapiga kura hii leo katika raundi ya pili na ya mwisho ya kile kinachoonekana kama uchaguzi wa rais wa kihistoria.
Ni uchaguzi unaotarajiwa kuleta demokrasia nchini humo,ambao unajiri miaka minne tangu kuondolewa madarakani kwa Zine Abedine Ben Ali.
Wagombea wa sasa ni kaimu rais Moncef Marzouki ambaye amekuwa mwanaharakati wa haki za kibinaadamu kwa muda mrefu na Beiji Caid...
Raia wa Tunisia wanapiga kura hii leo katika raundi ya pili na ya mwisho ya kile kinachoonekana kama uchaguzi wa rais wa kihistoria.
Ni uchaguzi unaotarajiwa kuleta demokrasia nchini humo,ambao unajiri miaka minne tangu kuondolewa madarakani kwa Zine Abedine Ben Ali.
Wagombea wa sasa ni kaimu rais Moncef Marzouki ambaye amekuwa mwanaharakati wa haki za kibinaadamu kwa muda mrefu na Beiji Caid...
10 years ago
BBCSwahili31 Dec
Rais mpya wa Tunisia kuapishwa
Rais mteule wa Tunisia Beji Caid Essebsi anatarajiwa kuapishwa baada ya kushinda uchaguzi wa kwanza uliokuwa huru nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili28 Mar
Raia wa Nigeria kuchagua rais mpya
Mamilioni ya wapiga kura hii leo wanapiga kura nchini Nigeria kwenye uchaguzi wa urais wa kinyang'anyiro kikali
11 years ago
BBCSwahili13 Apr
Raia wa Guinea Bissau kuchagua rais mpya
Uchaguzi wa urais na maeneo bunge unafanyika katika taifa dogo la afrika magharibi Guinea Bissau.
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Raia 30 wa Uingereza wauawa Tunisia
Raia 30 wa Uingereza ni miongoni mwa watu 39 waliouawa nchini Tunisia katika mji wa kitalii wa Sousse pwani ya Tunisia
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Raia 30 wa Uingereza waliuawa Tunisia
Raia 30 wa Uingereza ni miongoni mwa watu 39 waliouawa nchini Tunisia katika mji wa kitalii wa Sousse pwani ya Tunisia
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania