Tunisia kumchagua mrithi wa Ben Ali.
Tunisia inapiga kura hii leo katika raundi ya pili na ya mwisho ya kile kinachoonekana kama uchaguzi wa rais wa kihistoria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo21 Dec
Tunisia kumchagua mrithi wa Ben Ali.-BBC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/21/141221103422_tunisia_voter_640x360_epa.jpg)
Raia wa Tunisia wanapiga kura hii leo katika raundi ya pili na ya mwisho ya kile kinachoonekana kama uchaguzi wa rais wa kihistoria.
Ni uchaguzi unaotarajiwa kuleta demokrasia nchini humo,ambao unajiri miaka minne tangu kuondolewa madarakani kwa Zine Abedine Ben Ali.
Wagombea wa sasa ni kaimu rais Moncef Marzouki ambaye amekuwa mwanaharakati wa haki za kibinaadamu kwa muda mrefu na Beiji Caid...
10 years ago
BBCSwahili23 Nov
Raia wa Tunisia kumchagua rais mpya
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/27C7/production/_84238101_benyoussef.jpg)
Ben Youssef returns to Tunisia
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JJvUYu8vIBs/XuY8UNAej6I/AAAAAAALtzQ/5CTrOmgcoFA0MG4od30OP6vg5GrPFfDiQCLcBGAsYHQ/s72-c/913.jpg)
WANA CCM,WANANCHI WAJITAFAKARI KUMCHAGUA KIONGOZI ATAKAYEWAFAA KUWAONGOZA KIPINDI KIJACHO-BALOZI SEIF ALI IDDI
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema wakati muda wa kuelekea katika uchaguzi Mkuu unakaribia Wana CCM na Wananchi wana fursa nzuri ya kutafakari Kiongozi atakayefaa kuwaongoza katika kipindi kijacho cha Miaka Mitano.
Alisema Viongozi wanaofaa kushika hatamu ya kuwaongoza vyema ni wale wenye uwezo kamili wa kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM inayokwenda kisasa katika mazingira ya Karne ya sasa ya Sayansi na Teknolojia Ulimwenguni.
Balozi Seif Ali Iddi alitoa Kauli...
9 years ago
Mtanzania10 Dec
Ne-Yo awanyanyua Ali Kiba, Vanessa Mdee, Ben Pol, Fid Q
NA MWANDISHI WETU
MWIMBAJI maarufu duniani wa miondoko ya R&B kutoka Marekani, Ne-Yo, ameacha gumzo kwa wapenzi wa muziki wanaofuatilia onyesho la Coke Studio kutokana na umahiri aliouonyesha katika kolabo alizofanya na wasanii kutoka barani Afrika.
Katika msimu huu, amefanya kolabo na wanamuziki Wangechi (Kenya), Ali Kiba (Tanzania), Maurice Kirya (Uganda), Dama Do Bling (Msumbiji) na Ice Prince (Nigeria).
Kolabo alizofanya na wasanii hao zimeleta burudani ya pekee kwa wapenzi wa muziki wa...
9 years ago
Bongo509 Nov
Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…
![Ben SA-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ben-SA-1-300x194.jpg)
Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.
Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.
Ben Pol na Patoranking
Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Ben Pol aanza mwaka na Ben Pol
Ben Pol.
Khadija Mngwai, Dar es Salaam
MWANAMUZIKI wa muziki wa Kizazi kipya ‘Bongo Fleva, Benard Paul (Ben Pol) amefunguka kwa kusema kuwa anauanza mwaka wa 2016 kwa kutoa albamu yake iliyobeba nyimbo 13, mwanzoni mwa mwezi wa pili.
Akizungumza na Championi Jumatano, Pol amesema kuwa wasanii wengi wamekuwa wakiuchukulia muziki huo ni wa kawaida tu kwa kuhitaji kujiingizia kipato na siyo kuwa ‘serious’ na matokeo yake wanaishia kutoa nyimbo moja au mbili ili kupata shoo.
“Nimejipanga kuweka...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/12106790_902665553133518_4158826077698818347_n1.jpg)
10 years ago
BBCSwahili06 Feb