Nigeria kumchagua Rais Jumamosi
Nigeria inatarajiwa kufanya uchaguzi wa Rais Jumamosi ijayo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Jan
Wabunge CAR kumchagua Rais wa mpito
Wabunge katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wameanza mkutano wa kumchagua Rais wa mpito, huku ghasia zikiendelea kati ya waisilamu na wakristo
10 years ago
BBCSwahili05 Oct
Raia wa Brazil kumchagua rais mpya
Raia wa Brazil wanapiga kura kumchagua rais na viongozi muhimu wa majimbo ya taifa hilo kubwa lililopo Marekani kusini.
11 years ago
BBCSwahili10 Aug
Raia wa Uturuki kumchagua rais mpya
Raia wa Uturuki wanapiga kura hii leo kumchagua rais wao moja kwa moja kwa mara ya kwanza.
10 years ago
BBCSwahili23 Nov
Raia wa Tunisia kumchagua rais mpya
Wapiga kura nchini Tunisia wanaelekea katika vituo vya kupigia kura hii leo kumchagua rais mpya.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhx5XnZlqGg-luQZ2cAOLc5LAM3RmBq*Ox4QprB-She2*Ylyb6A1rFGAsM3uqAG4nnEygJoSCHhk0eF*FEh-qaE6/nkurunziza.jpg?width=650)
RAIS NKURUNZIZA APIGA KURA KUMCHAGUA MBUNGE
Rais Pierre Nkurunziza akiwasili kwenye kituo cha kupiga kura kwa usafiri wa baiskeli. Nkurunziza akiwa kwenye foleni kwenda kupiga kura yake ya kumchagua mbunge. Zaidi, soma hapa:==>> …
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7ZaZtW3Lbi89zbCebMsWiQpwyx4kPdlr7Zm91Yt8miC2Uruhd-msWkIlNezcXTK8xwtoJP7HuFDGak4m1bhiYRQ/url.jpg?width=600)
WANANCHI ZAMBIA LEO WAPIGA KURA KUMCHAGUA RAIS
Wananchi wa Zambia wakiendelea kupiga kura siku ya leo. Wananchi milioni tano na laki mbili wa Zambia waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wanashiriki katika uchaguzi wa kumchagua Rais atakayeziba pengo la Michael Sata aliyefariki dunia Oktoba mwaka jana. Mgombea wa chama tawala cha Patriotic Front (PF) Edgar Lungu mwenye umri wa miaka 58 na ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi kwa sasa ana matumaini ya kupata ushindi katika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqzQuk88sTpduBY6-kwN-fIr1vIkgmib4ukVkJ3QmlDOvJan37CBALqDV*JDhTqQkyJ7DtgKAdgxPSW1Mcnyw5yJ/1.jpg?width=650)
WANANCHI AFGHANISTAN WAPIGA KURA KUMCHAGUA RAIS WAO
Mwananchi wa Afghanistan akipiga kura ya kumchagua rais mpya wa nchi hiyo. Rais Hamid Karzai akipiga kura yake mjini Kabul. Mpiga kura…
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-w-OSdNJF8AU/U0Ebx5HznSI/AAAAAAAAM7g/GID_WmB7gfY/s1600/1.jpg)
RAIS KIKWETE, MAMA SALMA WAUNGANA NA WANACHALINZE KUPIGA KURA KUMCHAGUA MBUNGE WAO LEO
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akisoma karatasi ya kupigia kura kabla ya kupiga kura kumchagua Mbunge wa Jimbo la Chalinze kwenye kituo cha kupigia kura cha Zahanati Msoga leo.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa kwenye chumba cha kupigia kura wakati wa kupiga kura za kumchagua Mbunge mpya wa Jimbo la Chalinze leo.… ...
11 years ago
BBCSwahili22 Jun
Wengi waliuwawa Nigeria Jumamosi
Taarifa za karibuni zaonesha watu wengi waliuliwa na wapiganaji kaskazini mwa Nigeria kushinda ilivyofikiriwa awali
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania