Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria kumchagua Rais Jumamosi

Nigeria inatarajiwa kufanya uchaguzi wa Rais Jumamosi ijayo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wabunge CAR kumchagua Rais wa mpito

Wabunge katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wameanza mkutano wa kumchagua Rais wa mpito, huku ghasia zikiendelea kati ya waisilamu na wakristo

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Brazil kumchagua rais mpya

Raia wa Brazil wanapiga kura kumchagua rais na viongozi muhimu wa majimbo ya taifa hilo kubwa lililopo Marekani kusini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Raia wa Uturuki kumchagua rais mpya

Raia wa Uturuki wanapiga kura hii leo kumchagua rais wao moja kwa moja kwa mara ya kwanza.

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Tunisia kumchagua rais mpya

Wapiga kura nchini Tunisia wanaelekea katika vituo vya kupigia kura hii leo kumchagua rais mpya.

 

10 years ago

GPL

RAIS NKURUNZIZA APIGA KURA KUMCHAGUA MBUNGE

Rais Pierre Nkurunziza akiwasili kwenye kituo cha kupiga kura kwa usafiri wa baiskeli. Nkurunziza akiwa kwenye foleni kwenda kupiga kura yake ya kumchagua mbunge. Zaidi, soma hapa:==>> …

 

10 years ago

GPL

WANANCHI ZAMBIA LEO WAPIGA KURA KUMCHAGUA RAIS

Wananchi wa Zambia wakiendelea kupiga kura siku ya leo. Wananchi milioni tano na laki mbili wa Zambia waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wanashiriki katika uchaguzi wa kumchagua Rais atakayeziba pengo la Michael Sata aliyefariki dunia Oktoba mwaka jana. Mgombea wa chama tawala cha Patriotic Front (PF) Edgar Lungu mwenye umri wa miaka 58 na ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi kwa sasa ana matumaini ya kupata ushindi katika...

 

11 years ago

GPL

WANANCHI AFGHANISTAN WAPIGA KURA KUMCHAGUA RAIS WAO

Mwananchi wa Afghanistan akipiga kura ya kumchagua rais mpya wa nchi hiyo. Rais Hamid Karzai akipiga kura yake mjini Kabul. Mpiga kura…

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE, MAMA SALMA WAUNGANA NA WANACHALINZE KUPIGA KURA KUMCHAGUA MBUNGE WAO LEO

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akisoma karatasi ya kupigia kura kabla ya kupiga kura kumchagua Mbunge wa Jimbo la Chalinze kwenye kituo cha kupigia kura cha Zahanati Msoga leo.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa kwenye chumba cha kupigia kura wakati wa kupiga kura za kumchagua Mbunge mpya wa Jimbo la Chalinze leo.… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wengi waliuwawa Nigeria Jumamosi

Taarifa za karibuni zaonesha watu wengi waliuliwa na wapiganaji kaskazini mwa Nigeria kushinda ilivyofikiriwa awali

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani