RAIS NKURUNZIZA APIGA KURA KUMCHAGUA MBUNGE
![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhx5XnZlqGg-luQZ2cAOLc5LAM3RmBq*Ox4QprB-She2*Ylyb6A1rFGAsM3uqAG4nnEygJoSCHhk0eF*FEh-qaE6/nkurunziza.jpg?width=650)
Rais Pierre Nkurunziza akiwasili kwenye kituo cha kupiga kura kwa usafiri wa baiskeli. Nkurunziza akiwa kwenye foleni kwenda kupiga kura yake ya kumchagua mbunge. Zaidi, soma hapa:==>> …
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-w-OSdNJF8AU/U0Ebx5HznSI/AAAAAAAAM7g/GID_WmB7gfY/s1600/1.jpg)
RAIS KIKWETE, MAMA SALMA WAUNGANA NA WANACHALINZE KUPIGA KURA KUMCHAGUA MBUNGE WAO LEO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqzQuk88sTpduBY6-kwN-fIr1vIkgmib4ukVkJ3QmlDOvJan37CBALqDV*JDhTqQkyJ7DtgKAdgxPSW1Mcnyw5yJ/1.jpg?width=650)
WANANCHI AFGHANISTAN WAPIGA KURA KUMCHAGUA RAIS WAO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7ZaZtW3Lbi89zbCebMsWiQpwyx4kPdlr7Zm91Yt8miC2Uruhd-msWkIlNezcXTK8xwtoJP7HuFDGak4m1bhiYRQ/url.jpg?width=600)
WANANCHI ZAMBIA LEO WAPIGA KURA KUMCHAGUA RAIS
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Rais Kikwete apiga kura kijijini kwake
NA PATRICIA KIMELEMETA, CHALINZE
RAIS Jakaya Kikwete jana alipiga kura kijijini kwake Msoga, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.
Rais Kikwete ambaye anamaliza muda wake wa uongozi wa miaka 10 tangu alipoingia madarakani Novemba 2005, aliwasili kijijini hapo katika Kituo cha Zahanati ya Msoga, jana saa 12:25 na kupanga foleni ya kupiga kura kama ilivyo kwa wananchi wengine.
Baada ya kumaliza kupiga kura, alisema amejitokeza kutumia haki yake ya msingi ya kuwapigia kura viongozi wanaotarajiwa...
9 years ago
MichuziRais Kikwete apiga kura Kijijini Kwake Msoga.
MKE WA...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqylFzOprOoJpP3g7IYbHDsmQ*aVtKKONGlN3W8j9g2w1gldrQBZUb4PIhDh*DF306xTrBgXbmdw1w2tAgBDOL5h/UpigajiKuraTanzania.jpg)
WANANCHI JIMBO LA CHALINZE KUMCHAGUA MBUNGE WAO LEO
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_L-w3V54RZY/VjUfiRKVO0I/AAAAAAAID0Y/CbFu5tZnZUA/s72-c/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
Mbunge Mteule wa jimbo la Mafinga Mjini Cosato Chumi ashukuru wananchi kwa kumchagua
![](http://3.bp.blogspot.com/-_L-w3V54RZY/VjUfiRKVO0I/AAAAAAAID0Y/CbFu5tZnZUA/s640/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
Mbunge Mteule wa jimbo la Mafinga Mjini Ndugu Cosato Chumi akiwa amebebwa na wananchi wa Kijiji cha Isalavanu wakati wa ziara yake ya kuwashukuru wananchi kwa kumpa kura za wingi.Ndugu Chumi ametembelea jumla ya Vijiji 15 kwa muda wa siku mbili katika kata za Bumilayinga, Sao Hill, Isalavanu na Rungemba. Baada ya kuapishwa ataendelea katika kata zilizosalia ambazo ziko katikati ya Mji wa Mafinga. Mhe. Chumi amesema yeye sasa ni mbunge wa wote waliompa kura na hata ambao hawakumpa kura,...
9 years ago
VijimamboMBUNGE MTEULE WA JIMBO LA ILEJE MKOANI SONGWE, MH JANET MBENE AWASHURU WANANCHI KWA KUMCHAGUA
Akizungumza na wakazi wa Ileje, Mbene alisema ushindi wa kura 27,583 aliopewa na wana Ileje dhidi...
9 years ago
VijimamboMPIGA KURA AKIWA NA KIKATIO CHAKE BAADA YA KUKITENDEA KHAKI KUMCHAGUA KIONGOZI MWADIRIFU NA MCHA KAZI
TAYAAAARI NIMESHAFANYA YANGU... NIMEMNYOOSHA MTU MAPEMA TU HAINA KUREMBA...... MWENYEZ MUNGU IBARIKI NCHI YETU PAMOJA NA WATU WAKE, INSHAALLAH KWA BARAKA ZAKO NA KUTUTAKIA MEMA WAJA WAKO (WATANZANIA) ATASHINDA NILIYEMCHAGUA AMBAE NDO NINA IMANI NDIO CHAGUO SAHIHI KWA MUSTAKHBALI MWEMA WA MAENDELEO YA TAIFA LETU...