Mbunge Mteule wa jimbo la Mafinga Mjini Cosato Chumi ashukuru wananchi kwa kumchagua
![](http://3.bp.blogspot.com/-_L-w3V54RZY/VjUfiRKVO0I/AAAAAAAID0Y/CbFu5tZnZUA/s72-c/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
Mbunge Mteule wa jimbo la Mafinga Mjini Ndugu Cosato Chumi akiwa amebebwa na wananchi wa Kijiji cha Isalavanu wakati wa ziara yake ya kuwashukuru wananchi kwa kumpa kura za wingi.Ndugu Chumi ametembelea jumla ya Vijiji 15 kwa muda wa siku mbili katika kata za Bumilayinga, Sao Hill, Isalavanu na Rungemba. Baada ya kuapishwa ataendelea katika kata zilizosalia ambazo ziko katikati ya Mji wa Mafinga. Mhe. Chumi amesema yeye sasa ni mbunge wa wote waliompa kura na hata ambao hawakumpa kura,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY_GxMDI6Bw/VlG7uDgQfmI/AAAAAAAIHws/zg64ojnKZIU/s72-c/001d3aac-efa1-49d1-9e98-c2ad7f75c7af.jpg)
ANKAL ANA KWA ANA NA MBUNGE WA MAFINGA MJINI MHE. COSATO CHUMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY_GxMDI6Bw/VlG7uDgQfmI/AAAAAAAIHws/zg64ojnKZIU/s640/001d3aac-efa1-49d1-9e98-c2ad7f75c7af.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fmcGVtYOHeA/VlxonpI26-I/AAAAAAAABCc/zioSXRHY4D4/s72-c/IMG-20151130-WA0097.jpg)
MBUNGE COSATO CHUMI KUTATUA TATIZO LA MAJI KATIKA MJI WA MAFINGA LILOTUDUMI KWA MUDA MREFU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-fmcGVtYOHeA/VlxonpI26-I/AAAAAAAABCc/zioSXRHY4D4/s640/IMG-20151130-WA0097.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-y1JfwFEPMNo/Vlxok5wgHnI/AAAAAAAABCU/n06o5W2VAMo/s640/IMG-20151130-WA0099.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--VjRJuFq2v8/VlxowSV2wKI/AAAAAAAABC8/O0MUJ8yAoiA/s640/IMG-20151130-WA0105.jpg)
MBUNGE wa jimbo la mafinga mjini cosato chumi amefanya ziara ya kuangalia jinsi gani anaweza kutatua tatizo la...
9 years ago
CCM BlogCOSATO CHUMI AMALIZA TATIZO LA VITANDA HOSPITAL YA MAFINGA MJINI
Pichani Mbunge wa jimbo la Mafinga mji ni Cotato chumi akimkabidhi msaada wa vitanda ,magodoro pamoja na vifaa mbalimbali kaimu mganga mkuu wa hospitali ya Mafinga dk Abdul Msuya juzi
![](http://2.bp.blogspot.com/-Jd8oLZZQz_E/VmAYYxl67sI/AAAAAAAABGc/NWYH0ED0_tE/s640/IMG_20151201_122733.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wvZw31T1l00/VmAYZ-g0onI/AAAAAAAABGk/C35xb99iGd4/s640/IMG_20151201_124445.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qhLhoGprqHY/VmAYkpCpmfI/AAAAAAAABG0/J7OIPRxTJps/s640/IMG_20151201_124509.jpg)
TATIZO la upungufu wa vitanda katika wodi ya akina mama na watoto...
9 years ago
VijimamboMBUNGE MTEULE WA JIMBO LA ILEJE MKOANI SONGWE, MH JANET MBENE AWASHURU WANANCHI KWA KUMCHAGUA
Akizungumza na wakazi wa Ileje, Mbene alisema ushindi wa kura 27,583 aliopewa na wana Ileje dhidi...
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Mbunge mteule katika jimbo la Manonga mkoani Tabora, Seif Khamis Gulamali (CCM) awashukuru wananchi kwa kumchagua
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jl2Pp1hhvZ0/VjXjPo8rf1I/AAAAAAABYZ8/BRDvaJVsAfk/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JG7d6BNnYDE/VjXjQOQAOfI/AAAAAAABYZ4/YeZV95gh_Pw/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I6G8QLUhxrk/VjXjRlwHAVI/AAAAAAABYaI/yiwIv0wO6Ks/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-l3wJtp8Ip0Y/VjXjUoat1PI/AAAAAAABYao/bCirDFiafEA/s640/7.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IImj5ORIEU0/VjXozS5cWOI/AAAAAAABYbE/OdX272f0dS0/s72-c/11.jpg)
MBUNGE MTEULE KATIKA JIMBO LA MANONGA MKOANI TABORA , SEIF KHAMIS GULAMALI (CCM) AWASHUKURU WANANCHI KWA KUMCHAGUA
![](http://2.bp.blogspot.com/-IImj5ORIEU0/VjXozS5cWOI/AAAAAAABYbE/OdX272f0dS0/s640/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VQq_Osx7Pf4/VjXjVLAlOTI/AAAAAAABYaw/NCGhU5kP0Yg/s640/9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0Vhz7Q19jPw/VjXjP5_sSmI/AAAAAAABYZ0/XM7uCFH5xP4/s640/10.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqylFzOprOoJpP3g7IYbHDsmQ*aVtKKONGlN3W8j9g2w1gldrQBZUb4PIhDh*DF306xTrBgXbmdw1w2tAgBDOL5h/UpigajiKuraTanzania.jpg)
WANANCHI JIMBO LA CHALINZE KUMCHAGUA MBUNGE WAO LEO
9 years ago
Habarileo01 Nov
Ashukuru wananchi kumchagua ubunge
MBUNGE wa Jimbo la Ileje, mkoani Songwe ambaye pia ni Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mbene (CCM) amewashukuru wananchi wa jimbo hilo kwa kumpa kura za kishindo, madiwani na rais mteule, Dk Jonh Magufuli.
10 years ago
Dewji Blog19 Jul
Wananchi wa Morogoro mjini wamnunulia fomu Abood ili aendelee kuwa mbunge wao Jimbo Morogoro mjini
![](https://mmi203.whatsapp.net/d/BBpzRaxwBsSgUTYiFylVpFWovuQ/AlSN--FYdVvyXzfBoJJbdd0Y5jIcL3YPi0UOIWPXknOC.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mh Aziz Abood akipokea michango ya wanafunzi waliojitokeza kumchangia mbunge huyu ili achukue fomu ya kugombea tena Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi Mara baada ya kuridhishwa na utendaji kazi wa Mbunge huyo ambaye amefanya mambo mengi ya maendeleo ikiwemo kuwalipia ada zaidi ya wanafunzi 500 wasiokuwa na uwezo wa kujilipia ada na wanaoishi katika mazingira magumu.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Mh Aziz Abood, akipokea kiasi cha...