MBUNGE MTEULE WA JIMBO LA ILEJE MKOANI SONGWE, MH JANET MBENE AWASHURU WANANCHI KWA KUMCHAGUA
MBUNGE mteule katika Jimbo la Ileje mkoani Songwe ambaye pia ni Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mbene (CCM) amewashukuru wananchi wa jimbo hilo kwa kumpa kura za kishindo, madiwani na Dkt. Jonh Magufuli anayewania urais.
Pia alisema, kilimo nacho atakipa kipaumbele hususani cha alizeti, kunde, choroko, dengu, mbaazi, soya , karanga zikiwemo njugu mawe kwa wingi kama mazao ya biashara.
Akizungumza na wakazi wa Ileje, Mbene alisema ushindi wa kura 27,583 aliopewa na wana Ileje dhidi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Mbunge mteule katika jimbo la Manonga mkoani Tabora, Seif Khamis Gulamali (CCM) awashukuru wananchi kwa kumchagua
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jl2Pp1hhvZ0/VjXjPo8rf1I/AAAAAAABYZ8/BRDvaJVsAfk/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JG7d6BNnYDE/VjXjQOQAOfI/AAAAAAABYZ4/YeZV95gh_Pw/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I6G8QLUhxrk/VjXjRlwHAVI/AAAAAAABYaI/yiwIv0wO6Ks/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-l3wJtp8Ip0Y/VjXjUoat1PI/AAAAAAABYao/bCirDFiafEA/s640/7.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IImj5ORIEU0/VjXozS5cWOI/AAAAAAABYbE/OdX272f0dS0/s72-c/11.jpg)
MBUNGE MTEULE KATIKA JIMBO LA MANONGA MKOANI TABORA , SEIF KHAMIS GULAMALI (CCM) AWASHUKURU WANANCHI KWA KUMCHAGUA
![](http://2.bp.blogspot.com/-IImj5ORIEU0/VjXozS5cWOI/AAAAAAABYbE/OdX272f0dS0/s640/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VQq_Osx7Pf4/VjXjVLAlOTI/AAAAAAABYaw/NCGhU5kP0Yg/s640/9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0Vhz7Q19jPw/VjXjP5_sSmI/AAAAAAABYZ0/XM7uCFH5xP4/s640/10.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_L-w3V54RZY/VjUfiRKVO0I/AAAAAAAID0Y/CbFu5tZnZUA/s72-c/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
Mbunge Mteule wa jimbo la Mafinga Mjini Cosato Chumi ashukuru wananchi kwa kumchagua
![](http://3.bp.blogspot.com/-_L-w3V54RZY/VjUfiRKVO0I/AAAAAAAID0Y/CbFu5tZnZUA/s640/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
Mbunge Mteule wa jimbo la Mafinga Mjini Ndugu Cosato Chumi akiwa amebebwa na wananchi wa Kijiji cha Isalavanu wakati wa ziara yake ya kuwashukuru wananchi kwa kumpa kura za wingi.Ndugu Chumi ametembelea jumla ya Vijiji 15 kwa muda wa siku mbili katika kata za Bumilayinga, Sao Hill, Isalavanu na Rungemba. Baada ya kuapishwa ataendelea katika kata zilizosalia ambazo ziko katikati ya Mji wa Mafinga. Mhe. Chumi amesema yeye sasa ni mbunge wa wote waliompa kura na hata ambao hawakumpa kura,...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Xz6tmzVX4kg/Vf6gPwnmqLI/AAAAAAAH6SE/Z5gUBPyFpK8/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Janet Mbene katika kampeni kata ya Malangali jimbo la Ileje
![](http://1.bp.blogspot.com/-Xz6tmzVX4kg/Vf6gPwnmqLI/AAAAAAAH6SE/Z5gUBPyFpK8/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-At1Tnd9LP24/Vf6gQEX_WPI/AAAAAAAH6SM/FOT-ENFV0X0/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EKXHrDfTyJs/Vf6gQOC0i5I/AAAAAAAH6SI/omzE7VPzyIE/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog21 Sep
Janet Mbene ang’ara Songwe
Mgombea ubunge wa Chama cha Mapinduzi katika Wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe, Janet Mbene akihutubia mamaia ya wakazi wa kata ya Malangali wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Malangali.
Katibu wa CCM Wilaya ya Ileje mkoa Songwe, Hamida Mbogo akiwa jukwaani akinadi sera za chama cha mapinduzi juu ya mafiga matatu katika kata ya Malangali wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea ubunge wa chama hicho Janet Mbene.
Mgombea ubunge wa chama cha Mapinduzi katika Wilaya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vWCVGbq_jfQ/VcWjhrxnW6I/AAAAAAAHvUY/kKRNHb9GT2g/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Janet Mbene akabidhi vitanda vaya kujifungulia vya thamani ya Milioni 30 ileje
![](http://1.bp.blogspot.com/-vWCVGbq_jfQ/VcWjhrxnW6I/AAAAAAAHvUY/kKRNHb9GT2g/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uuANro3wWy0/VcWjkCBmcrI/AAAAAAAHvUo/VHcwJCB5Kwk/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oRgCKenTrPA/VcWjkePOFHI/AAAAAAAHvUg/CoAYZKZ_Ehc/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hFa4JlBO_qs/VcWjkbxutTI/AAAAAAAHvUk/74wZLMdlZLk/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqylFzOprOoJpP3g7IYbHDsmQ*aVtKKONGlN3W8j9g2w1gldrQBZUb4PIhDh*DF306xTrBgXbmdw1w2tAgBDOL5h/UpigajiKuraTanzania.jpg)
WANANCHI JIMBO LA CHALINZE KUMCHAGUA MBUNGE WAO LEO
10 years ago
MichuziMH JANETH MBENE AJITOSA KUWANIA JIMBO LA ILEJE
9 years ago
VijimamboMBENE AENDELEA NA KAMPENI IMBO LA ILEJE MKOANI MBEYA