Janet Mbene ang’ara Songwe
Mgombea ubunge wa Chama cha Mapinduzi katika Wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe, Janet Mbene akihutubia mamaia ya wakazi wa kata ya Malangali wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Malangali.
Katibu wa CCM Wilaya ya Ileje mkoa Songwe, Hamida Mbogo akiwa jukwaani akinadi sera za chama cha mapinduzi juu ya mafiga matatu katika kata ya Malangali wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea ubunge wa chama hicho Janet Mbene.
Mgombea ubunge wa chama cha Mapinduzi katika Wilaya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMBUNGE MTEULE WA JIMBO LA ILEJE MKOANI SONGWE, MH JANET MBENE AWASHURU WANANCHI KWA KUMCHAGUA
Akizungumza na wakazi wa Ileje, Mbene alisema ushindi wa kura 27,583 aliopewa na wana Ileje dhidi...
9 years ago
VijimamboJANET MBENE MALANGALI
10 years ago
VijimamboJanet Mbene apokea madawati kutoka benki ya Posta
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Xz6tmzVX4kg/Vf6gPwnmqLI/AAAAAAAH6SE/Z5gUBPyFpK8/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Janet Mbene katika kampeni kata ya Malangali jimbo la Ileje
![](http://1.bp.blogspot.com/-Xz6tmzVX4kg/Vf6gPwnmqLI/AAAAAAAH6SE/Z5gUBPyFpK8/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-At1Tnd9LP24/Vf6gQEX_WPI/AAAAAAAH6SM/FOT-ENFV0X0/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EKXHrDfTyJs/Vf6gQOC0i5I/AAAAAAAH6SI/omzE7VPzyIE/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fdrC_AXn_UY/VOTtKQ3jl4I/AAAAAAADZ1E/sQwzuzt5xBs/s72-c/20150218_112816.jpg)
WAHESHIMIWA JANET MBENE NA MOHAMMED ABOUD WAENDELEA NA ZIARA YAO DUBAI
![](http://2.bp.blogspot.com/-fdrC_AXn_UY/VOTtKQ3jl4I/AAAAAAADZ1E/sQwzuzt5xBs/s1600/20150218_112816.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mr7jZZErWIk/VOTtM_-xmfI/AAAAAAADZ1Y/jUKLltlY90g/s1600/20150218_113107.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fsx6ufH0rPo/VOTtN34CbzI/AAAAAAADZ1g/jb_RkF17GiA/s1600/20150218_113113.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-S9-H_nA2QAU/VOTtOL_4VqI/AAAAAAADZ1k/huevlSfHjQg/s1600/20150218_124744.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WM8JASQ6J44/VOTtPGOMh7I/AAAAAAADZ1w/3FRn3WOFMLY/s1600/20150218_124756.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-unv9XJ5P0iI/VOTtQHA66CI/AAAAAAADZ14/PhBFED_vmTM/s1600/20150218_124908.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kZWshGTqeZM/VOvY7bU4O1I/AAAAAAAHFfw/Zgb1L4YIGkQ/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MHE JANET MBENE AKUTANA NA WAFANYABIASHARA LONDON
Naibu waziri wa viwanda na biashara Mheshimiwa Janet mbene katika siku yake ya kwanza ya ziara ya kikazi nchini Uingereza, amekutana na kufanya mazungumzo na wafanyabiashara na wawekezaji kupitia Chama chao cha East African Association, yenye lengo la kuvutia uwekezaji katika viwanda na kuongeza thamani bidhaa zinazozalishwa Tanzania. Mheshimiwa Mbene amewaeleza wafanyabiashara hao hatua zinazochukuliwa na Serikali ya Tanzania katika kuboresha mazingira ya kufanya biashara, hasa kwa kufanya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vWCVGbq_jfQ/VcWjhrxnW6I/AAAAAAAHvUY/kKRNHb9GT2g/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Janet Mbene akabidhi vitanda vaya kujifungulia vya thamani ya Milioni 30 ileje
![](http://1.bp.blogspot.com/-vWCVGbq_jfQ/VcWjhrxnW6I/AAAAAAAHvUY/kKRNHb9GT2g/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uuANro3wWy0/VcWjkCBmcrI/AAAAAAAHvUo/VHcwJCB5Kwk/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oRgCKenTrPA/VcWjkePOFHI/AAAAAAAHvUg/CoAYZKZ_Ehc/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hFa4JlBO_qs/VcWjkbxutTI/AAAAAAAHvUk/74wZLMdlZLk/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboNAIBU WAZIRI JANET MBENE AFANYA MKUTANO NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KATA YA ISOKO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-o8ABDh3Np4M/VPUk70XvaTI/AAAAAAAHHPA/oofNVeERn-s/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
MHE. JANET MBENE AKAMILISHA ZIARA YAKE UINGEREZA KWA KUKUTANISHWA NA WAFANYABIASHARA WA KITANZANIA JIJINI LONDON
Na Ally Rashid Dilunga, LondonKatika kukamilisha mojawapo ya malengo ya ziara yake ya kikazi hapa Uingereza, Naibu waziri wa viwanda na biashara Mheshimiwa Janet mbene, amemalizia ziara yake ya wiki moja nchini Uingereza kwa kukutanishwa na baadhi ya wafanyabiashara wa Kitanzania hapa Ubalozini jijini London.Ametumia fursa hiyo kuwafahamisha hatua zinazochukuliwa na Serikali kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji na pia kuwataarifu juu ya fursa za kibiashara zilizoko katika sekta...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania