NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MHE JANET MBENE AKUTANA NA WAFANYABIASHARA LONDON
![](http://3.bp.blogspot.com/-kZWshGTqeZM/VOvY7bU4O1I/AAAAAAAHFfw/Zgb1L4YIGkQ/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Naibu waziri wa viwanda na biashara Mheshimiwa Janet mbene katika siku yake ya kwanza ya ziara ya kikazi nchini Uingereza, amekutana na kufanya mazungumzo na wafanyabiashara na wawekezaji kupitia Chama chao cha East African Association, yenye lengo la kuvutia uwekezaji katika viwanda na kuongeza thamani bidhaa zinazozalishwa Tanzania. Mheshimiwa Mbene amewaeleza wafanyabiashara hao hatua zinazochukuliwa na Serikali ya Tanzania katika kuboresha mazingira ya kufanya biashara, hasa kwa kufanya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ,JANET MBENE ATEMBELEA VIWANDA VYA GENERAL TYRE NA A TO Z JIJINI ARUSHA
10 years ago
VijimamboNaibu waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene atembeleakiwanda cha kutengeneza vigae cha mkoani mbeya
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA JANET MBENE ATEMBELEA KIWANDA CHA KUTENGENEZA VIGAE CHA MKOANI MBEYA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-o8ABDh3Np4M/VPUk70XvaTI/AAAAAAAHHPA/oofNVeERn-s/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
MHE. JANET MBENE AKAMILISHA ZIARA YAKE UINGEREZA KWA KUKUTANISHWA NA WAFANYABIASHARA WA KITANZANIA JIJINI LONDON
10 years ago
VijimamboNAIBU WAZIRI JANET MBENE AFANYA MKUTANO NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KATA YA ISOKO
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA ATEMBELEA VIWANDA VYA GENERAL TYRE NA A TO Z JIJINI ARUSHA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KNiZsu2F9Ws/U-ykmxg3a9I/AAAAAAAF_nc/mwFuuqMMqgk/s72-c/unnamed%2B(98).jpg)
NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI MHE. STEPHEN MASELE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU MHE. BENJAMIN WILLIAM MKAPA
![](http://4.bp.blogspot.com/-KNiZsu2F9Ws/U-ykmxg3a9I/AAAAAAAF_nc/mwFuuqMMqgk/s1600/unnamed%2B(98).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kQHrLBwi6Bk/U-yknAwU6GI/AAAAAAAF_ng/89EGn9OtJl4/s1600/unnamed%2B(99).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hyvz9_V0D-4/VOkzhn5U42I/AAAAAAADaCo/6fqFu4Czp3c/s72-c/20150221_220615.jpg)
MHE. OMAR MJENGA AWAANDALIA CHAKULA CHA JIONI WAHESHIMIWA JANET MBENE, MOHAMMED ABOUD NA MZEE SAMBI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-hyvz9_V0D-4/VOkzhn5U42I/AAAAAAADaCo/6fqFu4Czp3c/s1600/20150221_220615.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ECPRe7wYcew/VOkzh39xHXI/AAAAAAADaCs/sRN9-FwJY-g/s1600/20150221_222523.jpg)
Aidha, katika hafla hiyo, Mhe. Mjenga alimkaribisha Mzee Sambi, Rais Mstaafu wa Comoros. Wageni wengine waalikwa ni pamoja na Ndugu Joseph Kusaga na familia yake, Mfanyabiashara Hashimu Lema...