MHE. OMAR MJENGA AWAANDALIA CHAKULA CHA JIONI WAHESHIMIWA JANET MBENE, MOHAMMED ABOUD NA MZEE SAMBI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-hyvz9_V0D-4/VOkzhn5U42I/AAAAAAADaCo/6fqFu4Czp3c/s72-c/20150221_220615.jpg)
Mhe. Mjenga alimkaribisha Mzee Sambi, Rais Mstaafu wa Comoros
Mhe. Omar Mjenga, amewaandalia chakula cha jioni Waheshimiwa Janet Mbene, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara na Mohammed Aboud, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Zanzibar ambao wamekuwepo Dubai kwa ziara ya kikazi.
Aidha, katika hafla hiyo, Mhe. Mjenga alimkaribisha Mzee Sambi, Rais Mstaafu wa Comoros. Wageni wengine waalikwa ni pamoja na Ndugu Joseph Kusaga na familia yake, Mfanyabiashara Hashimu Lema...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fdrC_AXn_UY/VOTtKQ3jl4I/AAAAAAADZ1E/sQwzuzt5xBs/s72-c/20150218_112816.jpg)
WAHESHIMIWA JANET MBENE NA MOHAMMED ABOUD WAENDELEA NA ZIARA YAO DUBAI
![](http://2.bp.blogspot.com/-fdrC_AXn_UY/VOTtKQ3jl4I/AAAAAAADZ1E/sQwzuzt5xBs/s1600/20150218_112816.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mr7jZZErWIk/VOTtM_-xmfI/AAAAAAADZ1Y/jUKLltlY90g/s1600/20150218_113107.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fsx6ufH0rPo/VOTtN34CbzI/AAAAAAADZ1g/jb_RkF17GiA/s1600/20150218_113113.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-S9-H_nA2QAU/VOTtOL_4VqI/AAAAAAADZ1k/huevlSfHjQg/s1600/20150218_124744.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WM8JASQ6J44/VOTtPGOMh7I/AAAAAAADZ1w/3FRn3WOFMLY/s1600/20150218_124756.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-unv9XJ5P0iI/VOTtQHA66CI/AAAAAAADZ14/PhBFED_vmTM/s1600/20150218_124908.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vV_My6fohrA/U8wh4xWN75I/AAAAAAAF4GQ/dI4_Owhfc2k/s72-c/unnamed+(31).jpg)
Balozi Mdogo Mhe. Omar Mjenga na Mama Mjenga wamwandalia futari Mhe. Bernard Membe na ujumbe wake Dubai
![](http://1.bp.blogspot.com/-vV_My6fohrA/U8wh4xWN75I/AAAAAAAF4GQ/dI4_Owhfc2k/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jY3qg8uO_bY/U8wh-gahzFI/AAAAAAAF4GY/KB0YmTLGGlk/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iAaX_Ll2kmo/U8wiAM-jVOI/AAAAAAAF4Gk/KFaavzfeJFQ/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-i500wJ0RK8Q/U8wiHtS74sI/AAAAAAAF4Gw/IlX0sye2CIs/s1600/unnamed+(29).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UzngKzXVXGA/U77z1Z-eUpI/AAAAAAAA9MM/kyh2f3Nl448/s72-c/IMG_0851.jpg)
STEVE NYERERE AWAANDALIA CHAKULA CHA JIONI WASANII WA FILAMU NA WADAU
![](http://1.bp.blogspot.com/-UzngKzXVXGA/U77z1Z-eUpI/AAAAAAAA9MM/kyh2f3Nl448/s1600/IMG_0851.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gWeqpZitCEw/U77zsvsLWaI/AAAAAAAA9Ls/BQPPi7XcyX8/s1600/IMG_0826.jpg)
Wageni waalikwa wakisikiliza kwa makini maneno yaliyokuwa yakitolewa na Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vv9MDc9jPFA/U77zk7i7lnI/AAAAAAAA9LU/EhWMKVq2fNg/s1600/IMG_0817.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6kGn-PySNhY/U77zFM2zL6I/AAAAAAAA9LI/uvRhM0t3ZUY/s1600/IMG_0810.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0yTGJmmSoI0/VKr1Dii2GcI/AAAAAAAG7lA/oXyToGONPYg/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Mhe. Omar Mjenga amtembelea mhe. Modest Mero ofisini kwake
![](http://2.bp.blogspot.com/-0yTGJmmSoI0/VKr1Dii2GcI/AAAAAAAG7lA/oXyToGONPYg/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UFZ-3ScSid4/VGcI_BFqMPI/AAAAAAADNCA/HZoV7JJB00E/s72-c/IMAG0122.jpg)
MHE. MWAKYEMBE AKUTANA NA BALOZI MDOGO WA TANZANIA, DUBAI, MHE. OMAR MJENGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-UFZ-3ScSid4/VGcI_BFqMPI/AAAAAAADNCA/HZoV7JJB00E/s1600/IMAG0122.jpg)
Mhe. Mjenga amemueleza Mhe. Mwakyembe kuhusu mazungumzo yake pamoja na Mhe. Gaith Alghaith, Mtendaji Mkuu wa Shirika la Ndege la FlyDubai, kuhusu mpango wa shirika hilo kuingia makubaliano ya ushirikiano pamoja na shirika la Ndege la Tanzania(Air Tanzania) ambako Flydubai watatoa ndege tano zitakazochukua njia za ndani (domestic routes) na zile za...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-F-TNwUV4FB4/U8903kKNxzI/AAAAAAAF5Ds/shGFC-Oh8zs/s1600/unnamed+%2812%29.jpg?width=650)
BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI, MHE. OMAR MJENGA, ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KATIKA UBALOZI MDOGO WA MALAYSIA.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wBkY9djBpK8/VFFn8WaiiuI/AAAAAAADL4I/DL9vJ1r---Y/s72-c/20141029_170645.jpg)
Mhe. Balozi Modest Mero amtembelea Mhe. Balozi Mdogo Omar Mjenga, Dubai.
![](http://3.bp.blogspot.com/-wBkY9djBpK8/VFFn8WaiiuI/AAAAAAADL4I/DL9vJ1r---Y/s1600/20141029_170645.jpg)
Katika picha ni Mhe. Modest Mero, Balozi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Geneva alipomtembelea Mhe. Omar Mjenga kwenye makazi yake Jumeirah Dubai.
![](http://1.bp.blogspot.com/-3jwZkXKtt6k/VFFn9rOeTTI/AAAAAAADL4Y/bN4CwvpaZ1Y/s1600/20141029_170757.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-r3YRyut4VxM/VONt0ZGKAdI/AAAAAAADZuo/R5ypRZ_wZhE/s72-c/20150217_143347.jpg)
Mhe. Mohammed Aboud Awasili Dubai kwa ziara ya Kikazi
![](http://4.bp.blogspot.com/-r3YRyut4VxM/VONt0ZGKAdI/AAAAAAADZuo/R5ypRZ_wZhE/s1600/20150217_143347.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Mohammed Aboud, amewasili Dubai kwa ziara ya kikazi.
Akiwa Dubai, Mhe. Aboud atafanya mazungumzo na Kamati ya Maandalizi ya Maonyesho ya Biashara ya Dunia 2020 (World Expo2020).
Aidha, atafanya mazungumzo na Nd. Islam Balhabou, Mfanyabiashara Mtanzania ambaye amejitolea kufungua afisi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kZWshGTqeZM/VOvY7bU4O1I/AAAAAAAHFfw/Zgb1L4YIGkQ/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MHE JANET MBENE AKUTANA NA WAFANYABIASHARA LONDON