STEVE NYERERE AWAANDALIA CHAKULA CHA JIONI WASANII WA FILAMU NA WADAU
![](http://1.bp.blogspot.com/-UzngKzXVXGA/U77z1Z-eUpI/AAAAAAAA9MM/kyh2f3Nl448/s72-c/IMG_0851.jpg)
Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere akizungumza machache wakati wa hafla aliyowakaribisha chakula cha jioni wasanii wa Filamu na wadau mbalimbali wa filamu Bongo ikiwa ni kuungana na wenzao waliokatika mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Hafla hiyo ilifanyika ndani ya Great Wall Restaurant iliyopo Osterbay jijini Dar esa Salaam.
Wageni waalikwa wakisikiliza kwa makini maneno yaliyokuwa yakitolewa na Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere. Wasanii wakipata maakuli...
Wolper na Kajala wakila...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8ikGPdIHucK2Vy*7doAtzY0rPLPN7rapGk1NQXvKwzFTdAr5SI9N811*tVkOblfe-ujwvLG6MBBmwCa*RCuWeSNTB8BgGTRE/4.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AWAANDALIA 'DINNER' MASTAA NA WADAU WA FILAMU
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hyvz9_V0D-4/VOkzhn5U42I/AAAAAAADaCo/6fqFu4Czp3c/s72-c/20150221_220615.jpg)
MHE. OMAR MJENGA AWAANDALIA CHAKULA CHA JIONI WAHESHIMIWA JANET MBENE, MOHAMMED ABOUD NA MZEE SAMBI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-hyvz9_V0D-4/VOkzhn5U42I/AAAAAAADaCo/6fqFu4Czp3c/s1600/20150221_220615.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ECPRe7wYcew/VOkzh39xHXI/AAAAAAADaCs/sRN9-FwJY-g/s1600/20150221_222523.jpg)
Aidha, katika hafla hiyo, Mhe. Mjenga alimkaribisha Mzee Sambi, Rais Mstaafu wa Comoros. Wageni wengine waalikwa ni pamoja na Ndugu Joseph Kusaga na familia yake, Mfanyabiashara Hashimu Lema...
9 years ago
Bongo519 Nov
Steve Nyerere: Nilimwambia Magufuli kuwasaidia wasanii wa filamu ni kupoteza pesa
![11351837_431015323755764_1594616645_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11351837_431015323755764_1594616645_n-300x194.jpg)
Aliyewahi kuwa mwenyekiti wa Bongo Movie Club, Steve Nyerere amesema aliulizwa kwa zaidi ya mara sita na Rais Dk John Magufuli kuhusu nsaada wanaouhitaji, lakini amedai alishindwa kumjibu kutokana na wasanii wengi kutojitambua.
Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV, Steve alisema alimwambia Magufuli asipoteze pesa ya serikali kuwasaidia wasanii wa filamu.
“Sikatai,” alisema Steve. “Nilishamwambia mheshimiwa rais, utapoteza pesa zako, nilisha mwambia mstaafu na huyu mpya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vzVWGpfxqos/VJYK724lR7I/AAAAAAAAEWM/LuRyYkrbUok/s72-c/DSC_0388.jpg)
RwandAir yakutana na wadau wake katika chakula cha jioni jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-vzVWGpfxqos/VJYK724lR7I/AAAAAAAAEWM/LuRyYkrbUok/s1600/DSC_0388.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EhTRHxulxSQ/VJYK1LwLckI/AAAAAAAAEVE/6mcgpjMRZ5g/s1600/DSC_0197.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
CloudsFM16 Jun
Picha: Mh. Rais Kikwete alipowaalika Wasanii chakula cha jioni IKULU ndogo Dodoma, #TanzaniaNaiaminia
![](http://4.bp.blogspot.com/-9WikTilW0VE/U537n7zqK-I/AAAAAAAAFFA/Zis5C3NPlGU/s1600/Mpoto+1+copy.jpg)
#TanzaniaNaiaminia
![](http://4.bp.blogspot.com/-M7CIZMvFeAg/U537icpfb5I/AAAAAAAAFE8/Vip3wEfEQcg/s1600/Kadinda%252C+Baby+an+Ommy+copy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DuXcw6gdhHM/U537XazH-LI/AAAAAAAAFEk/B1HT78Ei_gI/s1600/Izzo%252C+Perfect+an+Quick+copy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-itGX_OLSMAM/U537-_ypl8I/AAAAAAAAFFc/t_bdjsu9sWY/s1600/Uwoya%252C+Johari.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hkyVFzqn1Zw/U537ah_TGaI/AAAAAAAAFEs/vkWdoaYhstA/s1600/Jb.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zYVLYn3ko_w/U53751O3l1I/AAAAAAAAFFU/GXmx9e8yuDY/s1600/Shilole+an+Mziwanda.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rti-jlB17QY/U537U4xINYI/AAAAAAAAFEU/bCfEcOkayX8/s1600/Fauzia+2+copy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-C5J-v2XNSAI/U537yY2wpYI/AAAAAAAAFFM/fkazfl6HUKE/s1600/Queen+copy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7M0_e9IIeLA/U538I4T3WMI/AAAAAAAAFFs/BsF2FZq-f9o/s1600/Wolper+copy.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ADC1Qhv9MPA/U538ELZjnVI/AAAAAAAAFFk/r2zjRBrVEsM/s1600/Wolper+an+Kajala.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-d6Lp0wumc2Q/U537XWYkW5I/AAAAAAAAFEg/dA1QgUCiToU/s1600/G+copy.jpg)
11 years ago
MichuziSTEVE NYERERE ATEULIWA KUONGOZA KIKOSI CHA WASANII KUTANGAZA AMANI NCHI NZIMA
10 years ago
CloudsFM15 Aug
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-h6wXoWdJFeY/VNK3kNNARvI/AAAAAAAAAmo/bKmbjKPVTzU/s72-c/IYK_Valentine.png)
Karibuni Semina na Chakula cha Jioni — Valentine Day Februari 14, 2015 Kuanzia saa kumi na mbili jioni 6:00pm EST
![](http://4.bp.blogspot.com/-h6wXoWdJFeY/VNK3kNNARvI/AAAAAAAAAmo/bKmbjKPVTzU/s1600/IYK_Valentine.png)