Mhe. Omar Mjenga amtembelea mhe. Modest Mero ofisini kwake
![](http://2.bp.blogspot.com/-0yTGJmmSoI0/VKr1Dii2GcI/AAAAAAAG7lA/oXyToGONPYg/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Balozi wa Tanzania wa Kudumu Umoja wa Mataifa Geneva, Mhe. Modest Mero akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania; Dubai, alipomtembelea ofisini kwake Geneva.Wote wawili walilitumikia Taifa kwa pamoja katika Ubalozi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa, New York.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wBkY9djBpK8/VFFn8WaiiuI/AAAAAAADL4I/DL9vJ1r---Y/s72-c/20141029_170645.jpg)
Mhe. Balozi Modest Mero amtembelea Mhe. Balozi Mdogo Omar Mjenga, Dubai.
![](http://3.bp.blogspot.com/-wBkY9djBpK8/VFFn8WaiiuI/AAAAAAADL4I/DL9vJ1r---Y/s1600/20141029_170645.jpg)
Katika picha ni Mhe. Modest Mero, Balozi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Geneva alipomtembelea Mhe. Omar Mjenga kwenye makazi yake Jumeirah Dubai.
![](http://1.bp.blogspot.com/-3jwZkXKtt6k/VFFn9rOeTTI/AAAAAAADL4Y/bN4CwvpaZ1Y/s1600/20141029_170757.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cnqcCNboyiY/VOngUPfJ7rI/AAAAAAADaMc/k58T9tRV8Ls/s72-c/20150222_121159.jpg)
MFANYABIASHARA KUTOKA TANZANIA BWA. HASHIMU LEMA AMTEMBELEA MHE. OMAR MJENGA OFISINI KWAKE DUBAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-cnqcCNboyiY/VOngUPfJ7rI/AAAAAAADaMc/k58T9tRV8Ls/s1600/20150222_121159.jpg)
Mhe. Mjenga amemfahamisha fursa nyingi zilizopo Dubai na Ukanda wa Ghuba kwenye sekta hii ya ujenzi, ambako kampuni kutoka Tanzania wanaweza kuwa ni mikataba ya ushirikiano nazo katika utekelezaji wa miradi mbali mbali Tanzania. Njia hii pia itasaidia kuwajengea uwezo na kupata mbinu za teknolojia mpya ( technological Transfer).
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vV_My6fohrA/U8wh4xWN75I/AAAAAAAF4GQ/dI4_Owhfc2k/s72-c/unnamed+(31).jpg)
Balozi Mdogo Mhe. Omar Mjenga na Mama Mjenga wamwandalia futari Mhe. Bernard Membe na ujumbe wake Dubai
![](http://1.bp.blogspot.com/-vV_My6fohrA/U8wh4xWN75I/AAAAAAAF4GQ/dI4_Owhfc2k/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jY3qg8uO_bY/U8wh-gahzFI/AAAAAAAF4GY/KB0YmTLGGlk/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iAaX_Ll2kmo/U8wiAM-jVOI/AAAAAAAF4Gk/KFaavzfeJFQ/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-i500wJ0RK8Q/U8wiHtS74sI/AAAAAAAF4Gw/IlX0sye2CIs/s1600/unnamed+(29).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UFZ-3ScSid4/VGcI_BFqMPI/AAAAAAADNCA/HZoV7JJB00E/s72-c/IMAG0122.jpg)
MHE. MWAKYEMBE AKUTANA NA BALOZI MDOGO WA TANZANIA, DUBAI, MHE. OMAR MJENGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-UFZ-3ScSid4/VGcI_BFqMPI/AAAAAAADNCA/HZoV7JJB00E/s1600/IMAG0122.jpg)
Mhe. Mjenga amemueleza Mhe. Mwakyembe kuhusu mazungumzo yake pamoja na Mhe. Gaith Alghaith, Mtendaji Mkuu wa Shirika la Ndege la FlyDubai, kuhusu mpango wa shirika hilo kuingia makubaliano ya ushirikiano pamoja na shirika la Ndege la Tanzania(Air Tanzania) ambako Flydubai watatoa ndege tano zitakazochukua njia za ndani (domestic routes) na zile za...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NnUBy-NgMNE/U9f0yk3ppEI/AAAAAAAF7sI/Rvkjb4nXufY/s72-c/unnamed+(30).jpg)
Balozi adadi amtembelea balozi mdogo wa Tanzania Dubai Mhe Omar Mjenga
![](http://4.bp.blogspot.com/-NnUBy-NgMNE/U9f0yk3ppEI/AAAAAAAF7sI/Rvkjb4nXufY/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0NyNayzgPmE/U9f0yr9BfcI/AAAAAAAF7sE/FS6MmdaVyOk/s1600/unnamed+(31).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PS_jJDKClv4/Xox2FjIC98I/AAAAAAAAX7w/mz95nWMJJukxld8zLcYYRCocER-hhXYhwCLcBGAsYHQ/s72-c/1R6A1489.jpg)
WAZIRI WA KILIMO MHE JAPHET HASUNGA AMTEMBELEA WAZIRI MKUU MSAAFU MHE MIZENGO PINDA, NYUMBANI KWAKE JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PS_jJDKClv4/Xox2FjIC98I/AAAAAAAAX7w/mz95nWMJJukxld8zLcYYRCocER-hhXYhwCLcBGAsYHQ/s1600/1R6A1489.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-E0pbJPxoc-I/Xox2GIBytLI/AAAAAAAAX70/9se9hGaegqcU_GOl-zxbDeNHm9Q7O3PQgCEwYBhgLKs0DAMBZVoBNPTQYL7DLchQ25I7_HIbkKYfAQoWRyitkDqOzS1X4PE5_sBVZU8CXNRT4gUgvt-0HZp-CX2k9omFWWMw-nnCYGIqX46Hht46RWECwbdhsy5AgVxnWwroW02ZbU9FeIV26Wb17SIcKcKYrTu7T6-kgHRadPaKCwc7yfLOnQMNd9Q1ugpTTW6BblNpa9lGfX0JqB3WWm2xkrKDkWC0vdxsvFvcmqs3hOkbdY8fcD1042fu83tVQklpZii48nlgYnZLIPvbiFUa7R3D7Oub6gUpQvLoKI_uHCUcMTIR3BskOCL3ViJV7ttcKefSXneC4aRHi5jyJx7mEWNN4pOK8eQNJRmeelzuSSLe71IyXe62WnyFKkB_sX1paAlnTRB1LPpOEfnSV5wBSI-0C-zayChOID0jkfxUKtBUnHUEIML1lUz0l6MXYwbUpTFPg9SDHBJEpwGKcwX5fNBv1FLKQ2kFaxEGQ0aOMnUMG11-AI0fT41b0lON771BO50MnhG5n0BMtIJpgsB-vHFi41kCXpSZbj81slU2MOixb2F8x6nBMGQIFQWjJMl7VtiJ7GM97yQyRF9xTp8znkD3sKUCbzJVW40k_DEMzj5swkfGx9AU/s1600/1R6A1440.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-314SBbg9V4s/VGC5h67kIkI/AAAAAAAGwZQ/twpiyF6pb70/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI MHE. OMAR MJENGA, AKUTANA MTENDAJI MKUU NA RAIS WA FLYDUBAI
Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mhe. Omar Mjenga leo amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Ghaith Alghaith, Mtendaji Mkuu na Rais wa Shirika la Ndege la Flydubai katika ofisi za shirika hilo. Katika mazungumzo, Mhe. Omar Mjenga, amemueleza kuhusu maombi ya Serikali ya Tanzania kwa shirika hili ya kuingia ubia na Air Tanzania kwa ajili ya safari za ndani (domestic flights) na zile za kikanda (regional fligjts). Nia ya mpango huu ni kuiwezesha Air Tanzania kuanza safari zake zote za...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-t6lrF9Oa8nk/U_4Nk-aATUI/AAAAAAAGCsI/4HlfdOxvkXI/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Mhe. Omar Mjenga akutana na Mwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai (NAKHEEL) Bwa. Rashid Lootah.
Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai, mhe. Omar Mjenga, leo amemtembelea na kufanya mazungumzo na Bw. Rashid Lootah, Mwenyekiti wa Nakheel, Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai.
Katika mazungumzo yao, wamezungumzia ziara ya Mwenyekiti huyo pamoja na ujumbe wake kuitembelea Tanzania, itakayofanyika kuanzi tarehe 16-20 Septemba, ambako anatarajia pamoja na kuonana na baadhi viongozi wa Serikali, watafanya mazungumzo na Shirika la Nyumba la Taifa(NHC) yatakayowezesha kusainiwa makubaliano ya...
Katika mazungumzo yao, wamezungumzia ziara ya Mwenyekiti huyo pamoja na ujumbe wake kuitembelea Tanzania, itakayofanyika kuanzi tarehe 16-20 Septemba, ambako anatarajia pamoja na kuonana na baadhi viongozi wa Serikali, watafanya mazungumzo na Shirika la Nyumba la Taifa(NHC) yatakayowezesha kusainiwa makubaliano ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hyvz9_V0D-4/VOkzhn5U42I/AAAAAAADaCo/6fqFu4Czp3c/s72-c/20150221_220615.jpg)
MHE. OMAR MJENGA AWAANDALIA CHAKULA CHA JIONI WAHESHIMIWA JANET MBENE, MOHAMMED ABOUD NA MZEE SAMBI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-hyvz9_V0D-4/VOkzhn5U42I/AAAAAAADaCo/6fqFu4Czp3c/s1600/20150221_220615.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ECPRe7wYcew/VOkzh39xHXI/AAAAAAADaCs/sRN9-FwJY-g/s1600/20150221_222523.jpg)
Aidha, katika hafla hiyo, Mhe. Mjenga alimkaribisha Mzee Sambi, Rais Mstaafu wa Comoros. Wageni wengine waalikwa ni pamoja na Ndugu Joseph Kusaga na familia yake, Mfanyabiashara Hashimu Lema...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania