BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI MHE. OMAR MJENGA, AKUTANA MTENDAJI MKUU NA RAIS WA FLYDUBAI
![](http://4.bp.blogspot.com/-314SBbg9V4s/VGC5h67kIkI/AAAAAAAGwZQ/twpiyF6pb70/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mhe. Omar Mjenga leo amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Ghaith Alghaith, Mtendaji Mkuu na Rais wa Shirika la Ndege la Flydubai katika ofisi za shirika hilo. Katika mazungumzo, Mhe. Omar Mjenga, amemueleza kuhusu maombi ya Serikali ya Tanzania kwa shirika hili ya kuingia ubia na Air Tanzania kwa ajili ya safari za ndani (domestic flights) na zile za kikanda (regional fligjts). Nia ya mpango huu ni kuiwezesha Air Tanzania kuanza safari zake zote za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UFZ-3ScSid4/VGcI_BFqMPI/AAAAAAADNCA/HZoV7JJB00E/s72-c/IMAG0122.jpg)
MHE. MWAKYEMBE AKUTANA NA BALOZI MDOGO WA TANZANIA, DUBAI, MHE. OMAR MJENGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-UFZ-3ScSid4/VGcI_BFqMPI/AAAAAAADNCA/HZoV7JJB00E/s1600/IMAG0122.jpg)
Mhe. Mjenga amemueleza Mhe. Mwakyembe kuhusu mazungumzo yake pamoja na Mhe. Gaith Alghaith, Mtendaji Mkuu wa Shirika la Ndege la FlyDubai, kuhusu mpango wa shirika hilo kuingia makubaliano ya ushirikiano pamoja na shirika la Ndege la Tanzania(Air Tanzania) ambako Flydubai watatoa ndege tano zitakazochukua njia za ndani (domestic routes) na zile za...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-b2vW_37bd2I/U0KxCh16XbI/AAAAAAAFZMc/nn9sHTq8-FY/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, Mhe. Omar Mjenga Akutana na Mkurugenzi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya UAE, Ofisi ya Dubai.
![](http://1.bp.blogspot.com/-b2vW_37bd2I/U0KxCh16XbI/AAAAAAAFZMc/nn9sHTq8-FY/s1600/unnamed+(8).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2Hfu-rv2L4w/U9-Ixmp_LpI/AAAAAAAF9AU/HvxVP3pvWLY/s72-c/20140803_212527.jpg)
DRAGON MART YA DUBAI WAKUTANA TENA NA BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI, MHE. OMAR MJENGA
Nia yao pamoja na Wizara, ni kujenga kituo cha ubora( centre of excellency) kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Hfu-rv2L4w/U9-Ixmp_LpI/AAAAAAAF9AU/HvxVP3pvWLY/s1600/20140803_212527.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5H_s3CSgjk0/U9-IxcuHcSI/AAAAAAAF9AA/PpTVzBauePk/s1600/20140803_200704.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vV_My6fohrA/U8wh4xWN75I/AAAAAAAF4GQ/dI4_Owhfc2k/s72-c/unnamed+(31).jpg)
Balozi Mdogo Mhe. Omar Mjenga na Mama Mjenga wamwandalia futari Mhe. Bernard Membe na ujumbe wake Dubai
![](http://1.bp.blogspot.com/-vV_My6fohrA/U8wh4xWN75I/AAAAAAAF4GQ/dI4_Owhfc2k/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jY3qg8uO_bY/U8wh-gahzFI/AAAAAAAF4GY/KB0YmTLGGlk/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iAaX_Ll2kmo/U8wiAM-jVOI/AAAAAAAF4Gk/KFaavzfeJFQ/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-i500wJ0RK8Q/U8wiHtS74sI/AAAAAAAF4Gw/IlX0sye2CIs/s1600/unnamed+(29).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NnUBy-NgMNE/U9f0yk3ppEI/AAAAAAAF7sI/Rvkjb4nXufY/s72-c/unnamed+(30).jpg)
Balozi adadi amtembelea balozi mdogo wa Tanzania Dubai Mhe Omar Mjenga
![](http://4.bp.blogspot.com/-NnUBy-NgMNE/U9f0yk3ppEI/AAAAAAAF7sI/Rvkjb4nXufY/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0NyNayzgPmE/U9f0yr9BfcI/AAAAAAAF7sE/FS6MmdaVyOk/s1600/unnamed+(31).jpg)
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-F-TNwUV4FB4/U8903kKNxzI/AAAAAAAF5Ds/shGFC-Oh8zs/s1600/unnamed+%2812%29.jpg?width=650)
BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI, MHE. OMAR MJENGA, ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KATIKA UBALOZI MDOGO WA MALAYSIA.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wBkY9djBpK8/VFFn8WaiiuI/AAAAAAADL4I/DL9vJ1r---Y/s72-c/20141029_170645.jpg)
Mhe. Balozi Modest Mero amtembelea Mhe. Balozi Mdogo Omar Mjenga, Dubai.
![](http://3.bp.blogspot.com/-wBkY9djBpK8/VFFn8WaiiuI/AAAAAAADL4I/DL9vJ1r---Y/s1600/20141029_170645.jpg)
Katika picha ni Mhe. Modest Mero, Balozi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Geneva alipomtembelea Mhe. Omar Mjenga kwenye makazi yake Jumeirah Dubai.
![](http://1.bp.blogspot.com/-3jwZkXKtt6k/VFFn9rOeTTI/AAAAAAADL4Y/bN4CwvpaZ1Y/s1600/20141029_170757.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RwHzwAjBXGg/VAR6mUGR6bI/AAAAAAAGZ9c/VWYnfHf7OdQ/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai akutana na Mtendaji Mkuu wa Dubai Chamber of Commerce and Industry
![](http://3.bp.blogspot.com/-RwHzwAjBXGg/VAR6mUGR6bI/AAAAAAAGZ9c/VWYnfHf7OdQ/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
Katika mazungumzo, wamejadiliana uwezekano wa kuwa na ziara ya kibiashara kwenda Tanzania, kwa makampuni na viwanda vilivyopo Dubai, ili kukutana na wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda Tanzania, ili kujionea na kuibua fursa za uwekezaji. Wamekubaliana ziara hiyo ifanyike mwanzoni mwa mwaka kesho na hivyo basi kuanza maandalizi mapema.
Mwezi Novemba,...
11 years ago
Michuzi10 Jul
Mheshimiwa Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, aongea katika mkutano wa sekta ya nyumba