Mheshimiwa Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, aongea katika mkutano wa sekta ya nyumba
mahojiano ya Mheshimiwa Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, akihojiwa na Cloudstv wakati wa mkutano wa uwekezaji sekta ya nyumba uliofanyika tarehe 11 Juni, 2014 katika Hotel ya Jumeirah Madnat Dubai. Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt Mohamed Bilal alikuwa mgeni rasmi.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-F-TNwUV4FB4/U8903kKNxzI/AAAAAAAF5Ds/shGFC-Oh8zs/s1600/unnamed+%2812%29.jpg?width=650)
BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI, MHE. OMAR MJENGA, ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KATIKA UBALOZI MDOGO WA MALAYSIA.
Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mhe. Omar Mjenga, akitia saini katika kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi Mdogo wa Malaysia, kufuatia kutunguliwa kwa ndege ya shirika la Malaysia MH17 na abiria wote 298 kupoteza maisha. Mhe. Mjenga na mwenyeji wake, Mhe. Dato Ahmad Fadil Shamsuddin, Balozi Mdogo wa Malaysia wakiwa kwenye mazungumzo pamoja na Balozi Mdogo wa Afrika Kusini, Mhe. Manabile Shogole… ...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2Hfu-rv2L4w/U9-Ixmp_LpI/AAAAAAAF9AU/HvxVP3pvWLY/s72-c/20140803_212527.jpg)
DRAGON MART YA DUBAI WAKUTANA TENA NA BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI, MHE. OMAR MJENGA
Mhe. Omar Mjenga akiwa katika na chakula cha jioni (Dinner) na uongozi wa Dragon Mart ya Dubai, ambao wameonyesha nia kwa kushirikiana na Wizara ya Viwanda na Biashara, kujenga uwanja wa maonyesho ya biashara wa kisasa utakaokuwa unafanya maonyesho mfululizo kwa mwaka mzima.
Nia yao pamoja na Wizara, ni kujenga kituo cha ubora( centre of excellency) kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika.![](http://2.bp.blogspot.com/-2Hfu-rv2L4w/U9-Ixmp_LpI/AAAAAAAF9AU/HvxVP3pvWLY/s1600/20140803_212527.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5H_s3CSgjk0/U9-IxcuHcSI/AAAAAAAF9AA/PpTVzBauePk/s1600/20140803_200704.jpg)
Nia yao pamoja na Wizara, ni kujenga kituo cha ubora( centre of excellency) kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Hfu-rv2L4w/U9-Ixmp_LpI/AAAAAAAF9AU/HvxVP3pvWLY/s1600/20140803_212527.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5H_s3CSgjk0/U9-IxcuHcSI/AAAAAAAF9AA/PpTVzBauePk/s1600/20140803_200704.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-b2vW_37bd2I/U0KxCh16XbI/AAAAAAAFZMc/nn9sHTq8-FY/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, Mhe. Omar Mjenga Akutana na Mkurugenzi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya UAE, Ofisi ya Dubai.
![](http://1.bp.blogspot.com/-b2vW_37bd2I/U0KxCh16XbI/AAAAAAAFZMc/nn9sHTq8-FY/s1600/unnamed+(8).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NnUBy-NgMNE/U9f0yk3ppEI/AAAAAAAF7sI/Rvkjb4nXufY/s72-c/unnamed+(30).jpg)
Balozi adadi amtembelea balozi mdogo wa Tanzania Dubai Mhe Omar Mjenga
![](http://4.bp.blogspot.com/-NnUBy-NgMNE/U9f0yk3ppEI/AAAAAAAF7sI/Rvkjb4nXufY/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0NyNayzgPmE/U9f0yr9BfcI/AAAAAAAF7sE/FS6MmdaVyOk/s1600/unnamed+(31).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-314SBbg9V4s/VGC5h67kIkI/AAAAAAAGwZQ/twpiyF6pb70/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI MHE. OMAR MJENGA, AKUTANA MTENDAJI MKUU NA RAIS WA FLYDUBAI
Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mhe. Omar Mjenga leo amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Ghaith Alghaith, Mtendaji Mkuu na Rais wa Shirika la Ndege la Flydubai katika ofisi za shirika hilo. Katika mazungumzo, Mhe. Omar Mjenga, amemueleza kuhusu maombi ya Serikali ya Tanzania kwa shirika hili ya kuingia ubia na Air Tanzania kwa ajili ya safari za ndani (domestic flights) na zile za kikanda (regional fligjts). Nia ya mpango huu ni kuiwezesha Air Tanzania kuanza safari zake zote za...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vV_My6fohrA/U8wh4xWN75I/AAAAAAAF4GQ/dI4_Owhfc2k/s72-c/unnamed+(31).jpg)
Balozi Mdogo Mhe. Omar Mjenga na Mama Mjenga wamwandalia futari Mhe. Bernard Membe na ujumbe wake Dubai
![](http://1.bp.blogspot.com/-vV_My6fohrA/U8wh4xWN75I/AAAAAAAF4GQ/dI4_Owhfc2k/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jY3qg8uO_bY/U8wh-gahzFI/AAAAAAAF4GY/KB0YmTLGGlk/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iAaX_Ll2kmo/U8wiAM-jVOI/AAAAAAAF4Gk/KFaavzfeJFQ/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-i500wJ0RK8Q/U8wiHtS74sI/AAAAAAAF4Gw/IlX0sye2CIs/s1600/unnamed+(29).jpg)
11 years ago
Michuzi15 Jun
BALOZI MDOGO WA TANZANIA, DUBAI AFANYA MAHOJIANO NA CLOUDSTV WAKATI WA MKUTANO WA UWEKEZAJI KWENYE SEKTA YA NYUMBA
Mahojiano ya Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai Mheshimiwa Omar Mjenga na CloudsTV, yaliyofanyika wakati wa mkutano wa uwekezaji kwenye sekta ya nyumba uliofanyika haa Dubai na kufunguliwa rasmi na Mheshimiwa Dk. Mohamed Bilal, Makamu wa Rais. Mkutano huo uliandaliwa na Ubalozi Mdogo kwa kushirikiana na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), ambako waliweza kuwasilisha miradi yao mitatu ya miji maalum (Satelite Cities) za Kibada, Dar es saalam, Safari City ya Arusha. Huu ni mkutano wa kwanza...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UFZ-3ScSid4/VGcI_BFqMPI/AAAAAAADNCA/HZoV7JJB00E/s72-c/IMAG0122.jpg)
MHE. MWAKYEMBE AKUTANA NA BALOZI MDOGO WA TANZANIA, DUBAI, MHE. OMAR MJENGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-UFZ-3ScSid4/VGcI_BFqMPI/AAAAAAADNCA/HZoV7JJB00E/s1600/IMAG0122.jpg)
Mhe. Mjenga amemueleza Mhe. Mwakyembe kuhusu mazungumzo yake pamoja na Mhe. Gaith Alghaith, Mtendaji Mkuu wa Shirika la Ndege la FlyDubai, kuhusu mpango wa shirika hilo kuingia makubaliano ya ushirikiano pamoja na shirika la Ndege la Tanzania(Air Tanzania) ambako Flydubai watatoa ndege tano zitakazochukua njia za ndani (domestic routes) na zile za...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wBkY9djBpK8/VFFn8WaiiuI/AAAAAAADL4I/DL9vJ1r---Y/s72-c/20141029_170645.jpg)
Mhe. Balozi Modest Mero amtembelea Mhe. Balozi Mdogo Omar Mjenga, Dubai.
![](http://3.bp.blogspot.com/-wBkY9djBpK8/VFFn8WaiiuI/AAAAAAADL4I/DL9vJ1r---Y/s1600/20141029_170645.jpg)
Katika picha ni Mhe. Modest Mero, Balozi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Geneva alipomtembelea Mhe. Omar Mjenga kwenye makazi yake Jumeirah Dubai.
![](http://1.bp.blogspot.com/-3jwZkXKtt6k/VFFn9rOeTTI/AAAAAAADL4Y/bN4CwvpaZ1Y/s1600/20141029_170757.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania