BALOZI MDOGO WA TANZANIA, DUBAI AFANYA MAHOJIANO NA CLOUDSTV WAKATI WA MKUTANO WA UWEKEZAJI KWENYE SEKTA YA NYUMBA
Mahojiano ya Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai Mheshimiwa Omar Mjenga na CloudsTV, yaliyofanyika wakati wa mkutano wa uwekezaji kwenye sekta ya nyumba uliofanyika haa Dubai na kufunguliwa rasmi na Mheshimiwa Dk. Mohamed Bilal, Makamu wa Rais. Mkutano huo uliandaliwa na Ubalozi Mdogo kwa kushirikiana na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), ambako waliweza kuwasilisha miradi yao mitatu ya miji maalum (Satelite Cities) za Kibada, Dar es saalam, Safari City ya Arusha. Huu ni mkutano wa kwanza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pzeNKMYF080/VJvuwutHQ8I/AAAAAAAG5wA/nx4IanhGv1E/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, afanya mahojiano na gazeti la Gulf Today kuhusu kuvutia uwekezaji na kukuza utalii Tanzania.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pzeNKMYF080/VJvuwutHQ8I/AAAAAAAG5wA/nx4IanhGv1E/s640/unnamed%2B(6).jpg)
Ubalozi Mdogo umejiwekea utaratibu katika mpango wake wa mwaka, kuandaa kongamano za uwekezaji tatu kwa kila mwaka.
Ni imani kuwa mpango huu utasaidia kutangaza fursa za uwekezaji zilizopo Tanzania na kuvutia idadi kubwa ya watalii...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pzeNKMYF080/VJvuwutHQ8I/AAAAAAAG5wA/nx4IanhGv1E/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, afanya mahojiano na gazeti la Gulf Today kuhusu kuvutia uwekezaji na kukuza utalii nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-pzeNKMYF080/VJvuwutHQ8I/AAAAAAAG5wA/nx4IanhGv1E/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
Ubalozi Mdogo umejiwekea utaratibu katika mpango wake wa mwaka, kuandaa kongamano za uwekezaji tatu kwa kila mwaka.
Ni imani kuwa mpango huu utasaidia kutangaza fursa za uwekezaji zilizopo Tanzania na kuvutia idadi kubwa ya watalii...
11 years ago
Michuzi10 Jul
Mheshimiwa Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, aongea katika mkutano wa sekta ya nyumba
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6mFnFCcth34/VHrGnMfTNnI/AAAAAAAG0UI/U36vD9O4HmY/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai afanya mazungumzo na Balozi Mdogo wa Saudi Arabia Dubai
![](http://3.bp.blogspot.com/-6mFnFCcth34/VHrGnMfTNnI/AAAAAAAG0UI/U36vD9O4HmY/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
11 years ago
Michuzi10 Jun
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ap3AFHG2O60/U815BJnnf1I/AAAAAAAF4j4/wwENcTmMZ2o/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, atembelea kampuni ya Nyumba ya NAKHEEL yenye nia ya kuwekeza Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-ap3AFHG2O60/U815BJnnf1I/AAAAAAAF4j4/wwENcTmMZ2o/s1600/unnamed+(28).jpg)
Baadhi ya miradi iliyosimamiwa na kampuni hiyo ni pamoja na The Palm Dubai (the largest island Palm City in the World), Nakheel Mall, Dragon Mart na baadhi ya hotel za nyota tano Jijini Dubai.
Kufuatia mazungumzo kati ya Mhe. Mjenga na Bw. Rashid Lootah, mwenyekiti wa NAKHEEL,...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MAw_Bwf6YIo/U0OdUR4CYlI/AAAAAAAFZPY/U5CW8TFnCuU/s72-c/20140407_085729.jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai akutana na Balozi Mdogo wa Kenya, Dubai
![](http://2.bp.blogspot.com/-MAw_Bwf6YIo/U0OdUR4CYlI/AAAAAAAFZPY/U5CW8TFnCuU/s1600/20140407_085729.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_1Klcvq_wY/U0OdLqwejRI/AAAAAAAFZPQ/4gaMfHrYZuY/s1600/20140407_085712.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eKRBB_JURwM/Uxgm6N6zOkI/AAAAAAAFRXI/Z8eJmEOXit8/s72-c/unnamed+(61).jpg)
balozi mdogo wa ethiopia amtembelea balozi mdogo wa tanzania dubai
![](http://4.bp.blogspot.com/-eKRBB_JURwM/Uxgm6N6zOkI/AAAAAAAFRXI/Z8eJmEOXit8/s1600/unnamed+(61).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-U3ffWYZrxRE/Uxgm6NZWpTI/AAAAAAAFRXE/nQ4AIi6TjkI/s1600/unnamed+(62).jpg)
Katika mazungumzo yao wanadiplomasia hao walipata fursa ya kuzungumzia njia muafaka na mbali mbali za kufanya kazi kwa karibu ili kuhakikisha wanavutia utalii na uwekezaji katika nchi zao hasa kwa kuwavutia...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RwHzwAjBXGg/VAR6mUGR6bI/AAAAAAAGZ9c/VWYnfHf7OdQ/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai akutana na Mtendaji Mkuu wa Dubai Chamber of Commerce and Industry
![](http://3.bp.blogspot.com/-RwHzwAjBXGg/VAR6mUGR6bI/AAAAAAAGZ9c/VWYnfHf7OdQ/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
Katika mazungumzo, wamejadiliana uwezekano wa kuwa na ziara ya kibiashara kwenda Tanzania, kwa makampuni na viwanda vilivyopo Dubai, ili kukutana na wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda Tanzania, ili kujionea na kuibua fursa za uwekezaji. Wamekubaliana ziara hiyo ifanyike mwanzoni mwa mwaka kesho na hivyo basi kuanza maandalizi mapema.
Mwezi Novemba,...