Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai akutana na Mtendaji Mkuu wa Dubai Chamber of Commerce and Industry
![](http://3.bp.blogspot.com/-RwHzwAjBXGg/VAR6mUGR6bI/AAAAAAAGZ9c/VWYnfHf7OdQ/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Mhe. Omar Mjenga, amekutana na Mhe. Hamad Buamim, Rais na Mtendaji Mkuu wa Dubai Chamber of Commerce and Industry na kufanya naye mazungumzo.
Katika mazungumzo, wamejadiliana uwezekano wa kuwa na ziara ya kibiashara kwenda Tanzania, kwa makampuni na viwanda vilivyopo Dubai, ili kukutana na wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda Tanzania, ili kujionea na kuibua fursa za uwekezaji. Wamekubaliana ziara hiyo ifanyike mwanzoni mwa mwaka kesho na hivyo basi kuanza maandalizi mapema.
Mwezi Novemba,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-314SBbg9V4s/VGC5h67kIkI/AAAAAAAGwZQ/twpiyF6pb70/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI MHE. OMAR MJENGA, AKUTANA MTENDAJI MKUU NA RAIS WA FLYDUBAI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pYm0uSdtIew/U_9QLQPpQyI/AAAAAAAGMV8/3Vbir3UlwO4/s72-c/unnamed%2B(50).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai akutana na akutana na Mkurugenzi wa Hospitali ya Iran ya Dubai
Baada ya mazungumzo na mashauriano ya muda wa saa moja, Uongozi wa Juu wa Hospitali,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-b2vW_37bd2I/U0KxCh16XbI/AAAAAAAFZMc/nn9sHTq8-FY/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, Mhe. Omar Mjenga Akutana na Mkurugenzi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya UAE, Ofisi ya Dubai.
![](http://1.bp.blogspot.com/-b2vW_37bd2I/U0KxCh16XbI/AAAAAAAFZMc/nn9sHTq8-FY/s1600/unnamed+(8).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MAw_Bwf6YIo/U0OdUR4CYlI/AAAAAAAFZPY/U5CW8TFnCuU/s72-c/20140407_085729.jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai akutana na Balozi Mdogo wa Kenya, Dubai
![](http://2.bp.blogspot.com/-MAw_Bwf6YIo/U0OdUR4CYlI/AAAAAAAFZPY/U5CW8TFnCuU/s1600/20140407_085729.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_1Klcvq_wY/U0OdLqwejRI/AAAAAAAFZPQ/4gaMfHrYZuY/s1600/20140407_085712.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6mFnFCcth34/VHrGnMfTNnI/AAAAAAAG0UI/U36vD9O4HmY/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai afanya mazungumzo na Balozi Mdogo wa Saudi Arabia Dubai
![](http://3.bp.blogspot.com/-6mFnFCcth34/VHrGnMfTNnI/AAAAAAAG0UI/U36vD9O4HmY/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2Hfu-rv2L4w/U9-Ixmp_LpI/AAAAAAAF9AU/HvxVP3pvWLY/s72-c/20140803_212527.jpg)
DRAGON MART YA DUBAI WAKUTANA TENA NA BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI, MHE. OMAR MJENGA
Nia yao pamoja na Wizara, ni kujenga kituo cha ubora( centre of excellency) kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Hfu-rv2L4w/U9-Ixmp_LpI/AAAAAAAF9AU/HvxVP3pvWLY/s1600/20140803_212527.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5H_s3CSgjk0/U9-IxcuHcSI/AAAAAAAF9AA/PpTVzBauePk/s1600/20140803_200704.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NOZ4bW1TnJI/VANq7Z6Tk5I/AAAAAAAGYhU/CPNrKunxLtg/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Dkt. Jabiri Bakari, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa e- Government na ujumbe wake wamtembelea balozi wetu mdogo Dubai
![](http://3.bp.blogspot.com/-NOZ4bW1TnJI/VANq7Z6Tk5I/AAAAAAAGYhU/CPNrKunxLtg/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cpPqddwRMQE/VANq765vIyI/AAAAAAAGYhY/iWZtqQDFGsI/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gmh0C6-ZHYE/U4bXzGd5qDI/AAAAAAAFmE4/yYu3ppcRY5A/s72-c/20140527_113139.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Amtembelea Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Ofisini kwake
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gmh0C6-ZHYE/U4bXzGd5qDI/AAAAAAAFmE4/yYu3ppcRY5A/s1600/20140527_113139.jpg)
Mazungumzo yao yalihusu maandalizi ya kongamano la uwekezaji katika sekta ya nyumba litakalofanyika Jumeirah Madnat Hotel, Dubai. Kongamano hilo limeandaliwa na Ubalozi Mdogo wa Tanzania uliopo Dubai kwa kushirikiana na Shirika la Taifa la Nyumba (NHC).
Makampuni makubwa ya sekta ya nyumba hapa Dubai...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UFZ-3ScSid4/VGcI_BFqMPI/AAAAAAADNCA/HZoV7JJB00E/s72-c/IMAG0122.jpg)
MHE. MWAKYEMBE AKUTANA NA BALOZI MDOGO WA TANZANIA, DUBAI, MHE. OMAR MJENGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-UFZ-3ScSid4/VGcI_BFqMPI/AAAAAAADNCA/HZoV7JJB00E/s1600/IMAG0122.jpg)
Mhe. Mjenga amemueleza Mhe. Mwakyembe kuhusu mazungumzo yake pamoja na Mhe. Gaith Alghaith, Mtendaji Mkuu wa Shirika la Ndege la FlyDubai, kuhusu mpango wa shirika hilo kuingia makubaliano ya ushirikiano pamoja na shirika la Ndege la Tanzania(Air Tanzania) ambako Flydubai watatoa ndege tano zitakazochukua njia za ndani (domestic routes) na zile za...