Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, atembelea kampuni ya Nyumba ya NAKHEEL yenye nia ya kuwekeza Tanzania
.jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, Mhe Omar Mjenga leo ametembelea kampuni ya Nyumba ya NAKHEEL, ambayo ndio kampuni kubwa ya Serikali Dubai, kwa lengo la kujionea miradi mikubwa iliyotekelezwa na kampuni hiyo.
Baadhi ya miradi iliyosimamiwa na kampuni hiyo ni pamoja na The Palm Dubai (the largest island Palm City in the World), Nakheel Mall, Dragon Mart na baadhi ya hotel za nyota tano Jijini Dubai.
Kufuatia mazungumzo kati ya Mhe. Mjenga na Bw. Rashid Lootah, mwenyekiti wa NAKHEEL,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi.jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai afanya mazungumzo na Balozi Mdogo wa Saudi Arabia Dubai
.jpg)
11 years ago
Michuzi18 Sep
Uongozi wa kampuni ya Nyumba ya NAKHEEL, ambayo ndio kampuni kubwa ya Serikali Dubai watembelea NHC, wafanya Mazungumzo

Mkurugenzi Mkuu wa NHC jiji Dar es Salaam jana, nyuma yake ni Mkurugenzi Mkuu wa Ujenzi wa Miradi wa Kampuni hiyo, Masood Al Zarooni na Injinia Fawzi Al Shah ambaye ni Mkurugenzi wa Udhibiti na Mipango...
11 years ago
Michuzi10 Jul
Mheshimiwa Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, aongea katika mkutano wa sekta ya nyumba
11 years ago
Michuzi15 Jun
BALOZI MDOGO WA TANZANIA, DUBAI AFANYA MAHOJIANO NA CLOUDSTV WAKATI WA MKUTANO WA UWEKEZAJI KWENYE SEKTA YA NYUMBA
11 years ago
Michuzi
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai akutana na Balozi Mdogo wa Kenya, Dubai


11 years ago
Michuzi.jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai akutana na Mtendaji Mkuu wa Dubai Chamber of Commerce and Industry
.jpg)
Katika mazungumzo, wamejadiliana uwezekano wa kuwa na ziara ya kibiashara kwenda Tanzania, kwa makampuni na viwanda vilivyopo Dubai, ili kukutana na wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda Tanzania, ili kujionea na kuibua fursa za uwekezaji. Wamekubaliana ziara hiyo ifanyike mwanzoni mwa mwaka kesho na hivyo basi kuanza maandalizi mapema.
Mwezi Novemba,...
11 years ago
Michuzi.jpg)
balozi mdogo wa ethiopia amtembelea balozi mdogo wa tanzania dubai
.jpg)
.jpg)
Katika mazungumzo yao wanadiplomasia hao walipata fursa ya kuzungumzia njia muafaka na mbali mbali za kufanya kazi kwa karibu ili kuhakikisha wanavutia utalii na uwekezaji katika nchi zao hasa kwa kuwavutia...
11 years ago
Michuzi
DRAGON MART YA DUBAI WAKUTANA TENA NA BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI, MHE. OMAR MJENGA
Nia yao pamoja na Wizara, ni kujenga kituo cha ubora( centre of excellency) kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika.


11 years ago
Michuzi.jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, Mhe. Omar Mjenga Akutana na Mkurugenzi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya UAE, Ofisi ya Dubai.
.jpg)