DK. MOHAMED GHARIB BILAL, KUFUNGUA MKUTANO WA UWEKEZAJI WA SEKTA YA NYUMBA, DUBAI, UAE, 11 JUNI, 2014.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi15 Jun
BALOZI MDOGO WA TANZANIA, DUBAI AFANYA MAHOJIANO NA CLOUDSTV WAKATI WA MKUTANO WA UWEKEZAJI KWENYE SEKTA YA NYUMBA
Mahojiano ya Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai Mheshimiwa Omar Mjenga na CloudsTV, yaliyofanyika wakati wa mkutano wa uwekezaji kwenye sekta ya nyumba uliofanyika haa Dubai na kufunguliwa rasmi na Mheshimiwa Dk. Mohamed Bilal, Makamu wa Rais. Mkutano huo uliandaliwa na Ubalozi Mdogo kwa kushirikiana na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), ambako waliweza kuwasilisha miradi yao mitatu ya miji maalum (Satelite Cities) za Kibada, Dar es saalam, Safari City ya Arusha. Huu ni mkutano wa kwanza...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-RAKmEUklrkk/VI9BH2n5XNI/AAAAAAADSD4/j8Oud0FKEDk/s72-c/KONGAMANO%2BLA%2BUWEKEZAJI%2BSEKTA%2BYA%2BUTALII%2BKUFANYIKA%2BDUBAI%2BTAREHE%2B1_0001.jpg)
11 years ago
Michuzi10 Jul
Mheshimiwa Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, aongea katika mkutano wa sekta ya nyumba
mahojiano ya Mheshimiwa Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, akihojiwa na Cloudstv wakati wa mkutano wa uwekezaji sekta ya nyumba uliofanyika tarehe 11 Juni, 2014 katika Hotel ya Jumeirah Madnat Dubai. Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt Mohamed Bilal alikuwa mgeni rasmi.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9CypBpiLeWY/Vf731uTV-ZI/AAAAAAAH6Xw/vOSCWuT5Hxg/s72-c/unnamed%2B%252863%2529.jpg)
MAKAMU WA RAIS MOHAMED GHARIB BILAL AHUDHURIA KUWEKWA WAKFU ASKOFU KENEN PANJA MJINI TUKUYU LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-9CypBpiLeWY/Vf731uTV-ZI/AAAAAAAH6Xw/vOSCWuT5Hxg/s640/unnamed%2B%252863%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XJNDZcd5OXc/Vf731lZhcYI/AAAAAAAH6Xs/_jW1nOcRsMQ/s640/unnamed%2B%252864%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1u-yBhDtIOM/U6HKIlLFCkI/AAAAAAAFrjE/n42FAOsxdo4/s72-c/unnamed+(7).jpg)
Makamu wa Rais Dk. Mohamed Ghalib Bilal, atembelea Dubai Sports City leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-1u-yBhDtIOM/U6HKIlLFCkI/AAAAAAAFrjE/n42FAOsxdo4/s1600/unnamed+(7).jpg)
Makamu wa Rais Dk. Mohamed Ghalib Bilal, leo ametembelea mradi mpya wa Dubai Sports City, na kujionea ramani ya mradi huo mkubwa wa kijiji cha michezo Dubai. Kulia kwa Makamu wa Rais, ni Bwana Mohamed Sharif, Mtanzania ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Mradi wa Dubai Sports City. Kulia mwa picha ni Balozi Mbarouk, na kushoto mwa picha ni Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai Mhe. Omar Mjenga.
![](http://1.bp.blogspot.com/-FQmyzo-NpXk/U6HKWv3d4EI/AAAAAAAFrjM/U1XfepflUCs/s1600/unnamed+(11).jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/125.jpg?width=650)
MAKAMU WA RAIS DR.MOHAMMED GHARIB BILAL ALIPOTEMBELEA BANDA LA SHIRIKA LA NYUMBA (NHC)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr.Mohammed Gharib Bilal akikaribishwa na Meneja masoko wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC Bw. Tuntufye Mwambusi wakati alipotembelea banda la shirika hilo katika maonyesho ya Nanenane kitaifa yaliyofungwa jana mjini Lindi na Mh. Makamu wa Rais Mh. Dr. Mohammed Gharib Bilal . Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. Mohammed Gharib Bilal akisikiliza maelezo kutoka...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-b2vW_37bd2I/U0KxCh16XbI/AAAAAAAFZMc/nn9sHTq8-FY/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, Mhe. Omar Mjenga Akutana na Mkurugenzi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya UAE, Ofisi ya Dubai.
![](http://1.bp.blogspot.com/-b2vW_37bd2I/U0KxCh16XbI/AAAAAAAFZMc/nn9sHTq8-FY/s1600/unnamed+(8).jpg)
11 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS DK. GHARIB BILAL NDANI YA TAMASHA LA MATUMAINI 2014
Mgeni rasmi katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014, Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal akitoa hotuba fupi. Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd ambao ndiyo waandaaji wa Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014, Eric Shigongo naye akitoa neno la…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania