Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAHESHIMIWA JANET MBENE NA MOHAMMED ABOUD WAENDELEA NA ZIARA YAO DUBAI

Waheshimiwa Janet Mbene na Mohammed Aboud, leo wameendelea na ziara yao ya kikazi Dubai. Katika kikao cha leo, ujumbe huu pamoja na mwenyeji wao Mhe. Omar Mjenga, wamefanya mazungumzo ya biashara na Rais Mstaafu wa Comoro Mzee Sambi.Pichani ni mazungumzo hayo yakiendelea.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MHE. OMAR MJENGA AWAANDALIA CHAKULA CHA JIONI WAHESHIMIWA JANET MBENE, MOHAMMED ABOUD NA MZEE SAMBI.

Mhe. Mjenga alimkaribisha Mzee Sambi, Rais Mstaafu wa ComorosMhe. Omar Mjenga, amewaandalia chakula cha jioni Waheshimiwa Janet Mbene, Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara na Mohammed Aboud, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Zanzibar ambao wamekuwepo Dubai kwa ziara ya kikazi.
Aidha, katika hafla hiyo, Mhe. Mjenga alimkaribisha Mzee Sambi, Rais Mstaafu wa Comoros. Wageni wengine waalikwa ni pamoja na Ndugu Joseph Kusaga na familia yake, Mfanyabiashara Hashimu Lema...

 

10 years ago

Vijimambo

Mhe. Mohammed Aboud Awasili Dubai kwa ziara ya Kikazi

Pichani kulia ni Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, akimkaribisha Mhe. Aboud, Dubai, na kushoto ni Nd. Islam Balhabou
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Mohammed Aboud, amewasili Dubai kwa ziara ya kikazi.
Akiwa Dubai, Mhe. Aboud atafanya mazungumzo na Kamati ya Maandalizi ya Maonyesho ya Biashara ya Dunia 2020 (World Expo2020).
Aidha, atafanya mazungumzo na Nd. Islam Balhabou, Mfanyabiashara Mtanzania ambaye amejitolea kufungua afisi...

 

10 years ago

Michuzi

MHE. JANET MBENE AKAMILISHA ZIARA YAKE UINGEREZA KWA KUKUTANISHWA NA WAFANYABIASHARA WA KITANZANIA JIJINI LONDON

Na Ally Rashid Dilunga, LondonKatika kukamilisha mojawapo ya malengo ya ziara yake ya kikazi hapa Uingereza, Naibu waziri wa viwanda na biashara Mheshimiwa Janet mbene, amemalizia ziara yake ya wiki moja nchini Uingereza kwa kukutanishwa na baadhi ya wafanyabiashara wa Kitanzania hapa Ubalozini jijini London.

Ametumia fursa hiyo kuwafahamisha hatua zinazochukuliwa na Serikali kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji na pia kuwataarifu juu ya fursa za kibiashara zilizoko katika sekta...

 

9 years ago

Vijimambo

JANET MBENE MALANGALI

kikundi cha ngoma za asili kutoka kata ya malangali kikitoa burudani kwa wanacahma wa Chama cha Mapinduzi CCM waliofika kusikiliza sera za mgombea wa Chama hicho wilaya ya Ileje Janet MbeneKatibu wa CCM Wilaya ya Ileje mkoa songwe Hamida Mbogo akiwa jukwaani akinadi sera za chama cha mapinduzi juu ya mafiga matatu katika kata ya Malangali wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea ubunge wa chama hicho Janet Mbene  Mgombea ubunge wa chama cha Mapinduzi katika Wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe...

 

11 years ago

GPL

MAKAMU WA RAIS NA VIONGOZI WENZAKE WAENDELEA NA ZIARA YAO

  Makamu wa Rais akionyeshwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Injinia Mussa Iombe, sehemu ya daraja la Mpiji linalounganisha Bagamoyo na Dar es Salaam lililokatika kutokana na mvua kubwa. Asubuhi Aprili 13 2014 Makamu wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mecky Sadick na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dsm Suleiman Kova walipata ajali ya helikopta iliyoanguka uwanja wa ndege Dar wakitaka...

 

9 years ago

Dewji Blog

Janet Mbene ang’ara Songwe

DSC_9807

Mgombea ubunge wa Chama cha Mapinduzi katika Wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe, Janet Mbene akihutubia mamaia ya wakazi wa kata ya Malangali wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Malangali.

DSC_9824

DSC_9711

Katibu wa CCM Wilaya ya Ileje mkoa Songwe, Hamida Mbogo akiwa jukwaani akinadi sera za chama cha mapinduzi juu ya mafiga matatu katika kata ya Malangali wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea ubunge wa chama hicho Janet Mbene.

DSC_9771

Mgombea ubunge wa chama cha Mapinduzi katika Wilaya...

 

10 years ago

Vijimambo

Janet Mbene apokea madawati kutoka benki ya Posta

Naibu waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene, akiwa amekaa kwenye madawati amabayo amekabidhiwa na benki ya Posta kwa ajili ya shule za ilejeNaibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akimkabidhi katibu wa CCM Wilaya ya Ileje Hamida Mbogo madawati ya kwa ajili ya shule za sekondari na msingi wilayani ileje ambayo yametolewa na benki Posta Tawi la Tunduma.

 

9 years ago

Michuzi

Janet Mbene katika kampeni kata ya Malangali jimbo la Ileje

 Katibu wa CCM Wilaya ya Ileje mkoa songwe Hamida Mbogo akiwa jukwaani akinadi sera za CCM  juu ya mafiga matatu katika kata ya Malangali wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea ubunge wa chama hicho Janet Mbene Kikundi cha ngoma za asili kutoka kata ya Malangali kikitoa burudani kwa wanaCCM waliofika kusikiliza sera za mgombea wa Chama hicho wilaya ya Ileje Janet Mbene Mgombea ubunge wa chama cha Mapinduzi katika Wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe Janet Mbene akihutubia mamaia ya wakazi wa kata...

 

10 years ago

Vijimambo

NAIBU WAZIRI JANET MBENE AFANYA MKUTANO NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KATA YA ISOKO

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akipokea zawadi ya ungo kutoka kwa mwakilishi wa wasuka ungo wa bundali.Naibu waziri wa Viwanda na biashara na mgombea ubunge wa jimbo laileje mkoani Songwe, Janet Mbene akisalimiana na vijana waliotokeakumlaki katika kata ya isoko walayani hapo.Naibu waziri waviawnada na biashara na mgombea ubunge katika jimbo ileje mkoa wa Songwe,Janet Mbene akitembea huku mamamia ya watu wkimfuta nyuma mara baada ya kumalizika kwa mkutano wake na wajumbe wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani