WANANCHI JIMBO LA CHALINZE KUMCHAGUA MBUNGE WAO LEO
![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqylFzOprOoJpP3g7IYbHDsmQ*aVtKKONGlN3W8j9g2w1gldrQBZUb4PIhDh*DF306xTrBgXbmdw1w2tAgBDOL5h/UpigajiKuraTanzania.jpg)
BAADA ya kampeni zilizodumu kwa mwezi mmoja, hatimaye uchaguzi mdogo wa Ubunge katika Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo, Pwani unatarajiwa kufanyika leo ili kumpata mrithi wa Said Bwanamdogo aliyefariki dunia Januari 22 mwaka huu kutokana na maradhi. Katika kipindi chote cha kampeni, vyama vitano vilichuana kumwaga sera na usiku na mchana katika Kata 15 za jimbo hilo, kila kimoja kikiamini ndicho kitaibuka mshindi na hatimaye...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_L-w3V54RZY/VjUfiRKVO0I/AAAAAAAID0Y/CbFu5tZnZUA/s72-c/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
Mbunge Mteule wa jimbo la Mafinga Mjini Cosato Chumi ashukuru wananchi kwa kumchagua
![](http://3.bp.blogspot.com/-_L-w3V54RZY/VjUfiRKVO0I/AAAAAAAID0Y/CbFu5tZnZUA/s640/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
Mbunge Mteule wa jimbo la Mafinga Mjini Ndugu Cosato Chumi akiwa amebebwa na wananchi wa Kijiji cha Isalavanu wakati wa ziara yake ya kuwashukuru wananchi kwa kumpa kura za wingi.Ndugu Chumi ametembelea jumla ya Vijiji 15 kwa muda wa siku mbili katika kata za Bumilayinga, Sao Hill, Isalavanu na Rungemba. Baada ya kuapishwa ataendelea katika kata zilizosalia ambazo ziko katikati ya Mji wa Mafinga. Mhe. Chumi amesema yeye sasa ni mbunge wa wote waliompa kura na hata ambao hawakumpa kura,...
9 years ago
VijimamboMBUNGE MTEULE WA JIMBO LA ILEJE MKOANI SONGWE, MH JANET MBENE AWASHURU WANANCHI KWA KUMCHAGUA
Akizungumza na wakazi wa Ileje, Mbene alisema ushindi wa kura 27,583 aliopewa na wana Ileje dhidi...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-w-OSdNJF8AU/U0Ebx5HznSI/AAAAAAAAM7g/GID_WmB7gfY/s1600/1.jpg)
RAIS KIKWETE, MAMA SALMA WAUNGANA NA WANACHALINZE KUPIGA KURA KUMCHAGUA MBUNGE WAO LEO
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IImj5ORIEU0/VjXozS5cWOI/AAAAAAABYbE/OdX272f0dS0/s72-c/11.jpg)
MBUNGE MTEULE KATIKA JIMBO LA MANONGA MKOANI TABORA , SEIF KHAMIS GULAMALI (CCM) AWASHUKURU WANANCHI KWA KUMCHAGUA
![](http://2.bp.blogspot.com/-IImj5ORIEU0/VjXozS5cWOI/AAAAAAABYbE/OdX272f0dS0/s640/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VQq_Osx7Pf4/VjXjVLAlOTI/AAAAAAABYaw/NCGhU5kP0Yg/s640/9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0Vhz7Q19jPw/VjXjP5_sSmI/AAAAAAABYZ0/XM7uCFH5xP4/s640/10.jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Mbunge mteule katika jimbo la Manonga mkoani Tabora, Seif Khamis Gulamali (CCM) awashukuru wananchi kwa kumchagua
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jl2Pp1hhvZ0/VjXjPo8rf1I/AAAAAAABYZ8/BRDvaJVsAfk/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JG7d6BNnYDE/VjXjQOQAOfI/AAAAAAABYZ4/YeZV95gh_Pw/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I6G8QLUhxrk/VjXjRlwHAVI/AAAAAAABYaI/yiwIv0wO6Ks/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-l3wJtp8Ip0Y/VjXjUoat1PI/AAAAAAABYao/bCirDFiafEA/s640/7.jpg)
11 years ago
Michuzi05 Aug
MBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE AZINDUA MAKTABA YA KISASA SHULE YA SEKONDARI CHALINZE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/112.jpg)
Mbunge huyo pia ameahidi kujenga jiko katika shule hiyo na kuongeza kompyuta ili wanafunzi wajengewe mzingira mazuri zaidi ya kujisomea lakini...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/112.jpg?width=650)
MBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE AZINDUA MAKTABA YA KISASA SHULE YA SEKONDARI CHALINZE
10 years ago
Dewji Blog13 Jan
Ridhiwani aanza kutimiza ahadi, awashukuru wananchi kwa kumchagua Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akimkabidhi Diwani wa Kata ya Miono. Senguli Mbele moja kati ya matairi manne aliyonunua kwa ajili ya gari la kubebea wagonjwa katika Kituo cha Afya cha Miono, wakati wa mkutano wa kuwashukuru wananchi kwa kumchagua miezi sita iliyopita. Mkutano huo ulifanyika jana katika Kata ya Miono, Chalinze, wilayani Bagamoyo, Pwani.
Wananchi wakiwa kwenye mkutano huo.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Mmasai mwenye jamii ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqzQuk88sTpduBY6-kwN-fIr1vIkgmib4ukVkJ3QmlDOvJan37CBALqDV*JDhTqQkyJ7DtgKAdgxPSW1Mcnyw5yJ/1.jpg?width=650)
WANANCHI AFGHANISTAN WAPIGA KURA KUMCHAGUA RAIS WAO