MH JANETH MBENE AJITOSA KUWANIA JIMBO LA ILEJE
Naibu waziri wa Viwanda na biashara na mgombea ubunge wa jimbo la ileje mkoani Songwe, Janet Mbene akisalimiana na vijana waliotokea kumlaki katika kata ya isoko walayani hapo.
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akipokea zawadi ya ungo kutoka kwa mwakilishi wa wasuka ungo wa bundali. Picha na Humphrey Shao.
Naibu waziri wa Viwanda na biashara na mgombea Ubunge katika jimbo la Ileje mkoa wa Songwe,Janet Mbene akitembea huku mamia ya watu wakimfuta nyuma mara baada ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Xz6tmzVX4kg/Vf6gPwnmqLI/AAAAAAAH6SE/Z5gUBPyFpK8/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Janet Mbene katika kampeni kata ya Malangali jimbo la Ileje
![](http://1.bp.blogspot.com/-Xz6tmzVX4kg/Vf6gPwnmqLI/AAAAAAAH6SE/Z5gUBPyFpK8/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-At1Tnd9LP24/Vf6gQEX_WPI/AAAAAAAH6SM/FOT-ENFV0X0/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EKXHrDfTyJs/Vf6gQOC0i5I/AAAAAAAH6SI/omzE7VPzyIE/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
9 years ago
VijimamboMBUNGE MTEULE WA JIMBO LA ILEJE MKOANI SONGWE, MH JANET MBENE AWASHURU WANANCHI KWA KUMCHAGUA
Akizungumza na wakazi wa Ileje, Mbene alisema ushindi wa kura 27,583 aliopewa na wana Ileje dhidi...
10 years ago
VijimamboMAKENE AJITOSA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI
Makene...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zKXFe75aiM4/VP09kACb-_I/AAAAAAAHIyo/Z4Fmf8Out5k/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
Mdau Abdulaziz Ahmed ajitosa kuwania Ubunge Jimbo la Lindi Mjini
![](http://2.bp.blogspot.com/-zKXFe75aiM4/VP09kACb-_I/AAAAAAAHIyo/Z4Fmf8Out5k/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
Kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi oktoba mwaka huu,Mwandishi wa habari wa kituo cha televisheni cha Channel ten,Abdulaziz Ahmed leo Ametangaza nia yake ya kugombea ubunge katika jimbo la Lindi mjini katika uchaguzi mkuu ujao kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa,Abdulaziz ambae pia ni Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoani Lindi alisema kuwa amefikia uamuzi huo baada ya kujitathimini na kugundua...
10 years ago
MichuziWAKILI EMMANUEL TAMILA MAKENE AJITOSA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI
Makene...
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Wandili wa SEMA ajitosa kuwania ubunge jimbo la Singida mjini kwa tiketi ya ACT
Mfanyakazi wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA mkoani Singida, Jeremiah Paul Wandili, (katikati) akitangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Singida mjini kupitia tiketi ya ACT Wazalendo. Kulia ni Mwakilishi wa mwenyekiti wa ACT Wazalendo mkoa wa Singida, Peter Mkenyi na kushoto ni Mratibu wa harakati za Wandili za kugombea jimbo Peter Lisu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
KIJANA mfanyakazi wa Shirika lisilo la kiserikali la SEMA Singida Mjini, Jeremiah Paul Wandili...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2ca8LfcTNzo/Vawn2u5zj1I/AAAAAAAHqmE/6ejJOc_bZ1Y/s72-c/IMG_0155.jpg)
Mtangazaji maarufu nchini Abdallah Idrissa Majura ajitosa kuwania ubunge jimbo la kawe
![](http://2.bp.blogspot.com/-2ca8LfcTNzo/Vawn2u5zj1I/AAAAAAAHqmE/6ejJOc_bZ1Y/s640/IMG_0155.jpg)
Mwandishi wa habari na mtangazaji maarufu nchini Abdallah Idrissa Majura (pichani) jana ameahidi kufanya mapinduzi ya michezo katika jimbo la kawe ambao utakuwa ni mfano kwa maeneo mengine na taifa kwa ujumla.Akizungumza na vyombo vya habari mara baada ya kurejesha fomu za kuomba kugombea ubunge jimbo la kawe kupitia chama cha mapinduzi, amesema endapo atapendekezwa na ccm kisha kuchaguliwa kuwa munge wa jimb hilo ataanza na michezo mitano ambayo ni soka, mpira wa kikapu,netiboli, wavu na...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-gWiLLuW225Y/VOIimif4J4I/AAAAAAADZr0/SWa9x6tF4T8/s72-c/20150216_130046.jpg)
Mhe. Janeth Mbene atembelea Ubalozi Mdogo wa Tanzania Dubai
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-gzUFAVSW0Lk%2FVOIimWZZ0sI%2FAAAAAAADZr4%2Fnz0vYNrJfiI%2Fs1600%2F20150216_130031.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gWiLLuW225Y/VOIimif4J4I/AAAAAAADZr0/SWa9x6tF4T8/s1600/20150216_130046.jpg)
Mkurugenzi wa Kituo cha Biashara Ndugu Ruhumbika, amemueleza Mhe. Mbene...