Mhe. Janeth Mbene atembelea Ubalozi Mdogo wa Tanzania Dubai
![](http://1.bp.blogspot.com/-gWiLLuW225Y/VOIimif4J4I/AAAAAAADZr0/SWa9x6tF4T8/s72-c/20150216_130046.jpg)
Pichani juu na chini ni , ni Mhe. Mjenga akimkaribisha Mhe. Janeth Mbene ofisini kwake kwa mazungumzo
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janeth Mbene yupo ziarani Dubai. Katika ziara hiyo, Mhe. Mbene ameutembelea Ubalozi Mdogo wa Tanzania uliopo Dubai na kufanya mazungumzo na Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania. Aidha, Mhe. Mbene amepata maelezo ya kina kuhusu shughuli za Ubalozi Mdogo na Kituo cha Biashara.
Mkurugenzi wa Kituo cha Biashara Ndugu Ruhumbika, amemueleza Mhe. Mbene...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-F-TNwUV4FB4/U8903kKNxzI/AAAAAAAF5Ds/shGFC-Oh8zs/s1600/unnamed+%2812%29.jpg?width=650)
BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI, MHE. OMAR MJENGA, ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KATIKA UBALOZI MDOGO WA MALAYSIA.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--MKnvQDGD5s/U2wUGxigTQI/AAAAAAAFgXs/JpU81yvrk7k/s72-c/unnamed+(4).jpg)
ujumbe wa ubalozi mdogo wa malawi Dubai watembelea ubalozi mdogo wa tanzania Dubai
![](http://4.bp.blogspot.com/--MKnvQDGD5s/U2wUGxigTQI/AAAAAAAFgXs/JpU81yvrk7k/s1600/unnamed+(4).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2Hfu-rv2L4w/U9-Ixmp_LpI/AAAAAAAF9AU/HvxVP3pvWLY/s72-c/20140803_212527.jpg)
DRAGON MART YA DUBAI WAKUTANA TENA NA BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI, MHE. OMAR MJENGA
Nia yao pamoja na Wizara, ni kujenga kituo cha ubora( centre of excellency) kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Hfu-rv2L4w/U9-Ixmp_LpI/AAAAAAAF9AU/HvxVP3pvWLY/s1600/20140803_212527.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5H_s3CSgjk0/U9-IxcuHcSI/AAAAAAAF9AA/PpTVzBauePk/s1600/20140803_200704.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-b2vW_37bd2I/U0KxCh16XbI/AAAAAAAFZMc/nn9sHTq8-FY/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, Mhe. Omar Mjenga Akutana na Mkurugenzi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya UAE, Ofisi ya Dubai.
![](http://1.bp.blogspot.com/-b2vW_37bd2I/U0KxCh16XbI/AAAAAAAFZMc/nn9sHTq8-FY/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UFZ-3ScSid4/VGcI_BFqMPI/AAAAAAADNCA/HZoV7JJB00E/s72-c/IMAG0122.jpg)
MHE. MWAKYEMBE AKUTANA NA BALOZI MDOGO WA TANZANIA, DUBAI, MHE. OMAR MJENGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-UFZ-3ScSid4/VGcI_BFqMPI/AAAAAAADNCA/HZoV7JJB00E/s1600/IMAG0122.jpg)
Mhe. Mjenga amemueleza Mhe. Mwakyembe kuhusu mazungumzo yake pamoja na Mhe. Gaith Alghaith, Mtendaji Mkuu wa Shirika la Ndege la FlyDubai, kuhusu mpango wa shirika hilo kuingia makubaliano ya ushirikiano pamoja na shirika la Ndege la Tanzania(Air Tanzania) ambako Flydubai watatoa ndege tano zitakazochukua njia za ndani (domestic routes) na zile za...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ap3AFHG2O60/U815BJnnf1I/AAAAAAAF4j4/wwENcTmMZ2o/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai, atembelea kampuni ya Nyumba ya NAKHEEL yenye nia ya kuwekeza Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-ap3AFHG2O60/U815BJnnf1I/AAAAAAAF4j4/wwENcTmMZ2o/s1600/unnamed+(28).jpg)
Baadhi ya miradi iliyosimamiwa na kampuni hiyo ni pamoja na The Palm Dubai (the largest island Palm City in the World), Nakheel Mall, Dragon Mart na baadhi ya hotel za nyota tano Jijini Dubai.
Kufuatia mazungumzo kati ya Mhe. Mjenga na Bw. Rashid Lootah, mwenyekiti wa NAKHEEL,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-314SBbg9V4s/VGC5h67kIkI/AAAAAAAGwZQ/twpiyF6pb70/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI MHE. OMAR MJENGA, AKUTANA MTENDAJI MKUU NA RAIS WA FLYDUBAI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YzmP8xqILFM/VHP9m7Ti92I/AAAAAAAGzO4/7j-4JWRV_zg/s72-c/unnamed%2B(91).jpg)
JAJI MKUU WA TANZANIA MHE MOHAMED CHANDE OTHMAN ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGTON DC
10 years ago
VijimamboMHE. JAJI MKUU WA TANZANIA MOHAMED CHANDE OTHMAN ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA
MHE. JAJI MOHAMED CHANDE OTHMAN AKIWA NA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA MHE. GRACE J. MUJUMA
MHE JAJI MKUU AKIONGEA NA WAFANYAKAZI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA WAKIWEMO MHE BALOZI GRACE J. MUJUMA, KAIMU MKUU WA UTAWALA NA KONSULA RICHARD LUPEMBE (HAYUPO PICHANI) NA MWAMBATA FEDHA HUDDY KIANGI WAKIMSIKILIZA KWA MAKINI JAJI MKUU AKIELEZA JAMBO
JAJI MKUU WA TANZANIA MHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN ALIKUWA NA ZIARA YA KIKAZI NCHINI ZAMBIA KUANZIA TAREHE 2 HADI 6 MEI 2015 KWA...