MBUNGE COSATO CHUMI KUTATUA TATIZO LA MAJI KATIKA MJI WA MAFINGA LILOTUDUMI KWA MUDA MREFU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-fmcGVtYOHeA/VlxonpI26-I/AAAAAAAABCc/zioSXRHY4D4/s72-c/IMG-20151130-WA0097.jpg)
Mbunge wa mafinga mjini cosato chumi akikagua chanzo maji cha ikangafu wakati wa ziara yake ya kutembelea vyanzo vya maji na matanki ya kuhifadhia maji
Mbunge wa mafinga mjini cosato chumi akikagua moja ya tanki la kuhifadhia maji.
kushoto ni bw uhaula ,bw shaibu nnunduma mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa mafinga wakijadili jambo baada ya kukagua baadi ya vyanzo hivyo vya maji.
MBUNGE wa jimbo la mafinga mjini cosato chumi amefanya ziara ya kuangalia jinsi gani anaweza kutatua tatizo la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_L-w3V54RZY/VjUfiRKVO0I/AAAAAAAID0Y/CbFu5tZnZUA/s72-c/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
Mbunge Mteule wa jimbo la Mafinga Mjini Cosato Chumi ashukuru wananchi kwa kumchagua
![](http://3.bp.blogspot.com/-_L-w3V54RZY/VjUfiRKVO0I/AAAAAAAID0Y/CbFu5tZnZUA/s640/unnamed%2B%252816%2529.jpg)
Mbunge Mteule wa jimbo la Mafinga Mjini Ndugu Cosato Chumi akiwa amebebwa na wananchi wa Kijiji cha Isalavanu wakati wa ziara yake ya kuwashukuru wananchi kwa kumpa kura za wingi.Ndugu Chumi ametembelea jumla ya Vijiji 15 kwa muda wa siku mbili katika kata za Bumilayinga, Sao Hill, Isalavanu na Rungemba. Baada ya kuapishwa ataendelea katika kata zilizosalia ambazo ziko katikati ya Mji wa Mafinga. Mhe. Chumi amesema yeye sasa ni mbunge wa wote waliompa kura na hata ambao hawakumpa kura,...
9 years ago
CCM BlogCOSATO CHUMI AMALIZA TATIZO LA VITANDA HOSPITAL YA MAFINGA MJINI
Pichani Mbunge wa jimbo la Mafinga mji ni Cotato chumi akimkabidhi msaada wa vitanda ,magodoro pamoja na vifaa mbalimbali kaimu mganga mkuu wa hospitali ya Mafinga dk Abdul Msuya juzi
![](http://2.bp.blogspot.com/-Jd8oLZZQz_E/VmAYYxl67sI/AAAAAAAABGc/NWYH0ED0_tE/s640/IMG_20151201_122733.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wvZw31T1l00/VmAYZ-g0onI/AAAAAAAABGk/C35xb99iGd4/s640/IMG_20151201_124445.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qhLhoGprqHY/VmAYkpCpmfI/AAAAAAAABG0/J7OIPRxTJps/s640/IMG_20151201_124509.jpg)
TATIZO la upungufu wa vitanda katika wodi ya akina mama na watoto...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY_GxMDI6Bw/VlG7uDgQfmI/AAAAAAAIHws/zg64ojnKZIU/s72-c/001d3aac-efa1-49d1-9e98-c2ad7f75c7af.jpg)
ANKAL ANA KWA ANA NA MBUNGE WA MAFINGA MJINI MHE. COSATO CHUMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY_GxMDI6Bw/VlG7uDgQfmI/AAAAAAAIHws/zg64ojnKZIU/s640/001d3aac-efa1-49d1-9e98-c2ad7f75c7af.jpg)
10 years ago
StarTV09 Jan
Tatizo la Kukaimu kwa muda mrefu, TAMISEMI yapewa siku sita kujieleza
Na Seda Elias,
Dar es Salaam.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mahesabu ya Serikali za Mitaa LAAC imetoa siku sita kwa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI kutoa majibu ya tatizo la watendaji wa Serikali kukaimu nafasi mbalimbali kwa muda mrefu.
Ni agizo la Mwenyekiti wa Kamati hiyo Rajab Mbaruk Mohamed wakati wa ukaguzi wa mahesabu ya Manispaa ya Ilala jijini Dar Es Salaam.
Mwenyekiti huyo wa LAAC amesema tatizo la kukaimu nafasi nyeti katika Serikali limekuwa ni sugu kwenye...
9 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA MAFINGA AAHIDI KUTATUA KERO YA MAJI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-e1D1eUVeRLo/VcAxLWiJFyI/AAAAAAAHtts/Sq-Z42geLm0/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
mdau cosato david chumi aibuka kidedea kura za maoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-e1D1eUVeRLo/VcAxLWiJFyI/AAAAAAAHtts/Sq-Z42geLm0/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MiDynH1WFaA/VcAxLTbXnrI/AAAAAAAHttw/RQsP45oWGbE/s640/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
10 years ago
MichuziWarsha ya kupitia Ripoti ya Takwimu za kemikali zinazokaa kwa muda mrefu katika Mazingira
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BT8m71hldqs/VKxcpv1YRFI/AAAAAAAG7wI/gmMzeXxVMEI/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
Wastaafu watakiwa kushirikiana kwa karibu katika kutumia ujuzi na Taaluma zao za muda mrefu
![](http://1.bp.blogspot.com/-BT8m71hldqs/VKxcpv1YRFI/AAAAAAAG7wI/gmMzeXxVMEI/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pTCEOdC7Bzs/VKxcpmilV4I/AAAAAAAG7wA/jGnTb31lVN0/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tgtSHqMl120/VKxcpuJRinI/AAAAAAAG7wE/I8ZyuFFR9mM/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Jan
Ridhiwani kikwete aahidi kutatua tatizo la umeme, maji Kiwangwa,Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete (kulia), akipata maelezo kutoka kwa Msimamizi wa ujenzi kutoka Kambi ya Mzinga ya JWTZ, Aloyce Mayunga (kushoto) alipokwenda kukagua ujenzi wa maabara ya Shule ya Sekondari ya Kiwangwa wakati wa ziara ya kikazi ya katika Kata ya Kiwangwa, wilayani Chalinze, Pwani jana Aliwataka wajenzi hao kujenga maabara hayo kwa kuzingatia viwango. Katikati ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Bagamoyo, Saleh Mpimbwi.
Ridhiwani Kikwete...