Tatizo la Kukaimu kwa muda mrefu, TAMISEMI yapewa siku sita kujieleza
Na Seda Elias,
Dar es Salaam.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mahesabu ya Serikali za Mitaa LAAC imetoa siku sita kwa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI kutoa majibu ya tatizo la watendaji wa Serikali kukaimu nafasi mbalimbali kwa muda mrefu.
Ni agizo la Mwenyekiti wa Kamati hiyo Rajab Mbaruk Mohamed wakati wa ukaguzi wa mahesabu ya Manispaa ya Ilala jijini Dar Es Salaam.
Mwenyekiti huyo wa LAAC amesema tatizo la kukaimu nafasi nyeti katika Serikali limekuwa ni sugu kwenye...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fmcGVtYOHeA/VlxonpI26-I/AAAAAAAABCc/zioSXRHY4D4/s72-c/IMG-20151130-WA0097.jpg)
MBUNGE COSATO CHUMI KUTATUA TATIZO LA MAJI KATIKA MJI WA MAFINGA LILOTUDUMI KWA MUDA MREFU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-fmcGVtYOHeA/VlxonpI26-I/AAAAAAAABCc/zioSXRHY4D4/s640/IMG-20151130-WA0097.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-y1JfwFEPMNo/Vlxok5wgHnI/AAAAAAAABCU/n06o5W2VAMo/s640/IMG-20151130-WA0099.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--VjRJuFq2v8/VlxowSV2wKI/AAAAAAAABC8/O0MUJ8yAoiA/s640/IMG-20151130-WA0105.jpg)
MBUNGE wa jimbo la mafinga mjini cosato chumi amefanya ziara ya kuangalia jinsi gani anaweza kutatua tatizo la...
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/92d27__wolper2bongoclan.co_.tz_.jpg)
WOLPER: MIMI NI FREEMASON KWA MUDA MREFU SASA!
10 years ago
Bongo526 Dec
Muda si mrefu utaanza kupiga na kupokea simu kwa WhatsApp!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KfEqIWZTt62Er3zqP2rhc9vlaMPNWHYCTumDHuD5nvrDgx7rtHyBYrUFBt1lLXEYBS5UYNbQVLvenA*-CSQnSqJE5FeEy8rJ/mama.jpg?width=650)
MAMA AJIFANYA NESI, AAJIRIWA HOSPITALINI KWA MUDA MREFU, ADAKWA!
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3zQ8KT379nU/U2eaipznqeI/AAAAAAAFfsg/-3olPB89EHw/s72-c/New+Picture.bmp)
NDUGU HUYU ANATAFUTWA NA NGUGU YAKE WALIEPOTEZANA KWA MUDA MREFU
![](http://3.bp.blogspot.com/-3zQ8KT379nU/U2eaipznqeI/AAAAAAAFfsg/-3olPB89EHw/s1600/New+Picture.bmp)
TANGU MWAKA HUO HAJARUDI TENA NA HATUNA MAWASILIANO NAYE TENA. SHANGAZI REHEMA ALISHARUDI TANGU MWAKA 1997 NA BAHATI MBAYA AMEFARIKI MWEZI APRIL...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Christina Koch: Mwanamke aliyeishi kwenye anga za mbali kwa muda mrefu
10 years ago
CloudsFM07 Nov
USO WA EMINEM WABADILIKA BAADA YA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA KWA MUDA MREFU.
Staa wa hip hop wa nchini Marekani,Eminem amewahi kukiri kuwa angepoteza maisha kwa matumizi ya dawa za kulevya, kwa jinsi ilivyoonekana kwenye picha za hivi karibuni ni kuwa bado madhara ya dawa hizo yanaendelea kuonekana kwenye mwili wa Eminem haswa kwenye sura yake.
Sura yake imekuwa tofauti sana alivyokuwa kwenye tuzo za Wall Street Journal Innovator Of The Year mjini New York jumatano hii.
10 years ago
MichuziWarsha ya kupitia Ripoti ya Takwimu za kemikali zinazokaa kwa muda mrefu katika Mazingira
9 years ago
Bongo507 Dec
Quick Rocka athibitisha kuwa na uhusiano na Kajala baada ya kukanusha kwa muda mrefu
![Kajala na Quick2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Kajala-na-Quick2-300x194.jpg)
Msanii wa Bongo fleva, Quick Rocka na muigizaji wa Bongo movie, Kajala Masanja hawakuwahi kuthibitisha wenyewe hadharani kuwa wana uhusiano wa kimapenzi licha ya kuwepo na tetesi kuwa ni wapenzi.
Quick amejikuta akilazimika kukiri hadharani juu ya uhusiano wao alipokuwa akikanusha taarifa kuwa wameachana.
Akizungumzia sababu za kuamua kutoyaweka wazi maisha ya uhusiano wao, Quick amesema;
“Sometimes some things have to stay private maana mahusiano yanapokuwa public sana ndio maneno...