USO WA EMINEM WABADILIKA BAADA YA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA KWA MUDA MREFU.
Staa wa hip hop wa nchini Marekani,Eminem amewahi kukiri kuwa angepoteza maisha kwa matumizi ya dawa za kulevya, kwa jinsi ilivyoonekana kwenye picha za hivi karibuni ni kuwa bado madhara ya dawa hizo yanaendelea kuonekana kwenye mwili wa Eminem haswa kwenye sura yake.
Sura yake imekuwa tofauti sana alivyokuwa kwenye tuzo za Wall Street Journal Innovator Of The Year mjini New York jumatano hii.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Dec
Quick Rocka athibitisha kuwa na uhusiano na Kajala baada ya kukanusha kwa muda mrefu
![Kajala na Quick2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Kajala-na-Quick2-300x194.jpg)
Msanii wa Bongo fleva, Quick Rocka na muigizaji wa Bongo movie, Kajala Masanja hawakuwahi kuthibitisha wenyewe hadharani kuwa wana uhusiano wa kimapenzi licha ya kuwepo na tetesi kuwa ni wapenzi.
Quick amejikuta akilazimika kukiri hadharani juu ya uhusiano wao alipokuwa akikanusha taarifa kuwa wameachana.
Akizungumzia sababu za kuamua kutoyaweka wazi maisha ya uhusiano wao, Quick amesema;
“Sometimes some things have to stay private maana mahusiano yanapokuwa public sana ndio maneno...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-z935fnKvEsU/VMiYqnrP71I/AAAAAAADMlg/kHbeMG4RlXo/s72-c/IMG-20150127-WA0021.jpg)
WAZIRI SITTA USO KWA USO WA WADADA WAWILI WALIOKAMATWA UWANJA WA NDEGE KWA MADAWA YA KULEVYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-z935fnKvEsU/VMiYqnrP71I/AAAAAAADMlg/kHbeMG4RlXo/s1600/IMG-20150127-WA0021.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z5xNLNhs7Eo/VMiYolgcCCI/AAAAAAADMlA/SDA8gPzI3tQ/s1600/IMG-20150127-WA0015.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iQCTnrOy-Hw/VMiYomWS1nI/AAAAAAADMlE/XDiki9nEG2s/s1600/IMG-20150127-WA0016.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lbHN9wqDpHU/VMiYptX3AQI/AAAAAAADMlQ/bBRqU9TtnPo/s1600/IMG-20150127-WA0018.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/BGulGISAOaY/default.jpg)
10 years ago
Michuzi19 Feb
WATU WAWILI WAMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA AJALI YA BASI KUGONGANA USO KWA USO NA LORI
Watu wawili wamefariki dunia papo hapo katika ajali ya Basi kugongana na Lori ajali iliyotokea tarehe 19/02/2015 majira ya saa 13:15hrs huko eneo la Vikonje Kata ya Mtumba Barabara ya Dodoma – Morogoro.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema ajali hiyo imehusisha Basi lenye namba za usajili T. 663 AXL aina ya SCANIA Kampuni ya KIDIA ONE lililokuwa litokea Dar es Salaam kwenda Mwanza...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Baada ya Kolo Toure, huyu ni staa mwingine wa soka aliyefungiwa kwa matumizi ya dawa za kuongeza nguvu ….
Najua umezoea kusikia zile headlines za wanamichezo kadhaa wakiingia katika shutuma za kutumia dawa za kuongeza nguvu michezoni dawa ambazo zimekatazwa kutumika katika michezo. Miongoni mwa wanamichezo ambao wamekuwa wakituhumiwa kutumia dawa hizo ni wanariadha na mabondia. Stori zilizopo katika headlines kwa sasa zinamuhusu staa wa soka wa Brazil anayekipiga katika klabu ya Shaktar Donetsk ya Ukraine Frederico […]
The post Baada ya Kolo Toure, huyu ni staa mwingine wa soka aliyefungiwa kwa...
10 years ago
Dewji Blog18 Jun
Zanzibar yadhimisha siku ya kupambana, usafirishaji na matumizi ya dawa za kulevya duniani
Waandamanaji katika maadhimisho ya siku ya kupambana na usafirishaji na matumizi ya dawa za kulevya Duniani wakipita mbele ya mgeni rasmi katika kiwanja cha Kombawapya. (Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).
Rais wa watoto Tanzania Ameir Haji Khamis akitoa ujumbe wa watoto na dawa za kulevya kwenye sherehe za siku ya kupambana na usafirishaji na matumizi ya dawa za kulevya Duniani katika kiwana cha Kombawapya.
Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Fatma Abdulhabib...
10 years ago
MichuziZANZIBAR YADHIMISHA SIKU YA KUPAMBANA NA USAFIRISHAJI NA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA DUNIANI
Hayo ameyaeleza huko Kiwanja cha Kombawapya Zanzibar katika Maaadhimisho ya kupiga vita Utumiaji na Usafirishaji pamoja na Udhalililshaji wa Dawa za kulevya Duniani.
Amesema Zanzibar inakadiriwa kuwa na watumiaji wa dawa za kulevya zaidi ya 9000 idadi ambayo ni kubwa ukilinganisha na...
11 years ago
Mwananchi28 Jun
MAADHIMISHO: Ray C alivyotiririsha machozi Mbeya kulaani matumizi dawa za kulevya