Zanzibar yadhimisha siku ya kupambana, usafirishaji na matumizi ya dawa za kulevya duniani
Waandamanaji katika maadhimisho ya siku ya kupambana na usafirishaji na matumizi ya dawa za kulevya Duniani wakipita mbele ya mgeni rasmi katika kiwanja cha Kombawapya. (Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).
Rais wa watoto Tanzania Ameir Haji Khamis akitoa ujumbe wa watoto na dawa za kulevya kwenye sherehe za siku ya kupambana na usafirishaji na matumizi ya dawa za kulevya Duniani katika kiwana cha Kombawapya.
Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Fatma Abdulhabib...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziZANZIBAR YADHIMISHA SIKU YA KUPAMBANA NA USAFIRISHAJI NA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA DUNIANI
Hayo ameyaeleza huko Kiwanja cha Kombawapya Zanzibar katika Maaadhimisho ya kupiga vita Utumiaji na Usafirishaji pamoja na Udhalililshaji wa Dawa za kulevya Duniani.
Amesema Zanzibar inakadiriwa kuwa na watumiaji wa dawa za kulevya zaidi ya 9000 idadi ambayo ni kubwa ukilinganisha na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yRm4JlgVaN0/VBTWxtNwNGI/AAAAAAAGjc8/RGPGIqWHn2M/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
ZANZIBAR YADHIMISHA SIKU YA UNYONYESHAJI DUNIANI
10 years ago
VijimamboUNODC KUISAIDIA ZANZIBAR KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA KWA JAMII
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kupambana na Dawa za Kulevya na Uhalifu (UNODC) limesema litafanya tathmini ya kina kupata njia muafaka za kuisaidia Zanzibar kukabiliana na biashara, matumizi na athari za dawa za kulevya kwa jamii.
Hayo yamesema...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sm7V8h42M2Y/VY80e5ztAtI/AAAAAAAHkxE/wX0Gr4g1CGc/s72-c/b2.jpg)
MAADHIMISHO YA KITAIFA YA SIKU YA KUPIGA VITA DAWA ZA KULEVYA DUNIANI YALIYOFANYIKA BAGAMOYO, MKOANI PWANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-sm7V8h42M2Y/VY80e5ztAtI/AAAAAAAHkxE/wX0Gr4g1CGc/s640/b2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-f3-m4I5Qjgw/VY8yh3XoEOI/AAAAAAAHkvM/ERCHgPBE-BQ/s640/b15.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Lukuvi: Serikali imejipanga kupambana dawa za kulevya
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, amesema serikali imejipanga kudhibiti matumizi ya dawa za kulevya na itakabiliana na wahusika kwa kutumia kila mbinu...
10 years ago
Habarileo27 Jun
Chombo cha kupambana dawa za kulevya kuundwa
RAIS Jakaya Kikwete amesema atahakikisha kunaundwa chombo kipya cha kupambana na biashara ya dawa za kulevya kabla ya hajAondoka madarakani, Oktoba mwaka huu.
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
UN yazindua ripoti ya dawa za kulevya duniani
Afisa habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Stella Vuzo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na uzinduzi wa ripoti ya Kupambana na dawa za kulevya ya Umoja wa Mataifa. Kulia ni mgeni rasmi Mchambuzi Mkuu wa Mifumo ya Kompyuta wa Tume ya Taifa ya kudhibiti Ukimwi (DCC), January Ntisi na kushoto ni Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma Ledama.
Na Andrew Chale wa Modewji blog.
Uongozi wa Kituo cha Habari...
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII AKEMEA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-IJ4aPt-HpNY/UwRfreF0EGI/AAAAAAAFN3k/a3fZWaDHSq4/s1600/Katibu+Mkuu+wizara+ya+Maendeleo+ya+Jamii+Anna+Maembe+akizungumza+na+wataalamu+wa+wilaya+ya+Kalambo+Mkoa+wa+Rukwa+jana.+Kushoto+ni+Mkuu+wa+wilaya+Moshi+Chang'a+na+kulia+ni+Kaimu+Mkurugenzi+Herbert+Bilia+.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-839lJW_mepg/UwReWv0Sz9I/AAAAAAAFN3U/g2Lb40a-vPk/s1600/DC+wa+Kalambo+Mkoani+Rukwa+Moshi+Chang'a+akikabidhi+hundi+ya+shilingi+milioni+7+kwa+Kaimu+Mkurugenzi+wa+Halmashauri+ya+wilaya+hiyo+Herbert+Bilia.+Kulia+ni+Katibu+Mkuu+wazara+ya+Meanedeleo+ya+Jamii+aliyetoa+hundi+hiyo.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-L-m0e43rk-k/UwResIzVoPI/AAAAAAAFN3c/d_8jaUsUxOs/s1600/Mkuu+wa+wilaya+Kalambo+Mkoani+Rukwa+Moshi+Chang'a+akizungumza+wakati+wa+ziara+ya+Katibu+Mkuu+wizara+ya+Maendeleo+ya+Jamii+Anna+Maembe+(katikati)+wilayani+humo+jana.+Kulia+ni+Kaimu+Mkurugenzi+Herbert+Bilia+.jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Jun
MAADHIMISHO: Ray C alivyotiririsha machozi Mbeya kulaani matumizi dawa za kulevya