Warsha ya kupitia Ripoti ya Takwimu za kemikali zinazokaa kwa muda mrefu katika Mazingira
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Angelina Madete (wanne kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Warsha ya kupitia Ripoti ya Takwimu za Kemikali zinazokaa muda mrefu katika Mazingira. Warsha hiyo ya siku moja imefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa National Institute for Medical Research, jijini Dar es Salaam na imehusisha wadau kutoka sekta mbalimbali.
Sehemu ya Washiriki wa Warsha ya kupitia Ripoti ya Takwimu za Kemikali zinazokaa muda mrefu katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BT8m71hldqs/VKxcpv1YRFI/AAAAAAAG7wI/gmMzeXxVMEI/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
Wastaafu watakiwa kushirikiana kwa karibu katika kutumia ujuzi na Taaluma zao za muda mrefu
![](http://1.bp.blogspot.com/-BT8m71hldqs/VKxcpv1YRFI/AAAAAAAG7wI/gmMzeXxVMEI/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pTCEOdC7Bzs/VKxcpmilV4I/AAAAAAAG7wA/jGnTb31lVN0/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tgtSHqMl120/VKxcpuJRinI/AAAAAAAG7wE/I8ZyuFFR9mM/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fmcGVtYOHeA/VlxonpI26-I/AAAAAAAABCc/zioSXRHY4D4/s72-c/IMG-20151130-WA0097.jpg)
MBUNGE COSATO CHUMI KUTATUA TATIZO LA MAJI KATIKA MJI WA MAFINGA LILOTUDUMI KWA MUDA MREFU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-fmcGVtYOHeA/VlxonpI26-I/AAAAAAAABCc/zioSXRHY4D4/s640/IMG-20151130-WA0097.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-y1JfwFEPMNo/Vlxok5wgHnI/AAAAAAAABCU/n06o5W2VAMo/s640/IMG-20151130-WA0099.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--VjRJuFq2v8/VlxowSV2wKI/AAAAAAAABC8/O0MUJ8yAoiA/s640/IMG-20151130-WA0105.jpg)
MBUNGE wa jimbo la mafinga mjini cosato chumi amefanya ziara ya kuangalia jinsi gani anaweza kutatua tatizo la...
9 years ago
Michuzi10 Oct
KEMIKALI ZIKITUMIKA IPASAVYO ZITAPUNGUZA ATHARI KWA WATU NA MAZINGIRA.
Hayo yamesemwa jijini Dar es salaam na Meneja wa Kanda ya Mashariki wa Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Ndugu Daniel Ndiyo alipokuwa akizungumzia utekelezaji wa Sheria ya Usimamizi na uthibiti wa kemikali.
“Chanzo kikubwa cha ajali na matukio mengi ya kemikali yanayotokea yanatokana na kukosekana kwa...
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/06/92d27__wolper2bongoclan.co_.tz_.jpg)
WOLPER: MIMI NI FREEMASON KWA MUDA MREFU SASA!
10 years ago
Bongo526 Dec
Muda si mrefu utaanza kupiga na kupokea simu kwa WhatsApp!
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3zQ8KT379nU/U2eaipznqeI/AAAAAAAFfsg/-3olPB89EHw/s72-c/New+Picture.bmp)
NDUGU HUYU ANATAFUTWA NA NGUGU YAKE WALIEPOTEZANA KWA MUDA MREFU
![](http://3.bp.blogspot.com/-3zQ8KT379nU/U2eaipznqeI/AAAAAAAFfsg/-3olPB89EHw/s1600/New+Picture.bmp)
TANGU MWAKA HUO HAJARUDI TENA NA HATUNA MAWASILIANO NAYE TENA. SHANGAZI REHEMA ALISHARUDI TANGU MWAKA 1997 NA BAHATI MBAYA AMEFARIKI MWEZI APRIL...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KfEqIWZTt62Er3zqP2rhc9vlaMPNWHYCTumDHuD5nvrDgx7rtHyBYrUFBt1lLXEYBS5UYNbQVLvenA*-CSQnSqJE5FeEy8rJ/mama.jpg?width=650)
MAMA AJIFANYA NESI, AAJIRIWA HOSPITALINI KWA MUDA MREFU, ADAKWA!
10 years ago
StarTV09 Jan
Tatizo la Kukaimu kwa muda mrefu, TAMISEMI yapewa siku sita kujieleza
Na Seda Elias,
Dar es Salaam.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mahesabu ya Serikali za Mitaa LAAC imetoa siku sita kwa Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI kutoa majibu ya tatizo la watendaji wa Serikali kukaimu nafasi mbalimbali kwa muda mrefu.
Ni agizo la Mwenyekiti wa Kamati hiyo Rajab Mbaruk Mohamed wakati wa ukaguzi wa mahesabu ya Manispaa ya Ilala jijini Dar Es Salaam.
Mwenyekiti huyo wa LAAC amesema tatizo la kukaimu nafasi nyeti katika Serikali limekuwa ni sugu kwenye...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Christina Koch: Mwanamke aliyeishi kwenye anga za mbali kwa muda mrefu