Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KEMIKALI ZIKITUMIKA IPASAVYO ZITAPUNGUZA ATHARI KWA WATU NA MAZINGIRA.

(Na Jovina Bujulu- MAELEZO)Kukosekana kwa uelewa juu ya hatari na madhara yanayoweza kusababishwa na kemikali kumetajwa kuwa ni chanzo kikubwa cha ajali mbali mbali hapa nchini.
Hayo  yamesemwa jijini Dar es salaam  na Meneja wa Kanda ya Mashariki wa Wakala wa Maabara  ya Mkemia Mkuu  wa Serikali Ndugu Daniel Ndiyo alipokuwa akizungumzia utekelezaji wa Sheria ya Usimamizi  na uthibiti wa kemikali.
“Chanzo kikubwa cha ajali na matukio mengi ya kemikali yanayotokea yanatokana na kukosekana kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA NA UKAGUZI WA MAZINGIRA


JUNI 15, 2020 MWISHO USAJILI WA MIRADI YA UCHENJUAJI DHAHABU (LEACHING AND ELUTION PLANTS) KWA AJILI YA TATHMINI YA ATHARI KWA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL IMPACT ASSESSMENT) NA UKAGUZI WA MAZINGIRA (ENVIRONMENTAL AUDIT)
Dar es Salaam, May 5, 2020.

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linawatangazia wawekezaji wote wanaojihusisha na shughuli za uchenjuaji wa madini ya dhahabu (“vat leaching na elusion plants”) kuwa, kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya Mwaka...

 

10 years ago

Michuzi

Warsha ya kupitia Ripoti ya Takwimu za kemikali zinazokaa kwa muda mrefu katika Mazingira

Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhandisi Angelina Madete (wanne kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Warsha ya kupitia Ripoti ya Takwimu za Kemikali zinazokaa muda mrefu katika Mazingira. Warsha hiyo ya siku moja imefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa National Institute for Medical Research, jijini Dar es Salaam na imehusisha wadau kutoka sekta mbalimbali. Sehemu ya Washiriki wa Warsha ya kupitia Ripoti ya Takwimu za Kemikali zinazokaa muda mrefu katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Athari za mazingira mabaya kwa mjasiriamali

Katika moja ya makala zangu za kipindi cha nyuma, niliwahi kuandika juu ya umuhimu wa kuwa na mazingira mazuri ya kufanyia biashara. Leo nazungumzia kinyume chake. Katika makala haya ninaangazia athari za kuwa na mazingira mabaya ya kufanyia biashara kwa wajasiriamali.

 

5 years ago

Michuzi

MKATABA WA MAZINGIRA STOCKHOM UMEONESHA MWANGA UDHIBITI WA KEMIKALI HATARISHI


Na Ismail Ngayonga,MAELEZO-DAR ES SALAAM
MAENDELEO ya nchi yetu kwa kiasi kikubwa yanategemea matumizi endelevu ya maliasili zilizopo nchini uwepo wake hizi ni muhimu kwa ajili ya mahitaji ya sasa na ya vizazi vijavyo.
Hata hivyo, Taarifa ya Tatu ya Hali ya Mazingira Nchini ya mwaka 2019 imebainisha  kuwepo kwa shughuli za kiuchumi na kijamii zisizo endelevu ambazo zimeendelea kuchangia kwa kiasi kikubwa uharibifu wa mazingira nchini.
Uharibifu huo ni pamoja na uharibifu wa ardhi, ukataji...

 

10 years ago

Habarileo

Ajali za kemikali zaua watu 14

WAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), umesema mwaka jana kumetokea matukio ya ajali za kemikali 11 zilizosababisha vifo vya watu zaidi ya 14 na uharibifu wa tani zaidi ya 250 za kemikali.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Kilahama: Athari za mazingira sasa zinavuruga uchumi nchini

Utafiti uliofanywa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kutumia mradi wake wa Tathmini ya Rasilimali za Misitu, 2013 unaonyesha kuwa tani milioni moja za mkaa kila mwaka hutokana na ukataji wa misitu.

 

10 years ago

Michuzi

Watu wa marekani watoa dola Bilioni 30 kwa ajili ya Kulinda mazingira, Kukuza uhifadhi na Utalii nchini

Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya dola Bilioni 30 kwa ajili ya Kulinda mazingira, Kukuza uhifadhi na Utalii nchini. Hafla ya kutiliana saini ilifanyika jana, Seronela mkoani Arusha ambapo waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu na Balozi wa Marekani nchini, Mark Childress walisaini makubaliano ya dola 2milioni kwa ajili ya kuendeleza mapambano ya ujangili n anyingine milioni 14.5 kwa ajili ya uhifadhi.  Balozi huyo wa Marekani Mark Childress, alimwelezea Nyalandu, kuwa ni...

 

10 years ago

Michuzi

WITO WATOLEWA KWA WATANZANIA KUJITOLEA KUWASAIDIA WATU WENYE UHITAJI IKIWEMO WATOTO WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU


Baadhi ya wanalyalamo wakijumuika na watoto wa Kituo cha Yatima Group Trust Fund..
baadhi ya wanalyamo family katika picha ya pamoja na mkurugenzi mtendaji wa kituo hicho, Winfrida Lubanza(mwenye miwani na blauzi nyeusi)

WITO umetolewa kwa Watanzania nchini kujitolea kwa hali na mali usaidia watu wenye uhitaji ikiwemo watoto yatima wanaolelewa kwenye vituo mbalimbali. Wito huo umetolewa jana na mkurugenzi mtendaji wa kituo cha Yatima Group Trust Fund kilichopo Chanika, jijini Dar es Salam,...

 

5 years ago

Michuzi

ONGEZEKO LA WATU HALINA ATHARI KIUCHUMI

Na. Saidina Msangi na Peter Haule, WFM, Dodoma
SERIKALI imesema kuwa ongezeko la watu nchi halina athari za kiuchumi na kijamii kwa kuwa Tanzania ina rasilimali za kutosha kuhudumia idadi hiyo kutokana na sera yake ya ujenzi wa uchumi wa viwanda.

Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Susan Lyimo, aliyetaka ushauri wa Serikali kuhusu ongezeko la idadi ya watu lisiloendana na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani