Watu wa marekani watoa dola Bilioni 30 kwa ajili ya Kulinda mazingira, Kukuza uhifadhi na Utalii nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-5NLdcW8kOh8/VYjojL-Jh0I/AAAAAAAHipk/nYxlHS2XEJY/s72-c/unnamed%2B%252876%2529.jpg)
Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya dola Bilioni 30 kwa ajili ya Kulinda mazingira, Kukuza uhifadhi na Utalii nchini. Hafla ya kutiliana saini ilifanyika jana, Seronela mkoani Arusha ambapo waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu na Balozi wa Marekani nchini, Mark Childress walisaini makubaliano ya dola 2milioni kwa ajili ya kuendeleza mapambano ya ujangili n anyingine milioni 14.5 kwa ajili ya uhifadhi. Balozi huyo wa Marekani Mark Childress, alimwelezea Nyalandu, kuwa ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMAREKANI YATOA DOLA BILIONI 30 KWA AJILI YA KULINDA MAZINGIRA, KUKUZA UHIFADHI NA UTALII
Serikali iya Marekani...
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
Serikali ya Marekani yazindua mradi wa dola milioni 14.5 wa kulinda mazingira, kukuza uhifadhi na utalii nchini Tanzania
Balozi wa Marekani nchini Tanzania Mark Childress akizungumza katika uzinduzi wa mradi wa PROTECT wa dola za kimarekani Milioni 14.5 wa kulinda mazingira, kukuza uhifadhi na utalii nchini hapa unaolenga kujenga uwezo wa uhifadhi na kukabiliana na ujangili na usafirishaji haramu wa wanyamapori nchini kote Tanzania,uzinduzi huu ulifanyika jana katika eneo la hifadhi ya wanyamapori linalosimamiwa na jumuiya ya uhifadhi ya wanyamapori {WMA} la Randilen linalopakana na hifadhi ya taifa...
10 years ago
Mtanzania24 Feb
Sekta ya utalii yaingiza dola bilioni 2 kwa mwaka
NA ADAM MKWEPU DAR ES SALAAM
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu, amesema sekta ya utalii nchini inaongoza kwa kuliingizia taifa fedha za kigeni na kufikia dola za Marekani bilioni 2 kwa mwaka kutokana na hali ya mabadiliko ya mfumo wa mapato hayo.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Dar es Salaam katika mkutano wa mwaka ulioandaliwa na taasisi inayoshughulika na mambo ya utafiti wa kupunguza umasikini (Repoa), ambapo aliitaja sekta ya madini hasa ya dhahabu kuwa ya pili...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oVpT0qdI8-k/VMkSI3g9_RI/AAAAAAAG_-Q/CBQLc9Mx8IQ/s72-c/b3.jpg)
RAIS KIKWETE AHAMASISHA MCHANGO WA DOLA BILIONI 7.5 KWA AJILI YA CHANJO YA WATOTO KWA NCHI MASIKINI DUNIANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-oVpT0qdI8-k/VMkSI3g9_RI/AAAAAAAG_-Q/CBQLc9Mx8IQ/s1600/b3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4PcAAeYq6-M/VMkSLOKwPaI/AAAAAAAG_-s/NEQ7sCbeguA/s1600/b4.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-lx00DdH3xxw/VKp1P89lIzI/AAAAAAAG7YQ/p56fEYTa1lU/s1600/CSC_0375.jpg)
TPDC YATUMIA DOLA ZA KIMAREKANI BILIONI 1.225 KWA AJILI YA MRADI WA BOMBA LA GESI
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-4omzgfWD1sg/VMkZ7nM2zeI/AAAAAAABjZ0/ncb3m9rz8MA/s72-c/B%2B6.jpg)
RAIS KIKWETE AHAMASISHA MCHANGO WA DOLA BILIONI 7.5 KWA AJILI YA CHANJO YA WATOTO NCHI MASIKINI DUNIANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-4omzgfWD1sg/VMkZ7nM2zeI/AAAAAAABjZ0/ncb3m9rz8MA/s640/B%2B6.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JUluVB-wEZR96vSazor6cmgBg3En8iryR6xm07b4pG7S5xhu*B*IUZbMXWoi4WNytSrRmW-NbFqWBsgKM0zsS13ixvS*bEbN/b8.jpg)
RAIS KIKWETE AHAMASISHA MCHANGO WA DOLA BILIONI 7.5 KWA AJILI YA CHANJO YA WATOTO NCHI MASIKINI DUNIANI
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Dk Bilal asihi uchangiaji uhifadhi mazingira nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-udxIm_mNv0I/XmeLYz_HXYI/AAAAAAAEGL8/-Bkb5oN1KZc4ebvFFAj7h-7fBhhHNKXJgCLcBGAsYHQ/s72-c/4-13-1.jpg)
NMB yawezesha Kilimo cha katani nchini, yatoa shilingi Bilioni 1 kwa ajili ya matrekta
![](https://1.bp.blogspot.com/-udxIm_mNv0I/XmeLYz_HXYI/AAAAAAAEGL8/-Bkb5oN1KZc4ebvFFAj7h-7fBhhHNKXJgCLcBGAsYHQ/s640/4-13-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/3-13-1.jpg)